Miradi hii ilipelekwa Chato. Kila Rais akipendelea kwao kama yule marehemu Tanzania itaendelea kuwepo?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,097
49,795
Upendeleo wa hivi hautakiwi na ikomeshwe mara Moja maana ni hatari kwa mstakabali wa umoja wa kitaifa.

Chato peke yake kulikuwa na miradi zaidi ya 14 mikubwa mikubwa Kama ifuatavyo

1. Miradi wa Kiwanja Cha Ndege Chato
2. Mradi wa Maktaba ya Kanda ya Ziwa-Chato
3. Mradi wa Chuo Kikuu Chato-Tawi la Udsm
3. Mradi wa Tawi la Chuo Cha Fedha na Mipango Chato
4. Mradi wa Hoteli ya Nyota 3 Chato
5. Mradi wa Kuunda Hifadhi Mpya ya Taifa Burigi Chato
5. Mradi wa Hospitali ya Kanda Chato
6. Mradi wa Standi Kuu ya Hadhi ya Kanda Chato
7. Mradi wa Soko la Samaki la Kanda Chato
8. Mradi wa Barabara ya lami Chato
9. Mradi wa Gati la Nyamirembe Chato
10. Mradi wa Shule Maalumu ya Mkoa Chato
11. Mradi wa Majengo ya Makazi ya Watumishi NHC Chato.
12.Mradi wa Chuo Kikuu Huria Tawi la Chato.

Hiyo ni Baadhi tuu ya Miradi mikubwa kati ya maelfu ya miradi ambayo bwana yule alijipendelea kwenye Kijiji chake Kwa kutumia Rasilimali za Nchi Kuleta upendeleo wa kimaeneo kinyume na kiapo chake.
Screenshot_20231110-212213.jpg
389616209.jpg
-1901666858.jpg
-728711722.jpg


My Take
Wakati mwingine tuwe tunachunguza rekodi za watu (vetting) kabla ya kuwafanya viongozi wa Nchi maana wanaweza kuja kuleta taharuki kubwa.

View: https://www.instagram.com/p/Cz_Xq2RN0dL/?igsh=YW9pdTMzbTZ0ajVi
-579007212.jpg
 
Upendeleo wa hivi hautakiwi na ikomeshwe mara Moja maana ni hatari kwa mstakabali wa umoja wa kitaifa.

Chato peke yake kulikuwa na miradi zaidi ya 14 mikubwa mikubwa Kama ifuatavyo

1.Miradi wa Kiwanja Cha Ndege Chato
2.Mradi wa Maktaba ya Kanda ya Ziwa-Chato
3.Mradi wa Chuo Kikuu Chato-Tawi la Udsm
3.Mradi wa Tawi la Chuo Cha Fedha na Mipango Chato
4.Mradi wa Hoteli ya Nyota 3 Chato
5.Mradi wa Kuunda Hifadhi Mpya ya Taifa Burigi Chato
5.Mradi wa Hospitali ya Kanda Chato
6.Mradi wa Standi Kuu ya Hadhi ya Kanda Chato
7.Mradi wa Soko la Samaki la Kanda Chato
8.Mradi wa Barabara ya lami Chato
9.Mradi wa Gati la Nyamirembe Chato
10.Mradi wa Shule Maalumu ya Mkoa Chato
11.Mradi wa Majengo ya Makazi ya Watumishi NHC Chato

Hiyo ni Baadhi tuu ya Miradi mikubwa kati ya maelfu ya miradi ambayo bwana yule alijipendelea kwenye Kijiji chake Kwa kutumia Rasilimali za Nchi Kuleta upendeleo wa kimaeneo kinyume na kiapo chake.
View attachment 2871785

My Take
Wakati mwingine tuwe tunachunguza rekodi za watu (vetting) kabla ya kuwafanya viongozi wa Nchi maana wanaweza kuja kuleta taharuki kubwa.
Roho mbaya huyu mwamba hayupo diniani lakini mlimshamshindwa
 
Upendeleo wa hivi hautakiwi na ikomeshwe mara Moja maana ni hatari kwa mstakabali wa umoja wa kitaifa.

Chato peke yake kulikuwa na miradi zaidi ya 14 mikubwa mikubwa Kama ifuatavyo

1.Miradi wa Kiwanja Cha Ndege Chato
2.Mradi wa Maktaba ya Kanda ya Ziwa-Chato
3.Mradi wa Chuo Kikuu Chato-Tawi la Udsm
3.Mradi wa Tawi la Chuo Cha Fedha na Mipango Chato
4.Mradi wa Hoteli ya Nyota 3 Chato
5.Mradi wa Kuunda Hifadhi Mpya ya Taifa Burigi Chato
5.Mradi wa Hospitali ya Kanda Chato
6.Mradi wa Standi Kuu ya Hadhi ya Kanda Chato
7.Mradi wa Soko la Samaki la Kanda Chato
8.Mradi wa Barabara ya lami Chato
9.Mradi wa Gati la Nyamirembe Chato
10.Mradi wa Shule Maalumu ya Mkoa Chato
11.Mradi wa Majengo ya Makazi ya Watumishi NHC Chato

