Diana-DaboDiff
JF-Expert Member
- Jul 13, 2009
- 376
- 19
- Thread starter
- #121
Hata wewe unaruhusiwa kuniita honey.makubwa kumbe DDD ni honey wako? he!!!
Hata wewe unaruhusiwa kuniita honey.makubwa kumbe DDD ni honey wako? he!!!
Abdulhalim tumekuwa wote toka mwanzo wa hii mada hii safari ya Arusha ndio imeharibu kila kitu na uzalendo kuniishia,tulikuwa watatu mwanamme mmoja na sisi wawili,mwanamme akapangiwa chumba chake ni sisi tulipangiwa chumba kimoja.Najihisi nimekosea na psychiatrist bado nitamwona nikirudi Dar.Sasa ulifungua thread kutupotezea muda? Mwe! Safari njema ya huko uendako..kuzimu
Hata wewe unaruhusiwa kuniita honey.
Acha uongo wako hapa, unadanganya watu wazima wewe, kwani mlienda kulala hosteli au bwenini hadi mpangwe kulala pamoja? Nimegundua hata topic yako yote ni hadithitulikuwa watatu mwanamme mmoja na sisi wawili,mwanamme akapangiwa chumba chake ni sisi tulipangiwa chumba kimoja.Najihisi nimekosea na psychiatrist bado nitamwona nikirudi Dar.
Abdulhalim tumekuwa wote toka mwanzo wa hii mada hii safari ya Arusha ndio imeharibu kila kitu na uzalendo kuniishia,tulikuwa watatu mwanamme mmoja na sisi wawili,mwanamme akapangiwa chumba chake ni sisi tulipangiwa chumba kimoja.Najihisi nimekosea na psychiatrist bado nitamwona nikirudi Dar.
Sijakutupa dadangu DDD. Usijali nimerejesha moyo. Unajua umenistua sana uliposema officially we ni nanihii, nikaona tumempoteza kondoo, basi nikasema kondoo aende kwa usalama huko aendako.Naamini bado unayo nafasi ya kujirekebisha, no one is perfect. Just take aim to perfect ur life. 100% commitment, no slips.
Kumbuka maisha ni kushinda vishawishi, play ur part. Ukishinda hiki kinakuja kingine, ukichelewa sekunde moja tu ukalegea umekwenda na maji. Kama nilivokwisha sema msaada wa matatizo ya kisaikolojia yanahitaji commitment yako wewe mwenyewe, mtaalamu anakusaidia tu kuziamsha nguvu zako za kuamua. Usitegemee maajabu kutokea overnight. Drastic problems need drastic measures, kama kweli umeamua kuacha zingatia hili, no pain no gain.
Kaka Abdulhalim heshima mkuu
nadhani hujamuelewa huyu dada vizuri, hii story yote ni ya uongo kuanzia mwanzo mpaka mwisho, ILA NI UKWELI USIOFICHIKA ANAONEKANA HUYU DADA NI MTAALAMU WA KUKOBOA NA KUSAGA, NA HAPA ALIKUWA KAZINI KUTAFUTA DADA ZETU WALIOPO HUMU JAMVINI, NADHANI KUNA VIPICHA (AVATOR)KAVIONA VYA DADA ZETU NA VIMEMVUTIA NA AKAWA YUPO KWENYE MAWIDO NINA MAANA KAJIONYESHA YEYE NI NANI NA KAMA KUNA DADA YOYOTE HUMU ANA INTEREST NA HAYO MAMBO BAC IWE KWAKE RAISI KUMPATA,
MTAALAMU JARIBU KUFUATILIA KUANZIA MWANZO MPAKA MWISHO UTAONA HII STORY NI YA KUTENGENEZA TU, INAKUINGIAJE AKILINI WATU WAZIMA WAENDE KWENYE SHUGHULI YA KIKAZI NA WAPANGIWE CHUMBA KIMOJA?
Naomba kwenye hili usiseme, litakusumbua wakati wa kuomba kura Oktoba !Mmh,sijui nisemeje!
Mimi naona DDD ni mzoefu lakini anatuzuga kwa kutuambia kuwa hizo hisia alizishinda alipokuwa sekondari na chuo. Huko ndiko hizi tabia zinajengwa hasa katika skuli za jinsia moja au mabweni ya jinsia moja. Wale walio madarasa ya mbele wanawalaghai na kuwarubuni wanafunzi wapya na wadogo na kisha kuwaharibu kabisa. Ni percent kidogo sana ya homosexuals inatokana na mapungufu ya kimaumbile (kuwa na hormone za kiume kwa mwananmke au za kike kwa mwanaume), sehemu kubwa yao ikiwa ni kufunzwa na kuzoeshwa tabia hii na wavulana au wasichana wakubwa mtu anaowakuta katika mazingira yanayowezesha tabia hiyo. Watoto wa Form I wanakuwa na umri wa miaka 13 hadi 15 na kama hili swali lingefuatiliwa kwa umakini kuna kesi za ubakaji nyingi kwani hawa wanakuwa bado hawajafikia umri wa kukubali (consent).Nlipokuwa sekondari na baadae chuo nilihisi kuwa na hisia za kimapenzi na wanawake wenzangu lakini niliweza kuzishinda na kuendelea na maisha yangu.
Nlipokuwa sekondari na baadae chuo nilihisi kuwa na hisia za kimapenzi na wanawake wenzangu lakini niliweza kuzishinda na kuendelea na maisha yangu.
Mwezi mmoja ulopita kuna dada kaajiriwa ofisini kwetu na toka nimuone kwa mara ya kwanza nimekuwa na hisia kali juu yake. Dada huyu ana tabia ya kutukumbatia kina dada wenzake anapotusalimia asubuhi sasa huu umekuwa mtihani mkubwa kwangu napenda tukumbatiane kwa muda mrefu na labda tungekuwa peke yetu ningetamani kumbusu mdomoni na hata kumpapasa. Namuwaza huyu dada muda wote hata kumuota usiku.Ndoa yangu ina miezi sita tu nampenda mume wangu lakini nashindwa kudhibiti hisia hizi kwa dada huyu.
Dada mwenyewe ana msimamo kaisha watolea nje vijana wawili ofisini hapa kuwa hataki mpenzi kwa sasa anataka kuweka akili zake zote kazini. Msichana ni mrembo kweli, mrefu, mwembamba na ana lips za kufa mtu. Nafikiria kuacha kazi na kuhamia ofisi nyingine kuna kampuni waliniambia muda wowote ninaotaka watanichukua.
Nishaurini wanajamvi wenzangu yamenikuta.
Nimejaribu kupambana na hisia hizi zaidi ya miaka minane na nilifanikiwa kuzififisha lakini toka nionane na huyu mrembo nahisi sitaweza tena kuzizuia,akicheka,akiongea,akitembea,akiniangalia natamani kumkumbatia na kumueleza hisia zangu.Nimeomba ruhusa kazini siku mbili lakini haijasaidia,nampigia simu kusikia sauti na kicheko chake.
Abdulhalim tumekuwa wote toka mwanzo wa hii mada hii safari ya Arusha ndio imeharibu kila kitu na uzalendo kuniishia,tulikuwa watatu mwanamme mmoja na sisi wawili,mwanamme akapangiwa chumba chake ni sisi tulipangiwa chumba kimoja.Najihisi nimekosea na psychiatrist bado nitamwona nikirudi Dar.