Nini kina sababisha siku za hedhi kupitiliza kama huna mimba?

Suzzie

Member
Feb 25, 2009
98
12
Nilichoma sindano ya kuzuia mimba January 13, na ilipofika february 13 nikaanza bleed, kwa kawaida huwa naenda mpaka siku 5, lakini kuanzia tarehe february 13 mpaka hivi sasa bado ninableed. hakika nimechanganyikiwa. naomba ushauri wenu nifanyaje?
 
Nenda ukawaone madaktari haraka sana. Haya madawa ya kuzuia mimba mengi yana side effects inabidi uzisome kwa uangalifu sana na kuuliza maswali mengi kwa wataalam kabla ya kuamua ni ipi inayofaa kutumia.
 
> Wahi hospitali Dada -- Preferably Marie Stopes -- hawa wana ujuzi na mambo ya birth control.

> Wengi hapa Jamvini ni Wanasiasa, Wachumi na Wa-IcT, of course na Ma-Engineer. Ma-Gyno ni wachache mno hapa!
 
> Wahi hospitali Dada -- Preferably Marie Stopes -- hawa wana ujuzi na mambo ya birth control.

> Wengi hapa Jamvini ni Wanasiasa, Wachumi na Wa-IcT, of course na Ma-Engineer. Ma-Gyno ni wachache mno hapa!

Sure Mkuu,
hata mimi niliwahi kuuliza maswali ya kiafya sikupata hata jibu moja. Yaelekea humu wengi ni wanasiasa (of coz kila mmoja ni mwanasiasa) na wahandisi, wahandishi, ... hata wahandisi wenyewe hawataki kujibu maswali ya kihandisi .... ukiuliza kitu cha kitaalamu wanakuingizia siasa mpaka mjadala unabadilika...
 
Nilichoma sindano ya kuzuia mimba January 13, na ilipofika february 13 nikaanza bleed, kwa kawaida huwa naenda mpaka siku 5, lakini kuanzia tarehe february 13 mpaka hivi sasa bado ninableed. hakika nimechanganyikiwa. naomba ushauri wenu nifanyaje?


Hi

Nadhani hiyo ni kawaida maana hizo dawa huingiliana na hormonal balance, nakushauri uende ukaonane na gynacoelogist otherwise niPM....
 
Suzzie,
Ku-bleed kunasababishwa na mambo mengi ikiwa pamoja na mabadiliko ya hormone (hormonal imbalance).
Nakushauri uwasiliane na Daktari wa kinamama ili akupime na kukupa matibabu sahihi.
Lakini kwa majibu ya haraka haraka, tatizo lako linaweza kuwa linatokana na hizo sindano unazotumia.

Kuhusu kuendelea kutumia sindano hizi au la, daktari anaweza kukupa maelezo mazuri zaidi.

Natumai maelezo haya yamekusaidia.
 
Sure Mkuu,
hata mimi niliwahi kuuliza maswali ya kiafya sikupata hata jibu moja. Yaelekea humu wengi ni wanasiasa (of coz kila mmoja ni mwanasiasa) na wahandisi, wahandishi, ... hata wahandisi wenyewe hawataki kujibu maswali ya kihandisi .... ukiuliza kitu cha kitaalamu wanakuingizia siasa mpaka mjadala unabadilika...

mbona kuna daktari katoa thread ataka kujibu maswali! https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/9373-leteni-maswali-ya-kiafya-niwasaidie.html

Na kuna vitu vya kuuliza jf, kama mengine ni obvious unatakiwa upige hodi kituo cha afya- bleeding!
 
Dada SUZZIE, hiyo ni side effect (SE) ya contraceptive uliiyoitumia (DEPO-PROVERA), mabadiliko ya mentrual cycle ni commonest SE kwa hiyo contraceptive, wengine hawapati kabisa damu kwa kipindi chote wanapotumia hiyo dawa, na wengine kama wewe wanapata prolonged/irregular mentrual bleeding, nakushauri uonane na GYNAECOLOGIST.
 
Nilichoma sindano ya kuzuia mimba January 13, na ilipofika february 13 nikaanza bleed, kwa kawaida huwa naenda mpaka siku 5, lakini kuanzia tarehe february 13 mpaka hivi sasa bado ninableed. hakika nimechanganyikiwa. naomba ushauri wenu nifanyaje?

Kamuone Daktari wa Gynae haraka sana!!! Usipoteze muda hata kidogo.
 
