William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Thread starter
- #21
Mimi nimesema wabaki lakini uzi uwe ule ule - kutetea maslahi ya taifa, kutetea uhuru wa Bunge na kuisimamia na kuilinda Katiba. Sioni mtego hapa kwa sababu kama watasimamia wanachoamini ni sawa bila kutetereka na CCM ikaamua kuwatosa, watakuwa wameshinda awamu ya kwanza kwenye hii vita - watapokewa na wananchi kama mshujaa.
I am trying hard to believe that somebody, somewhere, somehow is not trying to pool the wool over our eyes !
- Another Great thinking, hapo tupo pamoja sana mkuu.
Respect.
Field Marshall Es!