Kwa kuwa wao pia ni kama kundi, wakae pomoja waunde kundi A na B,
Kundi A litoke CCM na kujiunga na wapambanaji wengine ili kuongeza nguvu na kuwahakikishia watanzania kuwa Tanzania isiyo na Mafisadi inawezekana
Kundi B libaki CCM na liendelee kupambana na mafisadi ndani kwa ndani, kundi hili litawanyima mafisadi kubuni baadhi ya mipango ndani ya CCM kwa kuwa watajua si wote wafuasi wao, kwa mfano kama CCM yote itabaki kuwa ya mafisadi ni rahisi kwao kupanga mpango wa kuwamaliza wapinzani wao (either political death or physical death ... utajaza mwenyewe), mfano mzuri ni kwamba, wakati kina Nyerere wanapigania uhuru walipata msaada kutoka kwa baadhi ya Waingereza ambao walikuwa wanawapa tip .... kwamba kimepangwa hiki na hiki.
Ikumbukwe kuwa Vita dhini ya mafisadi (tangu ilipoanza rasmi pale mwembe yanga) imekuja kwa kuwashitukiza (it has taken them by suprise) na mpaka sasa wemetumia pesa nyingi sana kujaribu kuizima, na wanatumia pesa nyingi sana kununua supporters na hawapati dili za pesa kama ilivyokuwa zamani,
kwa ufupi ni kwamba wanatumia pesa nyingi na hawaingizi chochote
Nini kosa la kuwaachia Mafisadi uhuru 100% ndani ya CCM?
Mafisadi wanahitaji Mwaka mmoja tu wa uhuru ndani ya chama/serikali ili waikamue vilivyo Tanzania kiasi kwamba watarudisha ghalama zao na kujilimbikizia utajiri mkubwa kwa ajili yao mpaka watoto wa wajukuu zao.
Tafadhali wasipewe hiyo nafasi.
Kundi A litoke CCM na kujiunga na wapambanaji wengine ili kuongeza nguvu na kuwahakikishia watanzania kuwa Tanzania isiyo na Mafisadi inawezekana
Kundi B libaki CCM na liendelee kupambana na mafisadi ndani kwa ndani, kundi hili litawanyima mafisadi kubuni baadhi ya mipango ndani ya CCM kwa kuwa watajua si wote wafuasi wao, kwa mfano kama CCM yote itabaki kuwa ya mafisadi ni rahisi kwao kupanga mpango wa kuwamaliza wapinzani wao (either political death or physical death ... utajaza mwenyewe), mfano mzuri ni kwamba, wakati kina Nyerere wanapigania uhuru walipata msaada kutoka kwa baadhi ya Waingereza ambao walikuwa wanawapa tip .... kwamba kimepangwa hiki na hiki.
Ikumbukwe kuwa Vita dhini ya mafisadi (tangu ilipoanza rasmi pale mwembe yanga) imekuja kwa kuwashitukiza (it has taken them by suprise) na mpaka sasa wemetumia pesa nyingi sana kujaribu kuizima, na wanatumia pesa nyingi sana kununua supporters na hawapati dili za pesa kama ilivyokuwa zamani,
kwa ufupi ni kwamba wanatumia pesa nyingi na hawaingizi chochote
Nini kosa la kuwaachia Mafisadi uhuru 100% ndani ya CCM?
Mafisadi wanahitaji Mwaka mmoja tu wa uhuru ndani ya chama/serikali ili waikamue vilivyo Tanzania kiasi kwamba watarudisha ghalama zao na kujilimbikizia utajiri mkubwa kwa ajili yao mpaka watoto wa wajukuu zao.
Tafadhali wasipewe hiyo nafasi.