Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
Pole sana...haya masuala bwana, kafanyiwe tu vipimo dada, kuna sababu nyingi...Hormonal Imbalance,unaweza kuwa una develop kitu kama uvimbe kwenye tumbo la uzazi....nenda tu kwa Gyno, akutazame kwa undani.....!! Nina mwenzangu aliambiwa ana Hormonal Imbalance, akapewa aina fulani ya Contraceptives ika-regulate ile damu baada ya miezi mitatu....! Tafuta kujua tatizo nini kwanza!