nisaidieni plzzzzzz

Poyeee, Punguza mawazo na wivu! Loh!
asante mnoooooooooo,,cwaz huwez amini ila nausikia nimeshtuka leo na hadi sasa imekataa kutoka maumivu na yanazidi kua makali mnoooo i cant handle it sasa ndio mana naomba ushauri niyatoaje mapema mana la sivo yatalast for 3 to 4 weeks huwez amini
 
thanx ila nilishawai kufanyiwa check up ila wakaniambia cn tatizo wakati mm naumia sana ndani kiasi kwamba i cant walk ikianza kuniuma hii kitu

Imeshatokea mara nyingi hivyo kwamba unapimwa na kuonekana huna tatizo kumbe una tatizo kubwa sana. Jaribu kuwaona Mabingwa/Wataalam wa magonjwa ya moyo at least watatu tofauti na wafanye vipimo vya uhakika ili kuhakikisha uko salama.
 
nifundishe tu mpz mana cwez hua unauma ila hata mtu akinistua kidogo tu inachukua ka cku 4 ivi maumivu kuisha sasa sijui ni kwann na cwez kukaa mbali na watu ili niepukane na kero izo na cwez kuishi dunia ya mm mwenyewe,kun akitu ilinitokea 4miaka iliyopita sasa cjui ndio hadi leo inaleta maeffect,ndio ivo hata ukidongosha kikombe mm inachukua mda sana yale maumivu ya msituko wa moyo kuondoka

dah! Hadi mshtuko wa kikombe unakuumiza!!
Ami najua we unapenda kuinteract na watu na miongoni mwao lazima wawepo wenye kuleta kero. Jaribu kuwaepuka hao. Ni bora kubaki na mtu mmoja mwenye kukupa furaha kuliko kuwa na watu wengi wenye kero.
Pia jaribu kuepuka mazingira yenye purukushani.
Ngoja nikusaidie kuulizia kwa madokta tatizo hilo lipo vipi.
 
Imeshatokea mara nyingi hivyo kwamba unapimwa na kuonekana huna tatizo kumbe una tatizo kubwa sana. Jaribu kuwaona Mabingwa/Wataalam wa magonjwa ya moyo at least watatu tofauti na wafanye vipimo vya uhakika ili kuhakikisha uko salama.
nitafanya ivo ila nilishwai kwenda kwa wawili tofauti yani nikiwa sijashtuka wala kupata taarifa mbaya hauumi wala nn ila mfano mtu akinistua ivi hata kwa kuufunga mlango kwa nguvu au kuugonga kwa nguvu ule mshito unaenda na kuuchoma moyo wangu kama misumari then ina last for a ver long time kuondoka hiyo hali inaweza kuchukua hata wiki moja au mbili
 
dah! Hadi mshtuko wa kikombe unakuumiza!!
Ami najua we unapenda kuinteract na watu na miongoni mwao lazima wawepo wenye kuleta kero. Jaribu kuwaepuka hao. Ni bora kubaki na mtu mmoja mwenye kukupa furaha kuliko kuwa na watu wengi wenye kero.
Pia jaribu kuepuka mazingira yenye purukushani.
Ngoja nikusaidie kuulizia kwa madokta tatizo hilo lipo vipi.
nitashukuru mpz wangu
 
relax unavyozidi kufikiri sana ndio unaendelea kujiumiza...cooldown utapoa tu kwani mambo mengine ni ya kupita tu na jua kuwa siku zote sio sawa.hope u get me
 
Seriously unaumwa moyo na unakuja andika hapa badala ya kwenda hospitali ? We msukuma vp ??

nasikia maumivu sana moyoni mwangu na ni makali sana cwez kujizuia nahisi kama moyo unavuja damu ndani kwa maumivu niliyonayo...........hali hii hunitokea kila nikipata kitu chochote cha kunishtua .........niliwai kwenda medical wakaniambia cna tatizo lolote ila mm maumivu nayackia ndani ya moyo wangu makali sana na leo yamezidi ni makali mnoooooooooo..........i cant take it any more
 
asante mpz husninyo mana RIWA kanisaidia sana am better now.....................kanipa njia mbadala ya kukwepa mauzi na majaziba........
thanx mnoooo an stay blessed dear mmwaaaaaaaaaaaaaah!
 
....bado camini km unashindwa kwenda hata ER maana najua hawa majamaa kwa vipimo wapo siriaz...!
Najua ulishapunguza mwili kiasi na mambo ya kula kula ila again hisicheze na mambo ya moyo !!! Huyo mwenza ndo analeta matatizo nn ?
 
Sasa leo umeshtuka nini Mamy? Pole sana kwa maumivu. Jaribu kupunguza chumvi na cholesterol in general ila pia endelea na vipimo. Moyo unapo uma hivo unauskia kati kati ya kifua au kwenye ziwa? na bega je? Hauskii kama maumivu bega la kushoto?
 
Sasa leo umeshtuka nini Mamy? Pole sana kwa maumivu. Jaribu kupunguza chumvi na cholesterol in general ila pia endelea na vipimo. Moyo unapo uma hivo unauskia kati kati ya kifua au kwenye ziwa? na bega je? Hauskii kama maumivu bega la kushoto?
yap nausikia ivo ktk titi la kushoto,na bega lake kwa back kama kuna waka fire ila ni mpaka nikasirike,nishtuke,sema ninachouliza ni y maumivu hayo huchukua wiki 3 -4 sio kama wanadamu wengine wa kawaida nusu saa maumivu yote kwishney.............mda wote nakua normal sema nausikia tu uchungu mkali ndani ya moyo kinoma yani
 
....bado camini km unashindwa kwenda hata ER maana najua hawa majamaa kwa vipimo wapo siriaz...!
Najua ulishapunguza mwili kiasi na mambo ya kula kula ila again hisicheze na mambo ya moyo !!! Huyo mwenza ndo analeta matatizo nn ?
nilishaenda na kila wiki naenda kuangalia mara moja ndio ratiba wameniwekea iyo ili wajue wats da problem?
 
Aminata!!pole sana dia!hali kama hiyo inawatokea watu mara nyingi sana!sijajua sana kitaalam inasababishwa na nini,but jaribu kufuata ushauri utakaopewa na daktari!pole sana!
 
Kujihisi kuwa moyo unavuja damu unaposhituka ni jambo la kawaida. Usiogope na ninakuhakikishia kuwa huna maradhi yeyote bali una hali nafsia. Yaani upo concious of your health. You have phobia of becomming sick. Ushauri wangu ni tafuta passtime itakayo kutoa kutoka hali hiyo. Deppression zako zoooote zita vanish kama ukianza kuwa outdoors. Nenda beach na freinds wako. Sikiliza music na excessise. This is your only remedy. See me for further advise.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom