AMINATA 9
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 2,120
- 641
nasikia maumivu sana moyoni mwangu na ni makali sana cwez kujizuia nahisi kama moyo unavuja damu ndani kwa maumivu niliyonayo...........hali hii hunitokea kila nikipata kitu chochote cha kunishtua .........niliwai kwenda medical wakaniambia cna tatizo lolote ila mm maumivu nayackia ndani ya moyo wangu makali sana na leo yamezidi ni makali mnoooooooooo..........i cant take it any more