Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
kwanza ndio kisima cha elimu tanzania,huwez ongelea mafanikio ya elimu bongo bila kuitaja udsm..
mlimani kinatajwa sana kwasababu ya ukwongwe wake. Ila kuna kozi zipo Mzumbe Mlimani hazipo, kuna Kozi zipo SUA mlimani hazipo, kuna kozi za MUHAS mlimani hazipo. Ila zina tija ndani ya nchi yetu.