Nini chimbuko la Vita vya Uhujumu Uchumi - 1983-84?

"Mikingamo... Sasa vita vimetangazwa jama, wananchi wote tuwe imara, vijijini na mijini tusisite kuwafichua wahujumu na walanguzi"

Nini kulikuwa chimbuko la kuanzishwa kwa vita dhidi ya wahujumu uchumi, walanguzi na wafanya magendo?

Sheria ya Uhujumu Taifa ya mwaka 1984 bado iko hai, kwa nini haitumiki?
Hebu turudi nyuma kidogo,

Naona wachangiaji wote wanasahau kwamba zoezi hili lilikuja baada ya lile jaribio la kuipindua serikali ya Nyerere.

Pamoja na matatizo yaliyotokana na vita ya Kagera, miaka ya '80 mwanzoni viwanda vyetu bado vilikuwa vina uwezowa kutosha kuzalisha mahitaji yetu ya ndani. Kilichotokea ni kwamba; kuna kikundi cha wafanya biashara ambao kwa makusudi walikuwa wanahodhi bidhaa (na wala hawakuwa wanauza) na kusababisha upungufu mkubwa sokoni. Mojawapo ya conspiracy theories wakati ule, ilikuwa mara tu baada ya mapinduzi, maduka yangefurika bidhaa ili kushawishi uungwaji mkono na wananchi.

Yaliyofuatia kwenye kamata-kamata ni matokeo ya utekelezaji mbovu wa watendaji ambapo hata walanguzi wa sigara na vibiriti walijikuta ndani ya lupango. Hata hivyo waliokuwa watu wazima wakati ule, mtakubaliana nami kwamba uungwaji mkono wa operesheni hiyo ulikuwa mkubwa sana miongoni mwa wananchi wa kawaida na ni sehemu ya umaarufu aliojipatia Sokoine wakati huo akiwa Waziri Mkuu.

Kwa mazingira ya sasa hivi, mwanasiasa yeyeto anaweza kupanda chati kwa kuwakusanya MAFISADI na kuwasweka ndani; hata kama wakishinda kesi baadaye, naamini wananchi wengi wataandamana kumuunga mkono! Mheshimiwa Masha upo hapo???
 
Zakumi,
Pamoja na juhudi za serikali kuwa na vita dhidi uhujumu uchumi. Vita hivyo havikuwa na manufaa kwa sababu vitu vilivyopelekwa nje kimagendo au kihalali havikutosheleza mahitaji yetu kama vingebaki ndani na hii ni fact (period, finito, konec).
OK sasa nambie leo hii kuna supply tosha kabisa kukidhi demand, inakuwaje swala la Ufisadi bado lipo!..ikiwa wewe umeona tatizo lilikuwa upungufu wa vitu, iweje leo hakuna Upungufu huo lakini bado hujuma za Uchumi zinaendelea..
Mkuu mimi na wewe ni watu tunaotazama shilingi moja na tunachotofautiana ni kuelewa thamani ya shilingi hiyo.. Wewe unatumia hesabu za exchange rate sokoni wakati mimi natumia thamani ya shilingi hiyo on the ground ktk nchi husika.

Mkuu Kuna issues mbili hapa na swala ni vita ya Uhujumu Uchumi mwaka 1983/84..Kwa maelezo marefu umejaribu kutumia Uhaba wa vitu kwa kutumia demand na supply (sababu) ili kuanisha na vita ile jambo ambalo mimi nakataa. Na kwa bahati mbaya inaonyesha hata Jokakuu ameshindwa kunielewa akisema kwamba mimi nimesema palikuwa hakuna Uhaba wa vitu..Sasa itakuwa ujinga kuanzisha vita vya Uhujumu Uchumi ikiwa palikuwa hakuna uhaba wa vitu..
Nilichosema mimi na nitaendelea kusema mimi ni kwamba serikali ilitafuta sababu za Uhaba huo umetokana na kitu gani ikiwa uzalishaji upo kulingana na demand lakini vitu hivyo haviwafikii wananchi..Ndio kugundua kwamba kulikuwepo na magendo ya hali ya juu kuficha na kusafirisha mali hizo nje ambako kulikuwa kunalipa zaidi ya ndani na sababu mojawapo kubwa ni zile fixed price zilikuwa chini sana kiasi kwamba ukifikiria unachovuta toka Kenya ni mara 10 ya pato la ndani..kisha ukirudi na vitu vingine unatengeneza mara 5... hapo akili yako inafikiria Utajiri tu wa haraka hujali Uzalendo wala baba yake - wakifa njaa watanzania who cares! watazaliwa wengine..negative mind concept ya criminal, mkuu wangu huwezi kuipa darasa hata siku moja!
 
Waungwana,

Mnisamehe sikuwaacha Solemba na kuwaacha mkate ishu, ila Noeli ilimkolea mchungaji leo nakuta kuna kurasa tisa!

Nikiwa nimesoma mpaka ukurasa wa tatu wa thread hii, maswali kadhaa yananijia baada ya kutafakari alichosema Serpent General, Zakumi, Kichuguu na Mkandara.

Je chimbuko la Kichuguu kukimbilia Colgate, Blue Band, Palmolive na Kimbo ni kutokana na kuwa zilikuwa ni "better quality" kuliko Tanbond, Mbuni, ile dawa ya mswaki ya karafuu ya Mzee Dahal wa Arusha na mafuta ya Rajani au ni kitu gani?

MKandara anasema, bidhaa nyingi zilipelekwa nje ya nchi kuuzwa kwa magendo. Baada ya vita vya Kagera, pamoja na kuwa uchumi wetu ulikuwa chali, lakini uchumi wa Uganda ulikuwa chali pia! Hata Zambia na Msumbiji, je yawezekana kuwa Walanguzi na Wamagendo walionelea kuwa kuna soko jipya la kuwaongezea pato Uganda, Rwanda, Burundi, Zaire, Msumbiji na Zambia na si Tanzania kutokana na Nyerere kuwa na tume ya Bei iliyoweka kufuli katika bei za bidhaa kuzuia mfumuko wa bei na kuanguka kwa thamani ya shilingi?

Zakumi kaongelea Demand na Supply, je yawezekana kuwa demand ya bidhaa iliongezeka marudufu kutokana na kupatikana wateja wapya wa njia za pnya kinyume na mipango ya Serikali? Hivi kama Mkandara asingepeleka sigara, sukari, mbuni na bia Uganda, je sisi kule Mkuranga na Micheweni tungeona uhaba wa bidhaa?

