Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
kweli nampenda sana sana i wish sijui nimfanyie nini anielewe
mpeeeeeeeeeeeeeeee jaman ahhhhhhhhhhhhhhhhhh stak mie kusema tenaeep:
kweli nampenda sana sana i wish sijui nimfanyie nini anielewe
Mbona hata wakina dada wengine wapo na tabia hizo? sio wanamume tu
Sex is not love.
anasema kama sitaki kumpa tusitafutane wala nisiende kwake tena maana ninamtega tega bila sababu.si ndo anataka kuniacha hivo jamani? nataka nikae tufanye mambo yote .tuinjoy pamoja except sex i wish ingewezekanaHizi mambo ni complicated smile bana! ukichukua tahazari sana basi zitakutia wazimu tu. Lakini amini kitu kimoja, kama amekupenda kweli kweli basi atasubiri mpaka ndoa ilimradi tu usimuoneshe kwamba unamsubirisha kwa kumkomoa au akahisi unaringa, namaanisha ukuwe na sababu za msingi za kumsubirisha.
Rose unantamanisha, nitareport kwa mods
acha tu mwenzangu,their evil
Mkuu, hivi kusubiri mpaka ndoa ndo ishara ya upendo? yaani sie tuliomegana kabla ya ndoa hakuna upendo hapo? tatizo madem wanataka kutumia sex as guranteed ya ndoa? yeye bana kama wanapaendana ajiachiee tu kama Rose anavyosema ndoa matoke banaHizi mambo ni complicated smile bana! ukichukua tahazari sana basi zitakutia wazimu tu. Lakini amini kitu kimoja, kama amekupenda kweli kweli basi atasubiri mpaka ndoa ilimradi tu usimuoneshe kwamba unamsubirisha kwa kumkomoa au akahisi unaringa, namaanisha ukuwe na sababu za msingi za kumsubirisha.
anasema kama sitaki kumpa tusitafutane wala nisiende kwake tena maana ninamtega tega bila sababu.si ndo anataka kuniacha hivo jamani? nataka nikae tufanye mambo yote .tuinjoy pamoja except sex i wish ingewezekana
Kwa nini un aogopa kusex?anasema kama sitaki kumpa tusitafutane wala nisiende kwake tena maana ninamtega tega bila sababu.si ndo anataka kuniacha hivo jamani? nataka nikae tufanye mambo yote .tuinjoy pamoja except sex i wish ingewezekana
Rose mambo?acha umbea wewe..semea uone km sjakugeuza plton ukalala 24/7!!!!!!!!
Mkuu, hivi kusubiri mpaka ndoa ndo ishara ya upendo? yaani sie tuliomegana kabla ya ndoa hakuna upendo hapo? tatizo madem wanataka kutumia sex as guranteed ya ndoa? yeye bana kama wanapaendana ajiachiee tu kama Rose anavyosema ndoa matoke bana
Rose mambo?
Sasa hii kujifanya wakristo wa hollywood ndio mbaya hii, yaani mambo yako unataka yaende kiimani lakini at the same time mnabehave kihollywood hapo hata mimi ningeshindwa bana. Unajua ili upate mwanaume ambae atakubali msisex mpaka ndoa ni lazima ubehave kiimani imani zaidi. No kuteganaz and no outings ambazo zitapelekea kuchafua nguo za ndani. No kukumbatiana kijinga jinga hapa namaanisha inabidi usiweke mazingira ya kusumbua hisia za mwenzio.anasema kama sitaki kumpa tusitafutane wala nisiende kwake tena maana ninamtega tega bila sababu.si ndo anataka kuniacha hivo jamani? nataka nikae tufanye mambo yote .tuinjoy pamoja except sex i wish ingewezekana
Si ndo apo? ampe kitu roho inapenda..................kwa kizazi cha dot.com hii mambo ni kama hadithi tu..! eti mpaka ndoaumeona enhh?
et mpk ndoa ndo upendo mhh?
may b sjui nini comprise kitu UPENDO
NA kwa maisha ya siku izi wanaume wenyewe wamekuwa PUNGUFU KIMAUMBILE...mara adind.mara akidinda asastain mda mrefu.mara kibamia...wat i c kupimana b4 muhimu....km kinanitosha au km kibamia km cha mtoto wa nasar tupa kule...lakin kujifanya wataka fumbo la utatu mtakatifu ulivumbue pale pale my dia get ready for suprise ...ushangai kukuta bwabwa au kipenseli....mhhhhh stak jaman ebu nkachambue matembele yangu mie:flock:
Nisome tena vizuri mkuu, kuna point unaimiss.Mkuu, hivi kusubiri mpaka ndoa ndo ishara ya upendo? yaani sie tuliomegana kabla ya ndoa hakuna upendo hapo? tatizo madem wanataka kutumia sex as guranteed ya ndoa? yeye bana kama wanapaendana ajiachiee tu kama Rose anavyosema ndoa matoke bana
Ngoja nije bana tuonyeshane upendo..... ooops sex....noooo....naja kukuowowamambo poa ndgu yangu sjui wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu....ahh nachek apana i debate
SEX vs UPENDO
MKISEX NDO UPENDO?a
MKISEX NDO AMUACHANI
MKISEX B4 NDOA AMPENDAN
JE UKIMPENDA LAZIMA UMPE?
JE NISIMPE ILI NIENDELEE KUWA NAYE......ahh folder Aalifunguk tena......njoo uku tule pitiku na ugali bana
Si ndo apo? ampe kitu roho inapenda..................kwa kizazi cha dot.com hii mambo ni kama hadithi tu..! eti mpaka ndoa
Ngoja nije bana tuonyeshane upendo..... ooops sex....noooo....naja kukuowowa