Nitashiriki kuzuia maandamano ya CHADEMA Januari 24, 2024

Uhuru wangu utakomea pale unapoanzia uhuru wa mwenzangu. Kuna wanaotaka kuandamana na kuna wasiotaka kuandamana itakuwaje hapo? Kuna magari na waenda kwa miguu watakaosumbuliwa na maandamano haya yanayofanyika siku na saa za kazi. Chadema ilikutana na wananchi wanaolalamika wangapi lini na wapi waliowatuma viongozi wa chadema waondoe miswada bungeni?

Tusiotaka maandamano tuna haki zetu pia za kulindwa na serikali tusibughudhiwe kwenye nchi yetu. Nitamsaidia yeyote atakaesema anaenda kuzuia maandamano hayo yasifanyike ili kuzuia usumbufu, ajali na wizi.


Wewe nadhani tukwambie Sasa..... Wewe ni mpumbavu!!

Muachage kuvamia mambo yaliyo nje ya uwezo wenu!! Hapa maandamano yananendelea na yanazidi kukua!! Mbona huonekani kuyazuia??

Mjinga mkubwa
 
Wewe nadhani tukwambie Sasa..... Wewe ni mpumbavu!!

Muachage kuvamia mambo yaliyo nje ya uwezo wenu!! Hapa maandamano yananendelea na yanazidi kukua!! Mbona huonekani kuyazuia??

Mjinga mkubwa
Watu walipiga hesabu wakaona
Kwa hiyo unatakaje
Actually andamaneni TU kama kuandamana ndio huko. Vyombo vyote vya habari vimeonyesha maandamano hayo, actually tz Ina demokrasia ya kutosha.
 
Uhuru wangu utakomea pale unapoanzia uhuru wa mwenzangu. Kuna wanaotaka kuandamana na kuna wasiotaka kuandamana itakuwaje hapo? Kuna magari na waenda kwa miguu watakaosumbuliwa na maandamano haya yanayofanyika siku na saa za kazi. Chadema ilikutana na wananchi wanaolalamika wangapi lini na wapi waliowatuma viongozi wa chadema waondoe miswada bungeni?

Tusiotaka maandamano tuna haki zetu pia za kulindwa na serikali tusibughudhiwe kwenye nchi yetu. Nitamsaidia yeyote atakaesema anaenda kuzuia maandamano hayo yasifanyike ili kuzuia usumbufu, ajali na wizi.


Umezuia ukiwa wapi?
 
Vitu vingine vinatia aibu sana. Tuwe na akiba ya maneno chalamila Leo na Komwe lake na upara ule kaona aibu
 
Wewe nadhani tukwambie Sasa..... Wewe ni mpumbavu!!

Muachage kuvamia mambo yaliyo nje ya uwezo wenu!! Hapa maandamano yananendelea na yanazidi kukua!! Mbona huonekani kuyazuia??

Mjinga mkubwa
Ni hesabu, umempaisha mama kimataifa katika duru za siasa za kistaarabu. Tunqfahamu kuwa miongoni mwenu wamo waunga juhudi kama akina Peneza. Hamuaminiki.
 
Umezuia ukiwa wapi?
Tulitafakari kwa kina tukaona tutawapa kichwa na milage kama mngezuiwa msiandamane. Bahati mbaya nilisikia viongozi wa maandamano wakidai mashamba kilosa, ajira kwa vijana, bei ya sukari kupanda, nauli kupanda kana kwamba hamjui chochote kuhusu sababu za kupanda kwa mafuta dunia nzima, kwanini sukari ni chache, kwanini ajira kwa vijana hakuna. Hata kule ujerumani wakulima wanaoandamana kuponga bei ya mafuta kuwa juu na serikali kuondoa ruzuku kwenye bei ya mafuta. Maana dunia itawazomea nyinyi kuwasikia unaandamana kupinga gharama za maisha.
 
