Mamushka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 1,595
- 99
Kama kweli unauhakika unataka akuache, be a woman, mtafute mkewe muonyeshe sms anazokutishia, then mkewe ndo amkanye. Aanhaaa huo utam anauona leo mwehu nini, anataka amiliki wana wake wawili wawili then wenzake wapate wapi kama si uselfish huo. Kimbiza akafie mto kagera huko.