Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 659
Nina rafiki yangu ambaye amehitimu kidato cha nne na anahtaji kujiunga na chuo kinachotoa mafunzo ya polisi-trafic. Je,ni nini vigezo vya muhimu vinavyohitajika na muda wa hiyo cozi? Na application zake zinaanza lini? Natanguliza shukrani zangu.