Kansigo
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 2,670
- 2,156
Nimenukuu Kama Ifuatavyo👇Na naulizia mchakato umefikia wapi kwa anayejua
UWANJA WA SOKA WA KISASA KUJENGWA CHATO.
Serikali itajenga Uwanja wa soka wa kisasa katika eneo la Chato na utajulikana kama Chato Stadium.
Waziri wa Nishati, Medard Kalemani amesema Uwanja huo utakuwa wa pili kwa ukubwa baada ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Kalemani amesema Uwanja huo utatumika kwa ajili ya kuvutia watalii na wawekezaji katika masuala ya utalii.
Waziri Kalemani amesema Uwanja huo utaanza kujengwa hivi karibuni.
UWANJA WA SOKA WA KISASA KUJENGWA CHATO.
Serikali itajenga Uwanja wa soka wa kisasa katika eneo la Chato na utajulikana kama Chato Stadium.
Waziri wa Nishati, Medard Kalemani amesema Uwanja huo utakuwa wa pili kwa ukubwa baada ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Kalemani amesema Uwanja huo utatumika kwa ajili ya kuvutia watalii na wawekezaji katika masuala ya utalii.
Waziri Kalemani amesema Uwanja huo utaanza kujengwa hivi karibuni.