Nini chanzo cha ushoga (uhanithi)?

kuchimbana nnya kwa vyuoni ni jambo la kawaida sana, tena wengine utawakuta wanaenda kufanyia vyooni au vyumbani wenzao wakiwa darasani. Vijana acheni hiyo mambo ya kukaliana hayo yanafaa wazungu
 
hyo kitu huwezi kuikuta SAUT maan kuna hostel nyingi na hazina watu.mwanza mtu analipa kilo 150 per year full raha.hizo zipo CBE na IFM asee

IFM wanakaa zao kigamboni, kwanza ada ya hostel ya ifm ni 450k sasa Hiyo ela nan yupo tayar alipe alafu akajibane na MTU wakat kigamboni rum mpaka 50 anapata..
 
Limekuwa jambo la kawaida kwa wanachuo (hasa vyuo vilivyo kwenye miji mikubwa Dar, Mwanza, Arusha n.k.) kuchangia/kubebana kwenye kitanda kimoja

Jambo hili limefanya wanavyuo hao kutiana joto/ashki na mwishowe kuanza kufili.mbana na kuwa wapenzi bila kificho.

Wanachuo Wanaoongoza katika hili ni wa vyuo vifuatavyo 1. IFM 2. CBE 3.Ustawi wa Jamii 4. UDSM 5. DIT 6.ARU 7. HKMU.

We mkuu umesoma shule gani kwanza? mana kubebana MBNA tangu olevel na advance kweny shule zetu kubebana ni kawaida ..waliosoma shule za kishua ndo wanaongoza kua mashoga na sio swala la vyuo kama we unavyosema.
 
wana jf naomba mnifahamishe ni kitu gani kinapelekea mwanaume kuwa shoga.hao wanaotembea kama wanawake ni kweli wamezaliwa hivyo?
 
Ka
nikitaka kumpanda kama sijapakuliwa in two days zilizopita huwa naishia kumshika shika tu ila nikipigwa buster huwa anaomba poh.
Kaka sorry kwa hiyo tangu utoto mpaka Sasa unaweza kukadiria gharama za Pampers na matibabu inaweza ikafika million ngap
 
Si kila anaejinasibu kupinga ushoga huwa anapinga kweli, wengine hutumia upingaji kama njia ya kutanganza.

Pinga ushoga nyumbani kwako na familia yako sio mitandaoni kila kukicha. Hii ni ni kuupa upunga publicity.

No publicity is bad publicity.
 
Ni kumwomba Mungu sana. Kumshinda shetani sio kazi rahisi na wala sio kwa kupiga kelele mitandaoni. Mambo mengine yapo kiroho zaidi.
 
  • Thanks
Reactions: xox
Ombeni Mungu, jambo hili lisiwaingilie majumbani mwenu. Ni fedheha sana , kugundua kuwa mwanao hasa wa kiume amekuwa punga. Bora kidogo wasagaji sioni madhara yao.
 
Si kila anaejinasibu kupinga ushoga huwa anapinga kweli, wengine hutumia upingaji kama njia ya kutanganza.

Pinga ushoga nyumbani kwako na familia yako sio mitandaoni kila kukicha. Hii ni ni kuupa upunga publicity.

No publicity is bad publicity.
Kuna jamaa mmoja kitambo kwenye kupiga stori ilikua ikifika stori ya mashoga anawaponda sana. Mwisho wa siku kumbe jamaa ni shoga aliekomaa. Binafsi siwaamini sana watu wanao act kwa maneno kua hawapendi ushoga. Wengi wanazuga tu ila kwa ndani hamna kitu

Ushoga upingwe kwa vitendo sio maneno. Jitenge nao kwenye mishe zako, usiwape ushirikiano wowote kuwaonyesha kua wanachofanya sio sahihi na kama una nyumba usikubali kuwapangisha wakose pa kukaa. Kuriko kupiga kelele afu mwisho wa siku unacheka nao
 
Mnapiga kelele sana. Shida iko chini kwenye FAMILY........ tushuke chini tuleee watoto kiafrika zaidi hasa Hawa WA kiume. Tutamlaumu MZUNGU mpk lini!?
 
  • Thanks
Reactions: xox
Kuna jamaa mmoja kitambo kwenye kupiga stori ilikua ikifika stori ya mashoga anawaponda sana. Mwisho wa siku kumbe jamaa ni shoga aliekomaa. Binafsi siwaamini sana watu wanao act kwa maneno kua hawapendi ushoga. Wengi wanazuga tu ila kwa ndani hamna kitu

Ushoga upingwe kwa vitendo sio maneno. Jitenge nao kwenye mishe zako, usiwape ushirikiano wowote kuwaonyesha kua wanachofanya sio sahihi na kama una nyumba usikubali kuwapangisha wakose pa kukaa. Kuriko kupiga kelele afu mwisho wa siku unacheka nao
na ndio ukweli wenyewe, wengi wanaoshupaza shingo kupinga ushoga huwa ni wapenzi wa mashoga. Ule upingaji hutumika kama defense mechanism ya kutogundulika.

Mpingaji hasa wa ushoga ataasa watu wake wa karibu na kuwaambia athari zake sio kuweka mabango kila sehemu.

Kila mtu akiplay part yake kiusahihi kwenye jamii ushoga utabaki kuwa historia.
 
na ndio ukweli wenyewe, wengi wanaoshupaza shingo kupinga ushoga huwa ni wapenzi wa mashoga. Ule upingaji hutumika kama defense mechanism ya kutogundulika.

Mpingaji hasa wa ushoga ataasa watu wake wa karibu na kuwaambia athari zake sio kuweka mabango kila sehemu.

Kila mtu akiplay part yake kiusahihi kwenye jamii ushoga utabaki kuwa historia.
Naam, swala ni watu kuishi kwa kuupinga ushoga kwa vitendo. Sauti hazisaidii ikiwa mitaani unaishi nao kawaida. Hata serikali kama kweli inapinga ushoga inabidi tuanze kuona mashoga wakivamiwa kwenye party na club zao kukamatwa kama wavuta bangi wanavyo kulupuliwaga vichochoroni. Yani tuonyeshe kweli hata kwa watoto wetu kua ushoga ni mbaya na ni kinyume na sheria
 
Wewe kama hupendi ushoga.. Hata mkeo Aache kutumia p2 maana iko probability kubwa ya kuzaa dume lenye homoni za kike.. Hii vita kubwa,.., niishie hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom