Nini hatma ya katibu mkuu wa Nishati na Madini?

kujiuzulu isnt enough jameni! castrate the cunt wherever he is without anesthesia or whatever iwe fundisho kwawengine!hafai!
hawa ndio wale ma suckers! they are sucking us brutally and mercylessly!
 
Tunataka collective responsibility,nasubiri kusikia waziri na waziri mdogo wafatie,maana haiingii akilini katibu mkuu kufanya huo mchakato pasipo mkuu wake kujua,so Ngereja na Malima u have to follow same way
 
Bahati nzuri nilikuwa hata zijafunga page iliyokuwa na habari ya kujiuzulu.

Michuzi.PNG

attachment.php
 
Nitashangaa sana kama Ngeleja na Malima watamaliza wiki wakiwa madarakani maana nina uhakika huyo Jairo alifuata maelekezo yao ndo akaandika hizo barua.
 
wa kwanza alikuwa anatakiwa kujiuzuru ngeleja na msaidizi wake...Jairo anatekeleza maagizo ya mabosi wake...wasitake kumfanya mbuzi wa kafara hapa
 
Nitamshangaa sana Hosea atakaposema Ushahidi hana.....Manake nayeye huwa ana matatizo makubwa ktk ubongo wake.....Vitu vilivyo wazi anasema ushahidi hana.
hivi huyu mtu yupo ?
kama yupo ushahidi wa wazi wanao wabunge tena wa chama chake,
mpigieni mwambie kuna issue,
sijui anaelewa au na hii ataipotezea kama ya Radar
 
wa kwanza alikuwa anatakiwa kujiuzuru ngeleja na msaidizi wake...Jairo anatekeleza maagizo ya mabosi wake...wasitake kumfanya mbuzi wa kafara hapa

Kabisa mkuu,

Ministerial responsibility or individual ministerial responsibility is a constitutional principle which means that if waste, corruption, or any other misbehaviour is found to have occurred within a ministry, the minister is responsible even if the minister had no knowledge of the actions. A minister is ultimately responsible for all actions by a ministry. If misdeeds are found to have occurred in a ministry the minister is expected to resign. It is also possible for a minister to face criminal charges for under their watch.
 
Ujeuri wake wote kwisha sasa maana Jairo ni jeuri hasa na anajiamini sana kwa sababu yuko karibu sana na JK!!nasikiaa alimtishia nyau JK kuwa anaoga deal kubwa zibapigwa sana pale ikulu yeye hapati kitu umri umefika hana chochote........akatishia atamwaga ugali au mboga basi waungwana wakampooza na PS
 
Wana JF, kama kuna mtu anayejua hatma ya katibu mkuu wa nishati na madini naomba aweke mambo hadharani hapa jamvini.
Wasalaam, Fikirini
 
duh hii kali mtoto kakosea halafu anajichapa ili kumuokoa baba asifanye maamuzi magumu, nsiande una vituko
 
source please,

btw,kafukuzwa, kaachishwa ama kajiuzulu..afu mahakamani inakuwaje sasa? ama anazawadiwa benki ya wakulima?
 
Sinema limeanza....ila wasituondoe tu katika hoja yetu ya msingi ya UMEME & MADINI na manufaa yake kwa waTZ
 
Back
Top Bottom