Diana-DaboDiff
JF-Expert Member
- Jul 13, 2009
- 376
- 19
- Thread starter
- #141
Baada ya kurudi kutoka Arusha nimemueleza mume wangu kila kitu,baada ya kunisikiliza na kuniuliza maswali kadhaa kaniambia kwakua ana safari ya mwezi mmoja Namibia nitumie muda huo kuamua kuachana na mambo haya na kutafuta tiba ya hospitali na kwengineko au niamue nini hatima ya ndoa yetu.