Mimi si daktari lakini nina uzoefu kidogo kuhusu hilo. Ni suala la kawaida unapoanza kuchoma sindano kwa mara ya kwanza. Kwa wanawake wengi huwa siku unakuwa huziona kabisa. Lakini kwa wachache ndio hivyo tena unakuwa unaziona mfululilizo. Inaweza kuwa mwezi mmoja au miwili halafu inakatika. Hii ni katika miezi mitatu ya kwanza ya kutumia. Baadaye mwili unazoea na unarudi katika hali ya kawaida. Mwaka mmoja baada ya kuzoea kutumia sindano siku huwa zinakuwa chache(mara nyingi moja) na nyepesi kabisa. Hata kwa wale ambao mara ya kwanza ilikuwa mfululizo. Lakini ni vyema ukamuona daktari wako akakupa ushauri zaidi kama mwezi wa pili ukipita na hali ikawa hivyo hivyo. Na hata ukiacha, utarudi kwenye hali ya kawaida baada ya miezi miwili mpaka mitatu mpaka hizo homoni ziishe mwilini. Na kurudi mpaka kuweza kushika ujauzito huchukua miezi 6 mpaka 8; kwa wachache miaka miwili.

Asha
 
mbona kuna daktari katoa thread ataka kujibu maswali! https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/9373-leteni-maswali-ya-kiafya-niwasaidie.html

Na kuna vitu vya kuuliza jf, kama mengine ni obvious unatakiwa upige hodi kituo cha afya- bleeding!

Mkuu utakumbuka kuwa AVATAR ya huyo daktari ilikuwa inatisha na by itself ilizua mjadala ... isitoshe hata yeye nilimwuliza hilo swali hakuwahii kujibu. Unajua hata hizi avatar tunazotumia zinahashiria mhusika ni mtu wa aina gani .... mfano ukicheki ya kwangu utagundua kuwa mimi ni mtu anaependa vitu gani....
 
> Wahi hospitali Dada -- Preferably Marie Stopes -- hawa wana ujuzi na mambo ya birth control.

> Wengi hapa Jamvini ni Wanasiasa, Wachumi na Wa-IcT, of course na Ma-Engineer. Ma-Gyno ni wachache mno hapa!
shekhe
tupo magnyo hapa wa ndoa za watu mkuu pamoja na mabinti bikra.

Namshauri Outlier kama yupo dar aende aghakhani watampatia huduma ya fasta maana maria stopes mh! utata mtupu
 
Sure Mkuu,
hata mimi niliwahi kuuliza maswali ya kiafya sikupata hata jibu moja. Yaelekea humu wengi ni wanasiasa (of coz kila mmoja ni mwanasiasa) na wahandisi, wahandishi, ... hata wahandisi wenyewe hawataki kujibu maswali ya kihandisi .... ukiuliza kitu cha kitaalamu wanakuingizia siasa mpaka mjadala unabadilika...

Out of curiosity...what qualications do you have and what assistance were you looking for?
 
> Wahi hospitali Dada -- Preferably Marie Stopes -- hawa wana ujuzi na mambo ya birth control.

> Wengi hapa Jamvini ni Wanasiasa, Wachumi na Wa-IcT, of course na Ma-Engineer. Ma-Gyno ni wachache mno hapa!

HUO UTAFITI UMEUFANYIA WAPI? Mimi ni wa fani gani kama unatabiri?

Hujamwona `mwanakijiji halisi` humu ndani? Ningekusupport ungesema

kuwa may be wengi ni Journalists na Kanjanjas. Hahahaaaa!!!!

Dadaandu, cha kufanya kwa haraka ni kuwahi hospital kama wengi

walivyosema. Hata wenye fani hiyo watakuwa na msaada mdogo kupitia

jamvi hili, coz u have to be physically examined of your uteral functioning.
 
Forum: JF Doctor 3rd March 2009, 04:06 PM
Replies: 16 Bleeding: Jamani nisaidieni
Views: 411 Posted By Suzzie
Bleeding: Jamani nisaidieni

Nilichoma sindano ya kuzuia mimba January 13, na ilipofika february 13 nikaanza bleed, kwa kawaida huwa naenda mpaka siku 5, lakini kuanzia tarehe february 13 mpaka hivi sasa bado ninableed. hakika...


Suzzie, hii hali yako ya bleeding ulii-post tarehe 3 March, sasa embu tuambie kama bado una-bleed mpaka sasa hivi au tatizo limeshakuwa solved.
 
Pole Suzie,
Sio kweli kwamba humu wamejaa Engineers,politiki men etc,mimi nimewahi kusaidiwa sana na Complications kubwa sana,msiwakatishe moyo wanaosaidia. Jamani mtu kama anahitaji msaada si lazima awaulize ndugu zake?hata kama sio ma dakatari watampa ushauri kama wengi hapo juu mlivyofanya? Na wengi wali ni PM.
Suzie uko wapi kama ni US au Tanzania naweza kukupa ushauri wa haraka.
 
Pole Suzie,
Sio kweli kwamba humu wamejaa Engineers,politiki men etc,mimi nimewahi kusaidiwa sana na Complications kubwa sana,msiwakatishe moyo wanaosaidia. Jamani mtu kama anahitaji msaada si lazima awaulize ndugu zake?hata kama sio ma dakatari watampa ushauri kama wengi hapo juu mlivyofanya? Na wengi wali ni PM.
Suzie uko wapi kama ni US au Tanzania naweza kukupa ushauri wa haraka.
 
Back
Top Bottom