Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,364
suzzie..worry not..tatizo lako limekwisha..unahitaji kumwona gyno...ndiooo..hilo si tatizo la kumwona daktari wa masuala ya kina mama....nenda moroco kuna hospital ya dr. massawe bingwa wa watoto muhimbili....mke wa dr. massawe anaitwa dr. ceriel (sirieli) massawe ni bonge la gyno...anaingia mida ya jioni kuanzia saa 11 jioni..kaweke appointment mapema muone akusaidie....natumai sasa utapata ahueni.