Jokakuu kaongelea uwezo wa uzalishaji, je pamoja na kuwa viwanda na mashirika viliuza bidhaa kwa bei chee, ile kutoa ruzuku kwa wafanyakazi kwa usafiri, chakula, matibabu, nyumba na mengineo inawezekana kuwa vilikuwa ni vichocheo vya viwanda hivyi kushindwa kujibadilisha na kugeuza mapato yake kuwa mtaji wa kuongeza uzalishaji na kuongeza ubora wa bidhaa?

Swali lingine linalonijia ni lile la kuvunjika kwa Njaa ya 1974, Beiza Mafuta duniani, Jumuiya ya Afrika Mashariki, Vita vya Kagera, sera za kubana Uagizaji wa bidhaa kutoka nje na kuhodhi fedha za kigeni.

Nakumbuka nyumbani tulitumia sana bidhaa zilizozalishwa ndani ya nchi hata kabla ya Jumuiya ya EAC kuvunjika. Colgate, Palmolive na Vaseline tulikuwa tukiziona wazazi wakienda Ulaya au Narobi. Zaidi tulikuwa tukiziona tukienda mikoa ya mpakani kama Arusha, Kilimanjaro, Mara na kadhalika.

Je inawezekana basi kuwa kilichotokea Tanzania ni kuanza kubadilika kwa mfumo wetu wa kiuzalishaji na biashara kuegemea ubepari wakati tukiwa ndani ya ujamaa kutokana na watu kutumia mianya iliyotokana na vita, jumuiya, njaa, bei za mafuta na ongezeko la watu na watumiaji hivyo kufanya Watanzania tuanze kuanzisha biashara ya uagizaji bidhaa kutoka nje na kuongezeka kwa ulanguzi hasa wa Chakula?

Kauli ya kujifunga mkanda kwa miezi 18 ilitokana na ukweli kuwa tulitumia dola za Marekani milioni 500 kwa vita vya Kagera na hii ilitokana na kuwalipa Warusi, Wachina na Wakorea hapo kwa papo baada ya kununua silaha.

Lakini je hali yetu ya chakula ilikuwa ni mbaya kiasi gani kuwa tuanze kukimbilia kuagiza chakula? Mbona NMC ilikuwa na chakula kingi au ni kina Mkandara waliofumbuka macho na kuwa mabepari uchwara walichukua kila kitu kupeleka Uganda kwenye soko motomoto na lenye faida kubwa?

Hata baada ya zoezi zima kuanza na sheria kuwekwa hata kama ni kwenye mahakama ya Panzi, je yawezekana kuwa kushindwa kwa Zoezi zima la kupambana na Uhujumu lilitokana na baadhi ya viongozi wa Chama na Serikali kugeuka mioyo na badala ya kuongelea kwa wazi waliogopa na kumhofia Nyerere na Sokoine na hivyo wakaamua kuhujumu?

Kuna lawama nyingi zimepelekwa JWTZ kuwa wao ndio walikuwa wa kwanza kuhujumu kwa kuleta bidhaa kutoka Uganda, nafikiri tuhuma hizi zinawezekana hazikuwa na mpango, lakini ukimsoma Maganga aliyetaka kupindia nchi na kina Kadego, Lugangira na McGhee, utaona kuwa wanajeshi wa ngazi za kati walikuwa na ugwadugwadu si wa mambo ya kisiasa bali ni zaidi kuhusiana na uchumi na hivyo ndio chimbuko lao lla kutaka kupindua nchi.

Nashukuru kwa darasa zito lililoendelea na nafikiri nitakutana na megni nikiendelea kusoma kutoka kurasa wa nne mpaka ninapoandika hili!
 
Waungwana,

Mnisamehe sikuwaacha Solemba na kuwaacha mkate ishu, ila Noeli ilimkolea mchungaji leo nakuta kuna kurasa tisa!

Nikiwa nimesoma mpaka ukurasa wa tatu wa thread hii, maswali kadhaa yananijia baada ya kutafakari alichosema Serpent General, Zakumi, Kichuguu na Mkandara.

Je chimbuko la Kichuguu kukimbilia Colgate, Blue Band, Palmolive na Kimbo ni kutokana na kuwa zilikuwa ni "better quality" kuliko Tanbond, Mbuni, ile dawa ya mswaki ya karafuu ya Mzee Dahal wa Arusha na mafuta ya Rajani au ni kitu gani?

MKandara anasema, bidhaa nyingi zilipelekwa nje ya nchi kuuzwa kwa magendo. Baada ya vita vya Kagera, pamoja na kuwa uchumi wetu ulikuwa chali, lakini uchumi wa Uganda ulikuwa chali pia! Hata Zambia na Msumbiji, je yawezekana kuwa Walanguzi na Wamagendo walionelea kuwa kuna soko jipya la kuwaongezea pato Uganda, Rwanda, Burundi, Zaire, Msumbiji na Zambia na si Tanzania kutokana na Nyerere kuwa na tume ya Bei iliyoweka kufuli katika bei za bidhaa kuzuia mfumuko wa bei na kuanguka kwa thamani ya shilingi?

Zakumi kaongelea Demand na Supply, je yawezekana kuwa demand ya bidhaa iliongezeka marudufu kutokana na kupatikana wateja wapya wa njia za pnya kinyume na mipango ya Serikali? Hivi kama Mkandara asingepeleka sigara, sukari, mbuni na bia Uganda, je sisi kule Mkuranga na Micheweni tungeona uhaba wa bidhaa?

Jokakuu kaongelea uwezo wa uzalishaji, je pamoja na kuwa viwanda na mashirika viliuza bidhaa kwa bei chee, ile kutoa ruzuku kwa wafanyakazi kwa usafiri, chakula, matibabu, nyumba na mengineo inawezekana kuwa vilikuwa ni vichocheo vya viwanda hivyi kushindwa kujibadilisha na kugeuza mapato yake kuwa mtaji wa kuongeza uzalishaji na kuongeza ubora wa bidhaa?

Swali lingine linalonijia ni lile la kuvunjika kwa Njaa ya 1974, Beiza Mafuta duniani, Jumuiya ya Afrika Mashariki, Vita vya Kagera, sera za kubana Uagizaji wa bidhaa kutoka nje na kuhodhi fedha za kigeni.

Nakumbuka nyumbani tulitumia sana bidhaa zilizozalishwa ndani ya nchi hata kabla ya Jumuiya ya EAC kuvunjika. Colgate, Palmolive na Vaseline tulikuwa tukiziona wazazi wakienda Ulaya au Narobi. Zaidi tulikuwa tukiziona tukienda mikoa ya mpakani kama Arusha, Kilimanjaro, Mara na kadhalika.