Hao tamka tamka wanachojua ni kutamka tu si kutenda. Labda Ile miaka ya Rais Kikwete ndiyo walikuwa kweli wanaandamana.

Hivyo, huna hata haja ya kujiandaa kuzuia maana hayatakuwepo.
Ni mwenye utimamu wa akili pekee ndiye awezaye kuwa na akiba ya maneno.

Majuha, vilaza, misukule na mbumbumbu ndio walioamini kuwa maandamano hayatakuwepo.

Hata mahafidhina huwa wanabadilika, ni maiti tu ndiyo huwa inaona vitu haviwezekani sababu wao ni maiti.
 
Nilikuwepo lakini maandamano yamemnufaisha Mama kimataifa kuliko chadema. Mama ameingia kwenye record ya viongozi wa kidemokrasia
Kwa hiyo ulipotaka kuyazuia lengo lako lilikuwa ni kumchafua kimataifa?
Watu wapo sahihi wanaposema maadui wake wa kubwa ni nyie mnaomshangilia na siyo wanaompinga.
Wanaompinga akikosea huku wakimpa mamna nzuri ya kufanya hawana nafasi yoyote ya kuwa wasaliti kwake, wala ya kuwa wanafiki kwake. Ninyi mnaojifanya kuunga mkono na kushangilia kila kitu ndiyo wanafiki wenyewe, ma mpo hatua chache sana kuvuka mstari na kuwa wasaliti.
 
Uhuru wangu utakomea pale unapoanzia uhuru wa mwenzangu. Kuna wanaotaka kuandamana na kuna wasiotaka kuandamana itakuwaje hapo? Kuna magari na waenda kwa miguu watakaosumbuliwa na maandamano haya yanayofanyika siku na saa za kazi. Chadema ilikutana na wananchi wanaolalamika wangapi lini na wapi waliowatuma viongozi wa chadema waondoe miswada bungeni?

Tusiotaka maandamano tuna haki zetu pia za kulindwa na serikali tusibughudhiwe kwenye nchi yetu. Nitamsaidia yeyote atakaesema anaenda kuzuia maandamano hayo yasifanyike ili kuzuia usumbufu, ajali na wizi.


Unaumia ukiwa Wapi?
 
Uhuru wangu utakomea pale unapoanzia uhuru wa mwenzangu. Kuna wanaotaka kuandamana na kuna wasiotaka kuandamana itakuwaje hapo? Kuna magari na waenda kwa miguu watakaosumbuliwa na maandamano haya yanayofanyika siku na saa za kazi. Chadema ilikutana na wananchi wanaolalamika wangapi lini na wapi waliowatuma viongozi wa chadema waondoe miswada bungeni?

Tusiotaka maandamano tuna haki zetu pia za kulindwa na serikali tusibughudhiwe kwenye nchi yetu. Nitamsaidia yeyote atakaesema anaenda kuzuia maandamano hayo yasifanyike ili kuzuia usumbufu, ajali na wizi.

 
Wala usihangaike kuzuia, hakuna sisimizi au pimbi yeyote wa CHADEMA atakayeandamana. Hawa wanafanya trending tu kwenye social media. Waoga hawana mfano
Hebu soma tena hii comm3nt then jipige kifuani sema "mimi ni mjinga"
 
Tabia kama hizi ndizo zinazozaliza madikteta Afrika. Tabia hizi zinaweza kumbadilisha Rais kutoka kuwa mpole kuwa mkali na mkakamavu, zinamfanya Rais mstaarabu kuwa dikteta. Na bahati mbaya sana Katiba yetu imempa Rais nguvu nyingi sana za kutenda na kuamua.
Tabia zipi unaweza kuzianisha?
Maandamano ya kuwasifu watawala "ruksa"
Maandamano ya kuonesha grievances za wananchi na mapungufu ni "haramu"

Katiba: serikali itapata madaraka yake kutoka kwa wananchi! Nyie ni makalio kweli
 
Back
Top Bottom