Hiyo ni Baadhi tuu ya Miradi mikubwa kati ya maelfu ya miradi ambayo bwana yule alijipendelea kwenye Kijiji chake Kwa kutumia Rasilimali za Nchi Kuleta upendeleo wa kimaeneo kinyume na kiapo chake.
View attachment 2871785

My Take
Wakati mwingine tuwe tunachunguza rekodi za watu (vetting) kabla ya kuwafanya viongozi wa Nchi maana wanaweza kuja kuleta taharuki kubwa.
Tatizo ni katiba ya mwaka 1977 imempa rais madaraka makubwa sana
 
Muacheni mzee apumzike kwa amani. Kama na stand ya dodoma au standa ya maguful mbez nayo ipo Chato sawaaaaa



Amefnya mangap? Mzee alikuwa anajua nn anafanya kw maslah mapana ya nchi yetu. Haya hao marais wenu wengne wamefnya nn hata kwao wamepekea nn
 
Upendeleo wa hivi hautakiwi na ikomeshwe mara Moja maana ni hatari kwa mstakabali wa umoja wa kitaifa.

Chato peke yake kulikuwa na miradi zaidi ya 14 mikubwa mikubwa Kama ifuatavyo

1.Miradi wa Kiwanja Cha Ndege Chato
2.Mradi wa Maktaba ya Kanda ya Ziwa-Chato
3.Mradi wa Chuo Kikuu Chato-Tawi la Udsm
3.Mradi wa Tawi la Chuo Cha Fedha na Mipango Chato
4.Mradi wa Hoteli ya Nyota 3 Chato
5.Mradi wa Kuunda Hifadhi Mpya ya Taifa Burigi Chato
5.Mradi wa Hospitali ya Kanda Chato
6.Mradi wa Standi Kuu ya Hadhi ya Kanda Chato
7.Mradi wa Soko la Samaki la Kanda Chato
8.Mradi wa Barabara ya lami Chato
9.Mradi wa Gati la Nyamirembe Chato
10.Mradi wa Shule Maalumu ya Mkoa Chato
11.Mradi wa Majengo ya Makazi ya Watumishi NHC Chato

Hiyo ni Baadhi tuu ya Miradi mikubwa kati ya maelfu ya miradi ambayo bwana yule alijipendelea kwenye Kijiji chake Kwa kutumia Rasilimali za Nchi Kuleta upendeleo wa kimaeneo kinyume na kiapo chake.
View attachment 2871785

My Take
Wakati mwingine tuwe tunachunguza rekodi za watu (vetting) kabla ya kuwafanya viongozi wa Nchi maana wanaweza kuja kuleta taharuki kubwa.

View: https://www.instagram.com/p/C0BkEw6NpqS/?igsh=dG43a3g1bDkzdGtt

Fanya vetting kwa jimama lako. Shetani wewe
 
Upendeleo maana yake ni kumpa fursa mtu asiyestahili na kuwaacha wengine wanaostahili.

Hebu, nisaidie; Vitu hivyo havikustahili kuwa located hapo? Je, Maeneo mengine katika utawala wake hakuna miradi iliyokwenda?

Vyote hivyo vingekamilika, je wanufaika wangekuwa ni watu wa Chato tu?
 
Muacheni mzee apumzike kwa amani. Kama na stand ya dodoma au standa ya maguful mbez nayo ipo Chato sawaaaaa



Amefnya mangap? Mzee alikuwa anajua nn anafanya kw maslah mapana ya nchi yetu. Haya hao marais wenu wengne wamefnya nn hata kwao wamepekea nn
Hakuna amani yeyote Kwa upendeleo wa wazi wazi kama huo,hapo sijataja majengo ya Benki,taa za mitaani,viwanja vya mipira nk

Hii haikubaliki

View: https://www.instagram.com/p/CyihAM5NC8i/?igsh=MWZrdGh3d2QzZnZoNA==
 
Yani mpaka soko la Samaki nalo mnaona shida kujengwa Chato! Miradi ulya soko si karibu kila wilaya ilipata?
 
Yule jamaa alikuwa mpuuzi. Na upuuzi huo naona umeigwa na Kizimkazi pia.

Sasa hivi Zanzibar mpk majengo ya zanahanati yanabadilishwa kuwa maghorofa.

Nchi yenye bajeti ya trilioni 2.3 kwa mwaka lkn inafanya miradi ya trilioni 10 kwa mwaka.
 
Katiba hairuhusu vetting in case rais kafia ofisini.
Ingekua Kama Kenya rais akifa, makamu anashika kwa siku 90 then tunamchagua Kama tumeridhika naye, yaani Kama atachukua form Kama wagombea wengine.
 
Back
Top Bottom