zakumi,
Mkuu uchumi ni somo langu na naweza kabisa kutoka nje ya somo na kuelezea hali halisi.. Kuficha mali inaweza kabisa kupandisha bei na kuzua inflation ktk nchi hata kama uzalishaji na supply ni sawa na demand. Ulanguzi unaweza kuathiri principal zote za uchumi na kile wewe unachotumia ni uchumi kulingana na kitabu wakati mimi nakupa upana wa matukio ya hali halisi iliyotokea...
Then again nitakuuliza kitu kingine pamoja na kwamba hujajibu la kwanza. Iweje serikali iweke vita ya Uhujumu Uchumi ikiwa hakuna magendo isipokuwa ni uhaba wa uzalishaji!.. I mean Nyerere na kina Sokoine walikuwa na ujinga gani ku target wafanya biashara na viongozi wanaohujumu uchumi wakati wakijua uwezo wa viwanda vyenyewe ku supply kulingana na demand ni mdogo..Mhujumu huyo ni nani na wapi anaingia kiuchumi?
Mkuu uchumi ni somo langu na naweza kabisa kutoka nje ya somo na kuelezea hali halisi.. Kuficha mali inaweza kabisa kupandisha bei na kuzua inflation ktk nchi hata kama uzalishaji na supply ni sawa na demand. Ulanguzi unaweza kuathiri principal zote za uchumi na kile wewe unachotumia ni uchumi kulingana na kitabu wakati mimi nakupa upana wa matukio ya hali halisi iliyotokea...
Then again nitakuuliza kitu kingine pamoja na kwamba hujajibu la kwanza. Iweje serikali iweke vita ya Uhujumu Uchumi ikiwa hakuna magendo isipokuwa ni uhaba wa uzalishaji!.. I mean Nyerere na kina Sokoine walikuwa na ujinga gani ku target wafanya biashara na viongozi wanaohujumu uchumi wakati wakijua uwezo wa viwanda vyenyewe ku supply kulingana na demand ni mdogo..Mhujumu huyo ni nani na wapi anaingia kiuchumi?