Nini kina sababisha siku za hedhi kupitiliza kama huna mimba?

kama kweli anatumia dawa za kisasa zina haribu sana mfumo wa homoni ndani ya mwili na kusababisha mapungufu mengi sana tujihadhari na hizi mbinu za kingeni
 
Naomba msaada mke wangu anasumbuliwa na kutoka hedhi bila mpangilio mara kwa mara. Tumeenda kwa doctors ambao ni specialist kwa wanawake bado tatizo halionekani. What can i do? I need your help. THANKS.
 
Pole sana. Hebu google 'ovarian cyst symptoms' ujisomee. Lakini pia angalia 'fibroids symptoms'. Hizo zote zitaku-guide maswali ya kumuuliza daktari. Kiukweli unahitaji kumpeleka kwa daktari wa wanawake. Atasaidiwa mara moja. Ni-pm mahali unapoishi nikushauri dr wa kumuona. Tatizo linatibika.
 
Kama ni mumekwenda kwa Ma Doctors Specialist na tatizo halionekani basi itakuwa ni mambo ya Kiswahili, Atakuwa na pepo mchafu au kafanyiwa mambo ya Kiswahili (Uchawi) inapokuwa hiyo Damu ya hedhi inapomtoka anakuwa anaumwa sana na tumbo na kichwa pia kina muuma na moyo wake kwenda mbio?jaribu kumuuliza. Mupo wapi nyie? Maelezo zaidi nitumie email yangu hii (fewgoodman@hotmail.com) Nitakuambia kitu gani cha kufanya.. nachid
 
Last edited by a moderator:
mkeo hajawahi tumia dawa za kuzuia mimba? muulize maana dawa za kuzuia mimba zinaharibu sana hormone ndani ya mwili na kusababisha baadhi ya vichocheo kutofanya kazi vizuri
 
Kama ni mumekwenda kwa Ma Doctors Specialist na tatizo halionekani basi itakuwa ni mambo ya Kiswahili, Atakuwa na pepo mchafu au kafanyiwa mambo ya Kiswahili (Uchawi) inapokuwa hiyo Damu ya hedhi inapomtoka anakuwa anaumwa sana na tumbo na kichwa pia kina muuma na moyo wake kwenda mbio?jaribu kumuuliza. Mupo wapi nyie? Maelezo zaidi nitumie email yangu hii (fewgoodman@hotmail.com) Nitakuambia kitu gani cha kufanya.. nachid

Thanx nitakuemail
 
Last edited by a moderator:
Wel mi cc had the same prob,akaenda dic hospital at Kino,kuna thic pilz alipewa zipo ka 60 unakunywa kwa mwezi mzima,yah alipona kimtindo..bt its nat advisable bkoz atakuwa hana safe dayz,anytym ukisex nae nomatter wat atapata mimba koz zinarekebisha female hormones,xo achague 1...let mi axk ma cc ntakupa jibu hosptli gani
 
Waungwana hili limemtokea jirani yangu .yeye binafsi anasema haijawahi kumtokea hii ni mara ya kwanza.je wakuu hali hii ina madhara yeyote?
 
kwa mtu anayetumia vidonge vya majira inaweza kuwa hivyo.
hii inatokea kama haufuati mzunguko mzima badala yake unatumia kidonge pale
unapotaka kwenda kukutana na mtu.

Zaidi watasema wakuu hapa.
 
Back
Top Bottom