Ndiyo viongozi wa kesho nyie? Khaaaaa..!!!!?? Badala ya kujiandaa na mitihani unawaza "wizi/udanganyifu"?
Kila la Heri Kijana!
Kumbe JF nayo kuna watoto wa O-Level? Duh! Nimechoka gafla!
Dogo nakutakia mtihani mwema.
Nenda ukakitoe kile ulichokiingiza kichwani mwako katika miaka yako minne ya masomo, na ata wakati wa kusahihishwa paper zako, kwa haki uhukumiwe; usikoseshwe pale ulipopatia na wala usipewe tick pale ulipokosea, nenda ukafune ulichokipanda.
Dah! Haya bana, kila la heri.
Jiandae kupiga nyuzi 360.
Dogo, kama ulichangia mema huku, nakutakia mema, kama ulikua unaangalia mapenzi, uwe na mapenzi mema na mtihani wako. Kamata kitabu. We o-level unahaki ya kupata na kushiriki kutoa taarifa. Ila nawasiwasi. Soma
Hii yako pia ni JOKE.
mitihani unaionaje kijana? wanakulenga eeh, ama?