Bin Shaib
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,315
- 1,186
Wakuu habari za mida tena, hamjambo natumaini na kama mko poa nijambo la kheri.
Maada.
Nimeamua niweke kisa changu kuhusu punyeto ilivyo nikosesha papuchi mwaka 2012. Kipindi hicho nilitokea kumpenda binti ambae alikuwa ananivutia sana na nilimpenda kupitiliza yaani kufa kuoza. Nilimtongoza akakubali, japo kipindi hicho nilikuwa muoga kutamka neno "Nakupenda" ilikuwa mtihani lakini nilijikakamua na mambo yakawa sawa.
Akajibu hata yeye pia alikuwa ananipenda lakini alikuwa anaigopa kunambia, siku hiyo nilifurahi saaana. Basi mapenzi yakaanza na kuna kazi nilikuwa naifanya so vihela vya matumizi alikuwa hakosi. Yule binti kila alicho kuwa ananiambia nilikuwa radhi nijitahidi kivyovyote nikitafte nimuletee, alitumia pesa yangu nyingi walahi, na alikuwa mwanafunzi kidato cha pili, pesa ya kula shule nilikuwa nampa japo si siku zote
Nikaanza kumwambia kuhusu show mara udanganywe yupo hedhi, tumbo linamuuma na mambo mengine mengi tu. Tukaendelea na mahusiano yetu kwa mda sana, nikawa naambilia romance tu dah, siku moja nikamchukia kabisa nikamwambia mapenzi gani haya wewe unatumia zangu harafu wewe unanibania. Nikawa nimekaa kimya kama wiki moja, akatuma barua kuwa nimsamehe na jioni yake tuonane, nikasema poa.
Jioni tukaonana tukapangilia akanambia usiku anakuja lakini hatafanya chochote nikasema poa usijali, usiku huu hapa ukawadia nikaenda kulala lakini sikusinzia nikisubiri nikweli atakuja? Saa 5 za usiku nasikia hodi moyo ukaripuka na mapigo yamoyo yakaongezeka sana na hofu juu, sikuamini kama mtoto Neema angeingia geto.
Nikamfata hadi chumbani akakaa bed na mimi pembeni yake victory kama vingapi tukajitupa bed, ukalala na mtoto kupo kwenye kanga, ooooh nikaanza romance kama kawa demu akawa anakataa mimi nimekwambia sifanyi. Nikiangalia huku chini kwangu dushe ndo kama hivo liko kama, mrenda wa bamia za kisasa, nikawa navuta filling lakini wapi dushe linasimama nusu mlingoti.
Baadaye nikawa najishika dushe nikahisi shahawa zishatoka zamani tu, nikaona dudu inanywea tu. Nilijihisi wa baridi muda huo na hofu ndo ilizidi nikawa najisemea moyoni tatizo litakuwa PUNYETO tu ndo imesababisha yote haya na demu kasikilizia haoni chochote. Hadi akasinzia mida ya saa 11 alfajiri akaamka akasepa school.
Siku hiyo sikusinzia aisee. Kigezo nichojipa moyo niile kauli kuwa haji kufanya chochote.
PUNYETO
Kwa siku za nyuma hizo zote nilikuwa muumini mzuri wa chaputa nilikuwa silazi damu, maana nilikuwa nakisimu cha batani kilikuwa na uwezo wa YouTube, nikiwa na bando ilikuwa Pornhub inahusu. Ilifikia hatua hata nikifanya romance dude linaamka kidogo linalala, nilijisikia vibaya sana wakuu.
FURAHA KULEJEA :
Niliamua kufatilia madhara ya punyeto mtandaoni nilipo soma niliogopa sana huo mchezo, nikajikita kwenye mazoezi japo niliahidi kuacha kuna kipindi nilikuwa nastua japo nilipunguza speed ikawa mara 1 kwa mwezi hatimae niliamua kuacha daima.
Nikaanza kujihusisha na wasichana ili kuizoesha akili yangu hatimae nilifanikiwa kutoka kwenye uraibu huu hatari zaidi ya cocaine. Hali yangu imerejea kama mwanzo na nguvu kama zote.
Niishie hapa kwa kumbukumbu hii ambayo ilinitokea miaka ilee. Toa kisa chako kilichokutokea au kukuabisha kisa upigaji wa punyeto? Usiogope ukiamua unaweza kwa sasa najiamini na ninaishi kwa furaha bila punyeto.
