zacharia elieza
New Member
- May 4, 2012
- 2
- 0
kumpenda nilimpenda sana mpaka nilifikia hatua ya kumtorea barua ili awe wangu wa kufa na kuzikana,ila tatizo likaja baada ya kutoa barua kwao binti kawa na kiburi kama nini sijui,tofauti kabisa na mwanzo yaani anataka kufanya vitu anavyotaka yeye ukisema umuelekeze kosa hapo ni ugomvi tu!sasa mi nashindwa kuelewa ndo kagundua kuwa nampenda ndo maana analeta visa au nini.Sasa ndo najiuliza nimuache au nivumilie atakuja kubadilika