Amekudhalilisha vipi kwa jirani yako?
she was trying to captivate you in love, she believes to be the only one and very unfortunately she thought her dreams failed unknowingly!msamehe jamani hakujua huyo ni nani na alikuwa na matumaini makubwa sana!haya ndo maisha yetu, sidhani na sijui ni kwanini watu tunakuwa a mawazo ya haraka sana kabla ya kuwa na uhakika wa mambo!vilevile na wewe unaweza kuwa ulimuonesha sana mambo fulani yakamteka si unajua!au alikuwa frastruted akahis utakuwa kimbilio lake!mambo ni mengi!