Je inawezekana basi kuwa kilichotokea Tanzania ni kuanza kubadilika kwa mfumo wetu wa kiuzalishaji na biashara kuegemea ubepari wakati tukiwa ndani ya ujamaa kutokana na watu kutumia mianya iliyotokana na vita, jumuiya, njaa, bei za mafuta na ongezeko la watu na watumiaji hivyo kufanya Watanzania tuanze kuanzisha biashara ya uagizaji bidhaa kutoka nje na kuongezeka kwa ulanguzi hasa wa Chakula?

Kauli ya kujifunga mkanda kwa miezi 18 ilitokana na ukweli kuwa tulitumia dola za Marekani milioni 500 kwa vita vya Kagera na hii ilitokana na kuwalipa Warusi, Wachina na Wakorea hapo kwa papo baada ya kununua silaha.

Lakini je hali yetu ya chakula ilikuwa ni mbaya kiasi gani kuwa tuanze kukimbilia kuagiza chakula? Mbona NMC ilikuwa na chakula kingi au ni kina Mkandara waliofumbuka macho na kuwa mabepari uchwara walichukua kila kitu kupeleka Uganda kwenye soko motomoto na lenye faida kubwa?

Hata baada ya zoezi zima kuanza na sheria kuwekwa hata kama ni kwenye mahakama ya Panzi, je yawezekana kuwa kushindwa kwa Zoezi zima la kupambana na Uhujumu lilitokana na baadhi ya viongozi wa Chama na Serikali kugeuka mioyo na badala ya kuongelea kwa wazi waliogopa na kumhofia Nyerere na Sokoine na hivyo wakaamua kuhujumu?

Kuna lawama nyingi zimepelekwa JWTZ kuwa wao ndio walikuwa wa kwanza kuhujumu kwa kuleta bidhaa kutoka Uganda, nafikiri tuhuma hizi zinawezekana hazikuwa na mpango, lakini ukimsoma Maganga aliyetaka kupindia nchi na kina Kadego, Lugangira na McGhee, utaona kuwa wanajeshi wa ngazi za kati walikuwa na ugwadugwadu si wa mambo ya kisiasa bali ni zaidi kuhusiana na uchumi na hivyo ndio chimbuko lao lla kutaka kupindua nchi.

Nashukuru kwa darasa zito lililoendelea na nafikiri nitakutana na megni nikiendelea kusoma kutoka kurasa wa nne mpaka ninapoandika hili!

Rev Kishoka:

Katika posti yangu nilisema kuna correlation katika ya matatizo haya na vita vya Uganda.

Pia nilisema kuna correlation katika ya matatizo haya na vita vya kuvunjika kwa jumuia ya Africa Mashariki.

Baada ya kumalizika vita vya Uganda vitu vilipotea madukani kwa mara moja. Bidhaa zikaanza kuuzwa kwa MWENDO WA KURUKA.

Nyerere akasema tufunge mikanda kwa miezi 18. Baada ya mwaka akasema miaka 18. Na bado mambo hayakuwa mazuri.

Na vilevile katika kipindi hicho Waziri wa Fedha na aliyekuwa Gavana wa BOT. Ndugu Edwin Mtei alipigwa paranja.

Hivyo mpaka 1983-84. Kuna vitu vilivyotangulia kuonyesha kuwa tulikuwa kwenye serious crisis. Hivyo wahujumu uchumi walikuwa a by product au matokeo ya kitu fulani. Na kuanzisha vita dhidi yao bila ku-deal na vitu vilivyowasababisha wao kuwepo ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.

Ndugu yetu Mkandara anaweka focus katika uhujumu uchumi tu. Lakini anashindwa kuelewa kuwa unapotokea mtibuko mkubwa (turbulence) katika masoko, baada ya muda fulani masoko yatachukua behavior ya kujisahihisha yenyewe.

Hivyo shughuli nyingi zilizofanywa na wafanyabiashara zilikuwa mbinu walizo-adapt ya masoko kujisahihisha. Kwa mfano waligundua kuwa serikali ilikuwa inaongeza bei vitu kwa kushtua. Na wao ilibidi wawe wanaficha vitu kusubiri pale masoko yatakapokuwa tulivu. Hivyo huwezi kulaumu mfanyabiashara kwa kuficha bidhaa bila kulaumu sera za serikali za kuongeza ushuru na bei ya vitu bila mpangilio.
 
Pengine wewe ndio unahujumu nchi.

All in all taifa linahitaji wa/mkombozi kabla halijaangamia kabisa.

Taifa alihitaji mkombozi mtu. Kinachohitajika ni kutumia tools za kiuchumi au kisayansi kusahihisha matatizo ya kijamii yanayojitokeza.
 
Hebu turudi nyuma kidogo,

Naona wachangiaji wote wanasahau kwamba zoezi hili lilikuja baada ya lile jaribio la kuipindua serikali ya Nyerere.

Pamoja na matatizo yaliyotokana na vita ya Kagera, miaka ya '80 mwanzoni viwanda vyetu bado vilikuwa vina uwezowa kutosha kuzalisha mahitaji yetu ya ndani. Kilichotokea ni kwamba; kuna kikundi cha wafanya biashara ambao kwa makusudi walikuwa wanahodhi bidhaa (na wala hawakuwa wanauza) na kusababisha upungufu mkubwa sokoni. Mojawapo ya conspiracy theories wakati ule, ilikuwa mara tu baada ya mapinduzi, maduka yangefurika bidhaa ili kushawishi uungwaji mkono na wananchi.

Yaliyofuatia kwenye kamata-kamata ni matokeo ya utekelezaji mbovu wa watendaji ambapo hata walanguzi wa sigara na vibiriti walijikuta ndani ya lupango. Hata hivyo waliokuwa watu wazima wakati ule, mtakubaliana nami kwamba uungwaji mkono wa operesheni hiyo ulikuwa mkubwa sana miongoni mwa wananchi wa kawaida na ni sehemu ya umaarufu aliojipatia Sokoine wakati huo akiwa Waziri Mkuu.

Kwa mazingira ya sasa hivi, mwanasiasa yeyeto anaweza kupanda chati kwa kuwakusanya MAFISADI na kuwasweka ndani; hata kama wakishinda kesi baadaye, naamini wananchi wengi wataandamana kumuunga mkono! Mheshimiwa Masha upo hapo???

Kulikuwa hakuna sababu yoyote ya Nyerere kupinduliwa. Deni aliloibuka nalo baada ya vita vya Uganda lilitosha kunyamazisha kelele zake.
 
wandugu,

..kamata-kamata ya wahujumu uchumi ilikwenda sambamba na uanzishaji wa maduka ya kaya.