Mbarikiwe nyote.
Maada.
Nimeamua niweke kisa changu kuhusu punyeto ilivyo nikosesha papuchi mwaka 2012. Kipindi hicho nilitokea kumpenda binti ambae alikuwa ananivutia sana na nilimpenda kupitiliza yaani kufa kuoza. Nilimtongoza akakubali, japo kipindi hicho nilikuwa muoga kutamka neno "Nakupenda" ilikuwa mtihani lakini nilijikakamua na mambo yakawa sawa.
Akajibu hata yeye pia alikuwa ananipenda lakini alikuwa anaigopa kunambia, siku hiyo nilifurahi saaana. Basi mapenzi yakaanza na kuna kazi nilikuwa naifanya so vihela vya matumizi alikuwa hakosi. Yule binti kila alicho kuwa ananiambia nilikuwa radhi nijitahidi kivyovyote nikitafte nimuletee, alitumia pesa yangu nyingi walahi, na alikuwa mwanafunzi kidato cha pili, pesa ya kula shule nilikuwa nampa japo si siku zote
Nikaanza kumwambia kuhusu show mara udanganywe yupo hedhi, tumbo linamuuma na mambo mengine mengi tu. Tukaendelea na mahusiano yetu kwa mda sana, nikawa naambilia romance tu dah, siku moja nikamchukia kabisa nikamwambia mapenzi gani haya wewe unatumia zangu harafu wewe unanibania. Nikawa nimekaa kimya kama wiki moja, akatuma barua kuwa nimsamehe na jioni yake tuonane, nikasema poa.
Jioni tukaonana tukapangilia akanambia usiku anakuja lakini hatafanya chochote nikasema poa usijali, usiku huu hapa ukawadia nikaenda kulala lakini sikusinzia nikisubiri nikweli atakuja? Saa 5 za usiku nasikia hodi moyo ukaripuka na mapigo yamoyo yakaongezeka sana na hofu juu, sikuamini kama mtoto Neema angeingia geto.
Nikamfata hadi chumbani akakaa bed na mimi pembeni yake victory kama vingapi tukajitupa bed, ukalala na mtoto kupo kwenye kanga, ooooh nikaanza romance kama kawa demu akawa anakataa mimi nimekwambia sifanyi. Nikiangalia huku chini kwangu dushe ndo kama hivo liko kama, mrenda wa bamia za kisasa, nikawa navuta filling lakini wapi dushe linasimama nusu mlingoti.
Baadaye nikawa najishika dushe nikahisi shahawa zishatoka zamani tu, nikaona dudu inanywea tu. Nilijihisi wa baridi muda huo na hofu ndo ilizidi nikawa najisemea moyoni tatizo litakuwa PUNYETO tu ndo imesababisha yote haya na demu kasikilizia haoni chochote. Hadi akasinzia mida ya saa 11 alfajiri akaamka akasepa school.
Siku hiyo sikusinzia aisee. Kigezo nichojipa moyo niile kauli kuwa haji kufanya chochote.
PUNYETO
Kwa siku za nyuma hizo zote nilikuwa muumini mzuri wa chaputa nilikuwa silazi damu, maana nilikuwa nakisimu cha batani kilikuwa na uwezo wa YouTube, nikiwa na bando ilikuwa Pornhub inahusu. Ilifikia hatua hata nikifanya romance dude linaamka kidogo linalala, nilijisikia vibaya sana wakuu.
FURAHA KULEJEA :
Niliamua kufatilia madhara ya punyeto mtandaoni nilipo soma niliogopa sana huo mchezo, nikajikita kwenye mazoezi japo niliahidi kuacha kuna kipindi nilikuwa nastua japo nilipunguza speed ikawa mara 1 kwa mwezi hatimae niliamua kuacha daima.
Nikaanza kujihusisha na wasichana ili kuizoesha akili yangu hatimae nilifanikiwa kutoka kwenye uraibu huu hatari zaidi ya cocaine. Hali yangu imerejea kama mwanzo na nguvu kama zote.
Niishie hapa kwa kumbukumbu hii ambayo ilinitokea miaka ilee. Toa kisa chako kilichokutokea au kukuabisha kisa upigaji wa punyeto? Usiogope ukiamua unaweza kwa sasa najiamini na ninaishi kwa furaha bila punyeto.
Mbarikiwe nyote.