BPM
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,760
- 573
Wala simpendi hata kidogo,tabia zake zilisababisha mapnz yangu kwake yakaisha kbs ndio maana nikachapa mwendo.
hahahaha haya lkn naamini kuna kosa ulilolifanya hapa ndo maana sometime anakuwa na hasira nawe