..maduka ya kaya kazi yake kubwa ilikuwa ni kufanya rationing au kutoa bidhaa kwa mgao. wananchi kwanza walitakiwa wajiandikishe idadi yao ktk kila kaya/familia. mwenyekiti wa shina[nyumba 10] wa CCM alikuwa akihakiki zoezi hilo. baada ya hapo kila familia/kaya ilikuwa inaruhusiwa kununua kiwango maalum cha bidhaa adimu[sukari,unga wa sembe,mafuta ya kupikia] kulingana na idadi ya wanafamilia.

..kama madai ya Mkandara ni ya kweli, kwamba kulikuwa hakuna uhaba wa bidhaa zozote zile, huu msamiati wa BIDHAA ADIMU ulitokea wapi?

..kama uzalishaji viwandani ulikuwa unatosheleza demand basi serikali isingelazimika kuanzisha maduka ya kaya na kuuza bidhaa kiduchu-kiduchu. tena ilifikia wakati serikali ikalazimisha wananchi kununua unga wa mhogo instead ya unga wa mahindi.

..mwaka 1984 baada ya hali kuzidi kuwa mbaya serikali iliamua kufungua milango ya biashara. kwa maneno mengine serikali iliamua kuruhusu wale wenye fedha zao kuingiza bidhaa adimu toka nje kwa ajili ya walaji wa ndani. kama tulikuwa tumejitosheleza kwa uzalishaji wa ndani, kama anavyodai Mkandara, then kwanini serikali ilichukua uamuzi wa kuruhusu bidhaa toka nje?

..kama viwanda vyetu vilikuwa vina uwezo wa kifedha/mitaji na kiuzalishaji basi utoroshaji bidhaa kwenda nje maana yake ni kuongezeka kwa soko na walaji. kwa msingi huo vilipaswa kuongeza uzalishaji. sasa tujiulize kwanini hilo halikutokea.

..kwa lugha rahisi:kwanini viwanda vya Kenya vilishamiri kutokana na soko la Tanzania, lakini viwanda vya Tanzania viliuawa kwa magendo ya bidhaa kwenda Kenya?

..Tatizo letu wa-Tanzania ni kutumbukiza siasa hata mahali ambapo hapana uhusiano na siasa.

NB:

..moja ya kituko cha vita vya wahujumu uchumi ilikuwa kukamatwa kwa mzee wa miaka kama 80 aliyekuwa akiitwa Kengere Mingi. Mzee huyu alikamatwa porini Dodoma, au Morogoro[sina uhakika], akiwa na ngombe na mifugo karibia 5000!!

..serikali ilikamata wananchi na kuwaweka mahabusu bila nafasi ya kupewa dhamana. baadaye ikapeleka mswada wa sheria ya uhujumu uchumi bungeni, na kutumia sheria hiyo kuwashitaki, na kuwatia hatiani, wananchi ambao tayari walikuwa mahabusu. huo ulikuwa ni ukiukwaji mkubwa wa utawala wa sheria na katiba.

Katika nchi zetu viongozi wanapoboronga wanashindwa kuchukua majukumu na yanachofanya ni kutafuta scapegoat.
 
Zakumi,

OK sasa nambie leo hii kuna supply tosha kabisa kukidhi demand, inakuwaje swala la Ufisadi bado lipo!..ikiwa wewe umeona tatizo lilikuwa upungufu wa vitu, iweje leo hakuna Upungufu huo lakini bado hujuma za Uchumi zinaendelea..
Mkuu mimi na wewe ni watu tunaotazama shilingi moja na tunachotofautiana ni kuelewa thamani ya shilingi hiyo.. Wewe unatumia hesabu za exchange rate sokoni wakati mimi natumia thamani ya shilingi hiyo on the ground ktk nchi husika.

Mkuu Kuna issues mbili hapa na swala ni vita ya Uhujumu Uchumi mwaka 1983/84..Kwa maelezo marefu umejaribu kutumia Uhaba wa vitu kwa kutumia demand na supply (sababu) ili kuanisha na vita ile jambo ambalo mimi nakataa. Na kwa bahati mbaya inaonyesha hata Jokakuu ameshindwa kunielewa akisema kwamba mimi nimesema palikuwa hakuna Uhaba wa vitu..Sasa itakuwa ujinga kuanzisha vita vya Uhujumu Uchumi ikiwa palikuwa hakuna uhaba wa vitu..
Nilichosema mimi na nitaendelea kusema mimi ni kwamba serikali ilitafuta sababu za Uhaba huo umetokana na kitu gani ikiwa uzalishaji upo kulingana na demand lakini vitu hivyo haviwafikii wananchi..Ndio kugundua kwamba kulikuwepo na magendo ya hali ya juu kuficha na kusafirisha mali hizo nje ambako kulikuwa kunalipa zaidi ya ndani na sababu mojawapo kubwa ni zile fixed price zilikuwa chini sana kiasi kwamba ukifikiria unachovuta toka Kenya ni mara 10 ya pato la ndani..kisha ukirudi na vitu vingine unatengeneza mara 5... hapo akili yako inafikiria Utajiri tu wa haraka hujali Uzalendo wala baba yake - wakifa njaa watanzania who cares! watazaliwa wengine..negative mind concept ya criminal, mkuu wangu huwezi kuipa darasa hata siku moja!


Ufisadi wa sasa hauna correlation yoyote na yale yaliotokea miaka zaidi ya 20 iliyopita ingawaje baadhi ya wakosaji ni walewale.

Kama uupendi ufisadi, we are in the same page. Lakini ku-correlate ufisadi na uhujumu uchumi nikutokuwa responsible.

Kitu ambacho mnakiita uhujumu uchumi ni Phenomena Sahihi kabisa ya kibiashara ambayo watu wanaweza kutoa Phd. Thesis katika biashara, uchumi au finance.

Kwa upande mwingine ufisadi ni mapungufu katika muundo wetu wa utawala na siasa ambayo yanafanya watu kutumia madaraka yao vibaya.
 
Naam,

Nimewasoma wote, na mengine zaidi yanakuja akilini.

Je mfumo wetu wa kibiashara wa uuzaji mazao, malighafi na vitu nje ya nchi ulikuwaje? na kwa upande mwingine uingizaji ndani bidhaa? (Import/Export policies)?

Je kama tulikuwa tumeweka komeo kuagiza Colgate na Lifebuoy kwa kuwa tuna Tanbond na lile dawa la msaki la Karafuu, je ilikuwa ni kulinda viwanda vya ndani vijijenge bila kuangalia ubora na ushindani kutokan nje ya nchi?

