Nitashiriki kuzuia maandamano ya CHADEMA Januari 24, 2024

uko sahihi ndugu kiongozi, nimekuelewa vema sana. Hata na hivyo..

ikibainika tatizo la misingi ni nini kwa hoja na ufafanuzi mujarabu hapatakua na tashwishwi yeyote kwa wananchi kuuangana bila kujali, dini, rangi, kabila au mirengo ya kisiasa na kufanya mageuzi wanayoyataka....

Kwa hali ilivyo nchini na pengine kwasabb ya malezi na itikadi za vyama ndio maana watu hupinga kila kitu na saa zingine bila hata hoja,

lakini pia hali hiyo imechochea tabia ya kudandia kila hoja, kitu ambacho kinadhihirisha dhahiri shahiri kwamba hakuna dhamira ya kweli ya kuongoza mageuzi na ndio maana kupuuzana na kubezana kumekua kwingi pia kwa viongozi wa kisiasa na vyama vyao 🐒
Huwezi kushika korodan* za baba yako kwa kisingizio cha demokrasia. Hakuna kisichokuwa na mipaka yake popote duniani, jamaa walitudanganya sana kwa maslahi yao. Wote tumepewa majina yetu bila ya kushirikishwa, mbona hatuandamani kuyapinga ili tuchague yale tunayoyapenda wenyewe? Kama muungano wetu uko hivi tukubali tu kuwa waasisi wetu akina Nyerere, Karume na wazee wengine walikosea au walipatia kwaajili yetu, dhamira zao zilikuwa nzuri na zenye faida kwa wakati huo hata sasa na kesho pia. George Washington na wenzake walikosea au kupatia kwa niaba ya wamarekani wote.

Mfano, UKAWA ndio chanzo cha kutokuwa na katiba mpya wanayoidai leo. Na kilichozuia mchakato wa katiba kuvunjika hadi leo ni watu kutaka aina ya muungano ibadilike, upuuzi huu ndio uliotufikisha hapa. Katiba ile ilikuwa na hata muundo mzuri wa tume huru ya uchaguzi kuliko hii iliyoko sasa, lakini wachwara wakaona muungano ndio kitu cha maana sana kwenye katiba. Hata wazanzibar lazima walidhike na muungano kama ulivyo sasa, wakiendelea kudai na kupewa wanaamsha hamu ya watanganyika nao kudai ili wapewe. Zanzibar itakuwa ya kwanza kuuvunja muungano huu kama wakiendelea na kuuchokonoa muungano kila siku. Maalimu Seif ndio aliyeongoza wimbi la kusitisha mchakato wa katiba mpya.
 
Kuna kajamaa hapa Gomz kanadai eti maandamano ni ajenda ya kuisahaulisha issue ya maamuzi ya mahakama kuhusu Covid19.
 
Huwezi kushika korodan* za baba yako kwa kisingizio cha demokrasia. Hakuna kisichokuwa na mipaka yake popote duniani, jamaa walitudanganya sana kwa maslahi yao. Wote tumepewa majina yetu bila ya kushirikishwa, mboni hatuandamani kuyapinga ili tuchague yale tunayoyapenda wenyewe? Kama muungano wetu uko hivi tukubali tu kuwa waasisi wetu akinga Nyerere, Karume na wazee wengine walikosea au walipatia kwaajili yetu, dhamira zao zilikuwa nzuri na xenye faida kwa wakati huo hata sasa na kesho pia. George Washington na wenzake walikosea au kupatia kwa niaba ya wamarekani wote.

Mfano, UKAWA ndio chanzo cha kutokuwa na katiba mpya wanayoidai leo. Na kilichozuia mchakato wa katiba kuvunjika hadi leo ni watu kutaka aina ya muungano ibadilike, upuuzi huu ndio uliotufikisha hapa. Katiba ile ilikuwa na hata muundo mzuri wa tume huru ya uchaguzi kuliko hii iliyoko sasa, lakini wachwara wakaona muungano ndio kitu cha maana sana kwenye katiba. Hata wazanzibar lazima walidhike na muungano kama ulivyo sasa, wakiendelea kudai na kupewa wanaamsha hamu ya watanganyika nao kudai ili wapewe. Zanzibar itakuwa ya kwanza kuuvunja muungano huu kama wakiendelea na kuuchokonoa muungano kila siku. Maalimu Seif ndio aliyeongoza wimbi la kusitisha mchakato wa katiba mpya.
paragraph ya pili ni nzinto sana aisee,

umegonga kwenye mshono kabisa,
saivi hawaandamani kwaajili ya muundo wa serikali wala idadi ya sereikali za muungano,
wanadai eti tume huru ya uchaguzi ambayo ilidadavuliwa vizuri mno kwenye rasimu ya warioba na wakaridhika bila tashwishwi yeyote...

umetoa angalizo mujarabu mno kwa wazanzibari kuhusu muungano...
 
Uhuru wangu utakomea pale unapoanzia uhuru wa mwenzangu. Kuna wanaotaka kuandamana na kuna wasiotaka kuandamana itakuwaje hapo? Kuna magari na waenda kwa miguu watakaosumbuliwa na maandamano haya yanayofanyika siku na saa za kazi. Chadema ilikutana na wananchi wanaolalamika wangapi lini na wapi waliowatuma viongozi wa chadema waondoe miswada bungeni?

