> Wahi hospitali Dada -- Preferably Marie Stopes -- hawa wana ujuzi na mambo ya birth control.
> Wengi hapa Jamvini ni Wanasiasa, Wachumi na Wa-IcT, of course na Ma-Engineer. Ma-Gyno ni wachache mno hapa!
Nilichoma sindano ya kuzuia mimba January 13, na ilipofika february 13 nikaanza bleed, kwa kawaida huwa naenda mpaka siku 5, lakini kuanzia tarehe february 13 mpaka hivi sasa bado ninableed. hakika nimechanganyikiwa. naomba ushauri wenu nifanyaje?
Sure Mkuu,
hata mimi niliwahi kuuliza maswali ya kiafya sikupata hata jibu moja. Yaelekea humu wengi ni wanasiasa (of coz kila mmoja ni mwanasiasa) na wahandisi, wahandishi, ... hata wahandisi wenyewe hawataki kujibu maswali ya kihandisi .... ukiuliza kitu cha kitaalamu wanakuingizia siasa mpaka mjadala unabadilika...
Nilichoma sindano ya kuzuia mimba January 13, na ilipofika february 13 nikaanza bleed, kwa kawaida huwa naenda mpaka siku 5, lakini kuanzia tarehe february 13 mpaka hivi sasa bado ninableed. hakika nimechanganyikiwa. naomba ushauri wenu nifanyaje?
mbona kuna daktari katoa thread ataka kujibu maswali! https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/9373-leteni-maswali-ya-kiafya-niwasaidie.html
Na kuna vitu vya kuuliza jf, kama mengine ni obvious unatakiwa upige hodi kituo cha afya- bleeding!
shekhe> Wahi hospitali Dada -- Preferably Marie Stopes -- hawa wana ujuzi na mambo ya birth control.
> Wengi hapa Jamvini ni Wanasiasa, Wachumi na Wa-IcT, of course na Ma-Engineer. Ma-Gyno ni wachache mno hapa!
Sure Mkuu,
hata mimi niliwahi kuuliza maswali ya kiafya sikupata hata jibu moja. Yaelekea humu wengi ni wanasiasa (of coz kila mmoja ni mwanasiasa) na wahandisi, wahandishi, ... hata wahandisi wenyewe hawataki kujibu maswali ya kihandisi .... ukiuliza kitu cha kitaalamu wanakuingizia siasa mpaka mjadala unabadilika...
> Wahi hospitali Dada -- Preferably Marie Stopes -- hawa wana ujuzi na mambo ya birth control.
> Wengi hapa Jamvini ni Wanasiasa, Wachumi na Wa-IcT, of course na Ma-Engineer. Ma-Gyno ni wachache mno hapa!