Kwa mtazamo huu wa kuangalia vita hivi vya uhujumu, tunagundua mengi na tutaongelea mengi zaidi ya Uhujumu uchumi. TUnaangalia mfumo wetu wa Uchumi, Biashara, hali ya kisiasa na hata tunaweza kurdi nyuma kwenye Azimio la Arusha lililoongelea Ujamaa na Kujitegemea (kujitosheleza).

Kwa mtazamo wangu, naona kuwa sababu kubwa ya kuzuia mfumuko wa uaguzaji wa bidhaa kama Colgate, Blue Band na Kimbo ilikuwa ni kulinda viwanda kama Voil na Tanbond yake au Mbuni hivyo kuazimia kujenga ile dhana ya kujitegemea(kujitosheleza).

Kama nilivyoonyesha hapo juu, yawezekana kabisa kuwa yaliyokuwa yanatokea duniani na kumfanya Mkandara na Kichuguu wawe wafanya magendo ni msukumo wa kukua kibiashara.

Ikiwa Mkandara na Kichuguu walikuwa na mfumo endelevu wa kufanya biashara yao kuliko RTC, NMC, BIT na BET, hii inaashiria kuwa Siasa ya Ujamaa ilidumaza fikra endelevu za uzalishaji mali ama kutokana na mfumo wenyewe wa Siasa yenyewe au ukosefu wa ubunifu wa viongozi wa mashirika haya ambao waliyaendesha si kwa ufanisi na ushindani (kukosekana kwa ushindani pia kulichangia) kukidhi ubora na mahitaji ya wananchi.

Tukija kwenye uzalishaji mali, unaona ongezeko la kuuza malighafi zetu nje lilikuwa kubwa kutokana na kukosekana kwa viwanda vya processing. Mtu ulionelea ni bora unywe Milo na si TanCafe kutokana na Cadbury ya Kenya kuongeza utamu fulani kwenye kahawa yao, huku sisi ya kwetu ikiwa ni ile ile isiyo na ladha ya nyongeza.

Yawezekana pia (this is a fact) kuwa Kenya walineemeka zaidi ya Tanzania kiuchumi kutokana na biashara hii ya magendo ambapo Tanzania ilitoa fidia (kuziba upungufu) ya malighafi hivyo kuongeza uzalishaji mali wa Kenya wa bidhaa kwa wingi (surplus). Ikiwa uzalishaji wa kahawa Kenya ulikuwa ni tani 10, kisha wakaweza kupata tani 10 kwa magendo kutoka Tanzania kwa nusu ya bei ya manunuzi Kenya lakini ni bei marudufu Tanzania, ni rahisi kuona jinsi gani soko la magendo liliongezeka.

Tukija kwenye ulanguzi, nitaegemea kukubaliana na hoja kuwa baada ya vita na uhaini wa 1981, kuna uwezekano mkubwa sana kuwa hujuma ilikuwa ni kuiangusha serikali kwa kutumia mkondo wa uchumi baada ya kuonekana kuwa kutumia umwagaji damu wa kijeshi usingewezekana.

Baadhi ya watuhumiwa wa uhaini 1981, walikuwa wafanyabiashara wakubwa wa Kiasia (wahindi).

Hivyo dhana hii ya kukomoa serikali kwa kuhodhi mali na kuificha kisha kuiza kwa bei juu kutokana na kuwepo ghafla kwa "uhaba" ni jambo ambalo linaonekana kuwa ni sawa.

Lakini ulanguzi haukuwa dhana ya kupindua nchi kwa kutumia kilio cha uchungu wa maisha pekee, pia tamaa ya pesa ya Viongozi na watendaji wa Siasa na mashirika kama Gefco, Gapex, BIT, RTC, NMC, DABCO, na hata wafanyabiashara wa kawaida amabo waliishia kugeuza maduka yao kuwa maduka ya kaya kuuza bidhaa "adimu" kwa resheni?

Tunapoangalia Tanzania ya leo na lindi hili la Ufisadi, nakubaliana na Mkandara aliposema kuwa Mwinyi alipobadilisha injini, alisahau kuwa meli nzima ilibidi ibadilishwe mpaka bodi yake!

Utaona wazi ni wapi kwa kuchangua kipindi hiki cha uhujumu, kuwa Ujamaa ni vipi uliliathiri Taifa letu kiuchumi an kiuzalishaji kwa kuminya na kubana wigo wa ushindani wa kibiashara. Lakini hata katika mfumo wa soko huria na ubepari tulioukumbatia katika miaka 20 iliyopita, bado matatizo yaliyofanya Tanzania ifikie ile vita vya uhujumu 83-84 yapo na tena sasa yameongezeka na yanaathiri uchumi kwa kuwa tumejenga utegemezi wa bidhaa kutoka nje kutokana na kusitisha na kuua kwa makusudi uzalishaji mali wa ndani ya nchi kupitia viwanda, kilimo na mali asili.

Sasa siku wawekezaji wakitukimbia, tutaanza kumkamata nani kwa kuhujumu uchumi wetu?
 
Waungwana,

Kuna hii habari iliyochapwa Daily News ya juzi Ijumaa December 26 2008.

Jiulizeni kama huu si uhujumu ni nini na mjaribu kuoanisha na yaliyotokea Tanzania miaka 20 iliyopita.

Local sugar loses to importsDAILY NEWS Reporters
Daily News; Friday,December 26, 2008 @21:15
Sugar industry is in another crisis as producers and Sugar Board of Tanzania (SBT) are complaining over rampant dumping of sugar from abroad while other authorities are refuting such claims.

The board claims that over 18,000 tonnes of illegally-imported sugar and whose safety is not guaranteed, have flooded the local market for the last four months, thus, posing health hazards to consumers.

SBT Director General, Mr Mathew Kombe, told the "Daily News on Saturday" recently that the Board has conducted thorough survey to most strategic selling points throughout the country and found out that at least 6,000 tonnes have been imported illegally per month since last September.

“We communicated to the authorities on this matter, maybe they are working on it. We are not issuing licences to private dealers to import sugar for the time being as the importation licences expired since last September. We are wondering how the consignments are getting into the country,” said Mr Kombe.

He said the Board established further that sugar was being imported from India, Mozambique, Zambia, Malawi and Egypt. Mr Kombe said that assessment done by the board had established that the current local supply meets the demand.

He said total demand of sugar in Tanzania stood at about 330,000 tonnes per annum while the manufacturing capacity was about 300,000 from Kilombero Sugar Ltd and Mtibwa Sugar Ltd of Morogoro, Kagera Sugar Ltd of Bukoba, Kagera Region and TPC Ltd of Moshi.

The 30,000 tonnes deficit was to be met by licensed importers whose licences expired last September. “This worries us much because most of Tanzania’s consumers are not well informed, they can just buy sugar without enquiring about quality of the product.

