Da Rose kwani ku sex kuna ubaya kama mtu unampenda?nakuunga mkono.
Mbona hata wakina dada wengine wapo na tabia hizo? sio wanamume tuKweli mwanume akiamua kukupaisha atakupeka mpaka peponi na utaiona dunia yote ya mapenzi iko ktk kiganja chako, na akikushusha atakushusha mpaka jehanam na kukutupa hapo. Kikubwa sema na roho yako fanya kitu ile roho nataka.
asante kwa ushauri mkuu,tatizo analalamika anadai kuwa simpendiKwanza inabidi uanze kumwamini. Kwani ktk mahusiano yenu nadhani mko na muda sasa...kikubwa jua ya kwamba kusex si njia sahihi ya kujua kama anaupendo wa dhati kwako au wewe kwake ni matendo, nadhani mpk kufikia hapo mlipo kwa vyovyote vile amekidhi vigezo ambavyo wewe unavihitaji hivyo basi kikubwa mwamini then songa mbele, lakini Mungu nae apewe nafasi kubwa ktk hilo. Barikiwa sana!
Love and compassion are necessities, not luxuries. Without them humanity cannot survive. ....Dalai Lama
Mbona una wasiwasi kwamba ukimpa atakimbia? Au ushajua matatizo yako? Ebu weka wazi kwanin ukimpa atakimbia?
unaaminika?natamani kukuliwaza nifanyeje ????
acha tu mwenzangu,their evilKweli mwanume akiamua kukupaisha atakupeka mpaka peponi na utaiona dunia yote ya mapenzi iko ktk kiganja chako, na akikushusha atakushusha mpaka jehanam na kukutupa hapo. Kikubwa sema na roho yako fanya kitu ile roho nataka.
you are a captive of your own identity living in prison of your own creation!!!....the captivity of negativity is killing you!
kweli aumpend .....love is power..ungempa wewe nguvu ya love ingezidi ya wasiwasi ulionaoso kitambo ungekuwa ushampa....mashaka meeeeeeeeeeeeeeeeeeeng seems aujamkubali,mpenda.....jiachie dada:violin:asante kwa ushauri mkuu,tatizo analalamika anadai kuwa simpendi
Hizi mambo ni complicated smile bana! ukichukua tahazari sana basi zitakutia wazimu tu. Lakini amini kitu kimoja, kama amekupenda kweli kweli basi atasubiri mpaka ndoa ilimradi tu usimuoneshe kwamba unamsubirisha kwa kumkomoa au akahisi unaringa, namaanisha ukuwe na sababu za msingi za kumsubirisha.mmmmh acha kunipotosha kaka
kweli nampenda sana sana i wish sijui nimfanyie nini anielewekweli aumpend .....love is power..ungempa wewe nguvu ya love ingezidi ya wasiwasi ulionaoso kitambo ungekuwa ushampa....mashaka meeeeeeeeeeeeeeeeeeeng seems aujamkubali,mpenda.....jiachie dada:violin:
Rose unantamanisha, nitareport kwa modskweli aumpend .....love is power..ungempa wewe nguvu ya love ingezidi ya wasiwasi ulionaoso kitambo ungekuwa ushampa....mashaka meeeeeeeeeeeeeeeeeeeng seems aujamkubali,mpenda.....jiachie dada:violin:
funguka bhana, kwa nini umuadhibu kwa kosa alolifanya mtu mwingine. au una kale ka usemi kenu et " wanaume wote mama yao mmoja, so wanafanana" usimfanyie hvo, (af vp yule ulosema anakunyima raha wakat wa lunch na brkfast, ulishamwambia linalokusibu juu yakea?)what shall i do brother ?
Ukimpaaa atalewa na ukimnyimaa zulumaa. Source: nazani ni Ray C
Wewe jitose tu bwana statistics zinasema kila ukimwagwa sana ndio unakuwa kungwi bora[/QUOTE
nikikupakupakupakupa utlewaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa na nikikunyimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa hurumaaaaaaaaaaaaaa...nshachoka mieeeeeeeeeeeeeeee..usichokeeeeeeeeeeeeeeeeentachoka mieee usichokeeee ntachoka mieeeeeeeeeeeeeee..oioiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii:scared:
weng nimewapa ....wala si wangoma na wala si wachezaji ni mabushutu tuuuuuuuuuuuuuuuuuu yalaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!