Tusiotaka maandamano tuna haki zetu pia za kulindwa na serikali tusibughudhiwe kwenye nchi yetu. Nitamsaidia yeyote atakaesema anaenda kuzuia maandamano hayo yasifanyike ili kuzuia usumbufu, ajali na wizi.


U mjinga wewe!
 
Uhuru wangu utakomea pale unapoanzia uhuru wa mwenzangu. Kuna wanaotaka kuandamana na kuna wasiotaka kuandamana itakuwaje hapo? Kuna magari na waenda kwa miguu watakaosumbuliwa na maandamano haya yanayofanyika siku na saa za kazi. Chadema ilikutana na wananchi wanaolalamika wangapi lini na wapi waliowatuma viongozi wa chadema waondoe miswada bungeni?

Tusiotaka maandamano tuna haki zetu pia za kulindwa na serikali tusibughudhiwe kwenye nchi yetu. Nitamsaidia yeyote atakaesema anaenda kuzuia maandamano hayo yasifanyike ili kuzuia usumbufu, ajali na wizi.


Ndiyo nyie mlinunuliwa suti na CCM kwa ajili ya kufanyia press conference ya kuwapinga Chadema?
 
Hao tamka tamka wanachojua ni kutamka tu si kutenda. Labda Ile miaka ya Rais Kikwete ndiyo walikuwa kweli wanaandamana.

Hivyo, huna hata haja ya kujiandaa kuzuia maana hayatakuwepo.
 
Uhuru wangu utakomea pale unapoanzia uhuru wa mwenzangu. Kuna wanaotaka kuandamana na kuna wasiotaka kuandamana itakuwaje hapo? Kuna magari na waenda kwa miguu watakaosumbuliwa na maandamano haya yanayofanyika siku na saa za kazi. Chadema ilikutana na wananchi wanaolalamika wangapi lini na wapi waliowatuma viongozi wa chadema waondoe miswada bungeni?

Tusiotaka maandamano tuna haki zetu pia za kulindwa na serikali tusibughudhiwe kwenye nchi yetu. Nitamsaidia yeyote atakaesema anaenda kuzuia maandamano hayo yasifanyike ili kuzuia usumbufu, ajali na wizi.


Wala usihangaike kuzuia, hakuna sisimizi au pimbi yeyote wa CHADEMA atakayeandamana. Hawa wanafanya trending tu kwenye social media. Waoga hawana mfano
 
Kwani nchi ni mali ya baba ako? mtanzania yoyote ana haki hiyo mradi atimize vigezo
Tabia kama hizi ndizo zinazozaliza madikteta Afrika. Tabia hizi zinaweza kumbadilisha Rais kutoka kuwa mpole kuwa mkali na mkakamavu, zinamfanya Rais mstaarabu kuwa dikteta. Na bahati mbaya sana Katiba yetu imempa Rais nguvu nyingi sana za kutenda na kuamua.
 
Tabia kama hizi ndizo zinazozaliza madikteta Afrika. Tabia hizi zinaweza kumbadilisha Rais kutoka kuwa mpole kuwa mkali na mkakamavu, zinamfanya Rais mstaarabu kuwa dikteta. Na bahati mbaya sana Katiba yetu imempa Rais nguvu nyingi sana za kutenda na kuamua.
Tz ni mali ya watanzania wote na siyo ya kikundi fulani
 
Wala usihangaike kuzuia, hakuna sisimizi au pimbi yeyote wa CHADEMA atakayeandamana. Hawa wanafanya trending tu kwenye social media. Waoga hawana mfano
Inaonekana hawaijui nguvu ya Rais kikatiba. Anaweza kurudisha ile lockdown ya vyama tena kama akitaka na kuiona haja ya kuirudisha. Maandamano yanatia hofu wajasiliamali na wafanyabiashara wakubwa, maandamano yatawafanya wafunge biashara zao wakati kuna wengine wanatakiwa warejeshe mikopo ya bank waliyokopa kila siku. Kuna wengine watishindwa kutoka majumbani mwao kuhofia vyurugu na uporaji na uchomaji magari ya watu.
 
Sisi tunaandamana kama wewe hutaki kuandamana usituzuie sisi shika khamsini zako nasi na khamsini zetu.
👆
Upo hapo.
 
Uhuru wangu utakomea pale unapoanzia uhuru wa mwenzangu. Kuna wanaotaka kuandamana na kuna wasiotaka kuandamana itakuwaje hapo? Kuna magari na waenda kwa miguu watakaosumbuliwa na maandamano haya yanayofanyika siku na saa za kazi. Chadema ilikutana na wananchi wanaolalamika wangapi lini na wapi waliowatuma viongozi wa chadema waondoe miswada bungeni?

Tusiotaka maandamano tuna haki zetu pia za kulindwa na serikali tusibughudhiwe kwenye nchi yetu. Nitamsaidia yeyote atakaesema anaenda kuzuia maandamano hayo yasifanyike ili kuzuia usumbufu, ajali na wizi.



MaCHWA Maandamano yanawakosesha usingizi .....!!

Mtakonda kwa mawazo.
 
Back
Top Bottom