We do not know how safe the sugar is,” said Mr Kombe. Early this month, the owner of Mtibwa Sugar company Mr Nassoro Seif told President Jakaya Kikwete that there was rampant dumping of imported sugar in the local market, something which was adversely affecting local sugar industries.

He said that two ships with over 12,000 tonnes of sugar were at the outer anchorage, readying to offload the consignments. Mr Seif noted that such dumping had terribly affected his company, which now owes out-growers over 1.2bn and owes Mvomero District council and PPF millions of shillings.

He requested the President to make personal intervention to rescue the local sugar industries. The minister for Agriculture, Food Security and Cooperatives Mr Stephen Wasira said he was aware of the situation. “We have already met to discuss the problem and the government is working on it,” he said.

In the meantime, a senior government official who preferred anonymity said that local producers have always been complaining over the importation of sugar while they had failed to meet the demand over years. “Handling of sugar industry is always very tricky because it involves powerful and wealthy businessmen of this country - both producers and importers are wealthy and powerful, therefore, there is a tug of war between the two parties.

“But licensing for importation of sugar is done through SBT’s technical committee which also comprises representatives of producers and importers. And all imports are handled at the port by Port Authorities and Tanzania Revenue Authority (TRA),” he pointed out.

He added: “Licensed sugar importers are taxed 25 per cent while those importing without licences are taxed 100 per cent.” The TRA Acting Commissioner of Customs, Mr Warid Juma said TRA was not informed of the illegal sugar importation, although he admitted there were some minor illegal routes that were being used to smuggle in small quantity of about 20 kilogrammes of sugar.

“There are illegal routes especially at border points which are used to smuggle in small quantities of sugar. But we usually seize illegally imported consignments and confiscate them,” he said. Mr Juma said he was aware that licences issued to importers expired since June, this year and only last October there was a meeting with representatives of sugar manufacturers, Sugar Board, importers and TRA on sugar situation in the country but no such complaints (of dumping) were raised.

“We did not receive any complaints from anybody, let alone the Sugar Board about this matter. But we ask the stakeholders to keep on informing us if they detect any dubious sugar business going around,” said Mr Juma. He however, said some private importers were still importing industrial sugar to cater for the needs of manufacturers of beverages, sweets and the likes.

He did not rule out the possibility of unscrupulous dealers mixing brown and industrial sugar. On why sugar was too expensive despite being produced in large quantities in the country, Mr Kombe mentioned production costs as a main contributing factor for hiked sugar price. He said all four industries were consuming lots of fuel and transport costs were also another factor for high prices of sugar.

According to him, it takes about 60 US dollars to move only one tonne of sugar to Dar es Salaam market. A survey by "Daily News on Saturday" revealed that one kilogramme of sugar was sold in retail shops at 1400/- per kilogramme and Mr Kombe said manufacturers were incurring costs of about 700/- a kilo before VAT and transport charges.
 
Naam,

Nimewasoma wote, na mengine zaidi yanakuja akilini.

Je mfumo wetu wa kibiashara wa uuzaji mazao, malighafi na vitu nje ya nchi ulikuwaje? na kwa upande mwingine uingizaji ndani bidhaa? (Import/Export policies)?

Je kama tulikuwa tumeweka komeo kuagiza Colgate na Lifebuoy kwa kuwa tuna Tanbond na lile dawa la msaki la Karafuu, je ilikuwa ni kulinda viwanda vya ndani vijijenge bila kuangalia ubora na ushindani kutokan nje ya nchi?

Kwa mtazamo huu wa kuangalia vita hivi vya uhujumu, tunagundua mengi na tutaongelea mengi zaidi ya Uhujumu uchumi. TUnaangalia mfumo wetu wa Uchumi, Biashara, hali ya kisiasa na hata tunaweza kurdi nyuma kwenye Azimio la Arusha lililoongelea Ujamaa na Kujitegemea (kujitosheleza).

Kwa mtazamo wangu, naona kuwa sababu kubwa ya kuzuia mfumuko wa uaguzaji wa bidhaa kama Colgate, Blue Band na Kimbo ilikuwa ni kulinda viwanda kama Voil na Tanbond yake au Mbuni hivyo kuazimia kujenga ile dhana ya kujitegemea(kujitosheleza).

Kama nilivyoonyesha hapo juu, yawezekana kabisa kuwa yaliyokuwa yanatokea duniani na kumfanya Mkandara na Kichuguu wawe wafanya magendo ni msukumo wa kukua kibiashara.

Ikiwa Mkandara na Kichuguu walikuwa na mfumo endelevu wa kufanya biashara yao kuliko RTC, NMC, BIT na BET, hii inaashiria kuwa Siasa ya Ujamaa ilidumaza fikra endelevu za uzalishaji mali ama kutokana na mfumo wenyewe wa Siasa yenyewe au ukosefu wa ubunifu wa viongozi wa mashirika haya ambao waliyaendesha si kwa ufanisi na ushindani (kukosekana kwa ushindani pia kulichangia) kukidhi ubora na mahitaji ya wananchi.

Tukija kwenye uzalishaji mali, unaona ongezeko la kuuza malighafi zetu nje lilikuwa kubwa kutokana na kukosekana kwa viwanda vya processing. Mtu ulionelea ni bora unywe Milo na si TanCafe kutokana na Cadbury ya Kenya kuongeza utamu fulani kwenye kahawa yao, huku sisi ya kwetu ikiwa ni ile ile isiyo na ladha ya nyongeza.

Yawezekana pia (this is a fact) kuwa Kenya walineemeka zaidi ya Tanzania kiuchumi kutokana na biashara hii ya magendo ambapo Tanzania ilitoa fidia (kuziba upungufu) ya malighafi hivyo kuongeza uzalishaji mali wa Kenya wa bidhaa kwa wingi (surplus). Ikiwa uzalishaji wa kahawa Kenya ulikuwa ni tani 10, kisha wakaweza kupata tani 10 kwa magendo kutoka Tanzania kwa nusu ya bei ya manunuzi Kenya lakini ni bei marudufu Tanzania, ni rahisi kuona jinsi gani soko la magendo liliongezeka.

Tukija kwenye ulanguzi, nitaegemea kukubaliana na hoja kuwa baada ya vita na uhaini wa 1981, kuna uwezekano mkubwa sana kuwa hujuma ilikuwa ni kuiangusha serikali kwa kutumia mkondo wa uchumi baada ya kuonekana kuwa kutumia umwagaji damu wa kijeshi usingewezekana.

Baadhi ya watuhumiwa wa uhaini 1981, walikuwa wafanyabiashara wakubwa wa Kiasia (wahindi).

Hivyo dhana hii ya kukomoa serikali kwa kuhodhi mali na kuificha kisha kuiza kwa bei juu kutokana na kuwepo ghafla kwa "uhaba" ni jambo ambalo linaonekana kuwa ni sawa.

Lakini ulanguzi haukuwa dhana ya kupindua nchi kwa kutumia kilio cha uchungu wa maisha pekee, pia tamaa ya pesa ya Viongozi na watendaji wa Siasa na mashirika kama Gefco, Gapex, BIT, RTC, NMC, DABCO, na hata wafanyabiashara wa kawaida amabo waliishia kugeuza maduka yao kuwa maduka ya kaya kuuza bidhaa "adimu" kwa resheni?

Tunapoangalia Tanzania ya leo na lindi hili la Ufisadi, nakubaliana na Mkandara aliposema kuwa Mwinyi alipobadilisha injini, alisahau kuwa meli nzima ilibidi ibadilishwe mpaka bodi yake!

Utaona wazi ni wapi kwa kuchangua kipindi hiki cha uhujumu, kuwa Ujamaa ni vipi uliliathiri Taifa letu kiuchumi an kiuzalishaji kwa kuminya na kubana wigo wa ushindani wa kibiashara. Lakini hata katika mfumo wa soko huria na ubepari tulioukumbatia katika miaka 20 iliyopita, bado matatizo yaliyofanya Tanzania ifikie ile vita vya uhujumu 83-84 yapo na tena sasa yameongezeka na yanaathiri uchumi kwa kuwa tumejenga utegemezi wa bidhaa kutoka nje kutokana na kusitisha na kuua kwa makusudi uzalishaji mali wa ndani ya nchi kupitia viwanda, kilimo na mali asili.

Sasa siku wawekezaji wakitukimbia, tutaanza kumkamata nani kwa kuhujumu uchumi wetu?

Rev Kishoka:

Naona unakaribia kuwa kama Mkandara sasa. Unaachia convictions zako kutawala facts. Haya mambo ya mapinduzi ya kumuondoa Nyerere yanatoka wapi sasa? Wewe mwenyewe unasema nchi ilitumia $500 Millions kwenye vita vya Kagera na Uganda. Na Revenue ya serikali ya mwaka 1984 ilikuwa $400 Millioni.

Je huoni kuwa mpaka mwaka 1984 uchumi ulisha-collapse? Zimbwabwe leo hawana vitu madukani kama vile Tanzania ya 1984. Je kuna mbinu za kumpindua Mugabe au mwenyewe kachemsha?
 
Rev Kishoka:

Naona unakaribia kuwa kama Mkandara sasa. Unaachia convictions zako kutawala facts. Haya mambo ya mapinduzi ya kumuondoa Nyerere yanatoka wapi sasa? Wewe mwenyewe unasema nchi ilitumia $500 Millions kwenye vita vya Kagera na Uganda. Na Revenue ya serikali ya mwaka 1984 ilikuwa $400 Millioni.

Je huoni kuwa mpaka mwaka 1984 uchumi ulisha-collapse? Zimbwabwe leo hawana vitu madukani kama vile Tanzania ya 1984. Je kuna mbinu za kumpindua Mugabe au mwenyewe kachemsha?

Zakumi,

Kuna mtu kaleta hiyo theory ya kumpindua Nyerere 1981 kushindwa, nami nikaoanisha na barua ya Luteni Maganga aliyeandika kwa nini walitaka kupindua nchi.

Naelewa kwa maelezo yako kuwa kutokana na hali halisi, hapakuwa na haja wala kwa jeshi kuiua buti kupindua, maji yalishazama na Nyerere alikuwa hana ujanja mwingine.

Nchi ilikuwa ndani ya madeni na aliona uasi wa ndani ya chama na serikali hivyo hakunwa na jingine bali kuachia ngazi.

Nimeoanisha matukio ya nyakati zote na hili la kupindua, silifumbii macho hasa nikifikiria kuwa kama waliotaka kupindua nchi ili kufungua milango ya kibiashara na uchumi walikuwa ni wafanyabiashara, hivyo Ulanguzi kutokana na kuhodhi mali kulikosababisha ukosefu wa bidhaa kuonekana kuwa ni kero basi ni kitu ambacho hatuwezi kukipuuzia.

Kama dhana hii ni kweli, basi Uhujumu uchumi lengo lake lilikuwa ni kupindua Serikali na kumng;oa Nyerere madarakani na si kuking'oa CCM!
 
Waungwana,

Kuna hii habari iliyochapwa Daily News ya juzi Ijumaa December 26 2008.

Jiulizeni kama huu si uhujumu ni nini na mjaribu kuoanisha na yaliyotokea Tanzania miaka 20 iliyopita.

Hakuna correlation yoyote. Wanaoagiza sukari kutoka nje wanaweza kufanya hivyo iwapo tu sukari ya ndani ni bei kubwa kuliko sukari kutoka nje.
 
Hakuna correlation yoyote. Wanaoagiza sukari kutoka nje wanaweza kufanya hivyo iwapo tu sukari ya ndani ni bei kubwa kuliko sukari kutoka nje.


Vipi kama hiyo sukari inayotoka nje inauzwa bei ya chini kwa vile iko na kiwango duni na ni hatari kwa matumizi ya binadamu ?
 
Zakumi,
Mkuu hili neno fisadi limetokana na kitu gani haswa.... Ikiwa fisadi sio mhujumu uchumi then why nchi nzima mnataka wakamatwe!.. again nashindwa kukuelewa kabisa..

Rev. Kishoka,

Mkuu maelezo yako murua sana na hakika hoja zote zilizotolewa na wahusika ni za kweli na hakuna anayezipinga isipokuwa tunapojaribu kuhusisha matatizo yale la swala la fundamentals za Uchumi. Hizi ni habari za vitabuni lakini on the ground ndio unakuta ufisadi ambao haina solution za kiuchumi isipokuwa sheria..
Tumeona hata mataifa makubwa yamekuja gundua sasa hivi kwamba fundamentals za Uchumi pekee haziwezi kufanya kazi kama hakuna Uzalendo na Trust. Tumeona Financial insitutions kama Banks zilicheza na Mortgage, Wall street wakicheza na figures kupandisha thamani za masoko, mashirika ya magari na kadhalika kote huko kumekumbatia Ubinafsi na kuvunja trust waliyokabidhiwa.
Na hata wao leo hii wana crackdown mafisadi badala ya kutazama ama kufikiria kwamba tatizo ni supply ya nyumba kulingana na mahitaji ya wananchi..Hata kama kuna ukweli wa kuwepo demand kubwa ya nyumba hizi bado sababu kubwa ya kutafuta solution ya economic meltdown ni kutazama uhalibifu wa sheria na taratibu za biashara.
Waingereza wanasema when searching for truth, look no further than yourself.. kwa bahati mbaya sisi watanzania kila siku tunataka kutazama nje yetu kutafuta mchawi au sababu nyingine lakini sio sisi..
Tuliondokana na Ujamaa sio kwa sababu ya Uhaba wa vitu madukani isipokuwa kwa sababu Uchumi kwa mapana yake haukuweza kukua ktk mfumo mzima wa Kijamaa..Kuna nchi kibao za kijamaa ambazo hazikuwa na matatizo kama yetu lakini pia walikufa kiuchumi. Leo hii tunashuhudia dunia nzima tukiingia ktk depression sio kwa sababu ya kitu kimoja supply.
tazama mafuta mimi binafsi siamini kama miezi mitatu iliyopita kulikuwa na demand kubwa ya mafuta kiasi kwamba bei zilifika over 100 a barrel wakati supply ilikuwa kubwa kuliko leo hii...
Waarabu na Opec wamekata supply chini sana ya kiwango ambacho walikuwa waki supply kwa miaka mitatu iliyopita lakini ndio kwanza mafuta yameshuka bei chini kuliko miaka minne iliyopita, hesabu ya magari Hybrid bado chini ya asilimia 10 dunia nzima..Hadi sasa hivi ni hofu tu ya depression ndio inacheza na vichwa vya watu, kwa hiyo hata during financial difficulties yaani ukame wa kiuchumi, hofu ya ajira kunachangia sana kushusha demand..Mali zipo madukani, watu wana fedha lakini wanajibana kuangalia upepo huu unakwenda vipi. Na Mabepari wenyewe kwa mara ya kwanza tunaona wakichukua fedha za serikali yaani toka kwa masikini kuweza kubakia ktk biashara. fedha za wananchi wanazipeleka benki ili hao hao wabnanchi wapate kuchukua mikopo.. I mean huoni biashara ya Ubepari ilivyo haramu mkuu. Unatoa hela mfuko wa mwananchi unaipeleka Benki kisha mwananchi huyo huyo anatakiwa kuomba benki mkopo (hela yake) kwa interest juu. That is the game mkuu wangu..
Hivyo ni muhimu sana kutazame nje ya darasa hata kama vitu hivi vinauwiana, tamaa zewtu wenyewe hutuponza kwa mengi na tufahamu kwamba dunia hii watu wote sio wazalendo wenye uchungu na jamii zetu. Ujamaa kiuchumi ulikuwa bomu na moja ya athari zake ni price control..Hiyo ilizua wafanyabiashara wa magendo..Dunia hii kila siku haiwezekani demand ikafikia kiwango cha kurudhika na supply.. Ni biashara ya kila siku kama vile wallstreet kwenyewe ambako kila siku rates zinapanda na kushuka..Na kama kuna wajanja wanaoweza kupenyeza mkono wao ndani ya biashara hiyo matokeo yake ndio kama Enron!..
 
Vipi kama hiyo sukari inayotoka nje inauzwa bei ya chini kwa vile iko na kiwango duni na ni hatari kwa matumizi ya binadamu ?

Hilo ni suala la Afya na quality control. Kwanini ulalamikie sukari wakati vitu vingi vyenye kutoka nje vina quality mbaya?
 
Zakumi,
Je huoni kuwa mpaka mwaka 1984 uchumi ulisha-collapse? Zimbwabwe leo hawana vitu madukani kama vile Tanzania ya 1984. Je kuna mbinu za kumpindua Mugabe au mwenyewe kachemsha?
hapo mkuu umenipa habari safiii..
Tatizo la Zimbabwe kutokuwa na vitu madukani sio swala la kutafuta solution based on demand na supply, hata kama kesho ukijaza vitu madukani haiwezi kusaidia kwa sababu mfumo mzima wa Mugabe kuhusiana na ugawaji ni mbovu..
Tanzania, South Afrika na nchi kibao tunapeleka vitu huko lakini hutuwezi kusaidia kitu kurudisha balance hali ya nchi hiyo ikiwa kuna kundi la watu kina Mugabe wana grab everything for themselves na kudai kwamba hakuna shida... Mugabe ni jizi na jambazi is the problem sio swala la demand and supply na kama kuna crackdown then he has to go!Usitake kusingizia vitu kuwa ndio problem. Ukimwondoa Mugabe mengine yatajipanga tu lakini kama Mugabe atabakia pale hakuna kitu kitajengeka.
 
Hakuna correlation yoyote. Wanaoagiza sukari kutoka nje wanaweza kufanya hivyo iwapo tu sukari ya ndani ni bei kubwa kuliko sukari kutoka nje.

Zakumi,

Ni mazingira bwana si mambo ya Adam Smith ya M1, M2 au M7!

Kisa kimoja cha kuanguka kwa uzalishaji mmali wa ndani ya nchi ni ushindani ulioletwa na mfumuko wa bidhaa za kuagizwa ambazo nyingi zilikuwa na majina makubwa lakini vikiwa vya viwango vya chini kuliko kina Tanbond!

Sasa kama hili la mchele na sukari lilitokea 1998, wakati hatukuwa na shida ya chakula na tulikuwa tuna uwezo wa kujitosheleza, lakini mwagizaji mmoja akaleta chakula ambacho akapewa msamaha wa kodi na ushuru kisha akauza kwa bei ya chini, huoni kuwa huo ni uhujumu?

Ukitizama sana kubaini ni uhujumu, bidhaa zote hizi hasa chakula hutoka sehemu moja Malaysia, Thailand, si Japan, China, Korea, US au UK. Sasa swali jiulize ni kwa nini awe ni Dewji au Bakhresa wanakimbilia kununua mchele kwa bei poa Malaysia ambao tunagundua ni wa kiwango cha ubora wa chini, kisha waje kunufaiaka marudufu huku mkulima wa Mbarali na Shinyanga anashindwa kuuza gunia lake la mchele pale Dar?

Uhujumu una sura nyingi sana, na hili la kujaza soko bidhaa za kuagiza zenye majina ni silika ya kuingia saikolojia ya mtu kuuza cha nje kudai ni bora zaidi.

Mfano mwingine, yale mafuta ya Korie yalikuwa bei ndogo kuliko hata Kimbo kutoka Kenya. Sasa jiulize iweje tuende kuagiza mafuta inferior ya Korie, tukitukana Voil na Tanbond yake na hata kuwakwepa kina Blue Band na Kimbo?
 
Back
Top Bottom