Jamani, naapa kabisa sijawahi kumwambia neno lolote huyu dada isipokuwa salamu na kumjulia hali yeye na familia yake. Ni huruma tu ya kumsaidia lifti nahisi ndiyo imeniponza.
You're genius,..................Leta story nzima hapa mzee......leta maongezi ya kwenye gari.
Lift haiponzi bana..........Jamani, naapa kabisa sijawahi kumwambia neno lolote huyu dada isipokuwa salamu na kumjulia hali yeye na familia yake. Ni huruma tu ya kumsaidia lifti nahisi ndiyo imeniponza.
Inawezekana mhusika kuna ukweli ameuficha, lakini all in all huyo dada atakuwa ni mswahili tu.Hii ni kali!
Nimesoma hadithi nyingi, huwa zinaelekeana lakini ya kwako hii ni ya aina yake!
Wanawake wana wivu sana na ni roho mbaya kichizi!
Lakini wewe mwenyewe huenda hujatulia, unaweza kukuta unajieleza mambo mazuri tu, usikute ushalikoroga sana na huyo mdada wa watu siku za nyuma!...kwanini asonye wakati hajui kuwa huyo ni dada yako au shangazi yako?
Anaijua tabia yako huyo mkuu!..badilika!
Don't judge each day by the harvest you reap but by the seeds that you plant.Ndg naombeni ushauri maana najua kesho tena naweza kumkuta eneo lile lile na sijui nichukue uamuzi gani wa busara, msaada pliz!
Inawezekana kutokana na maongezi yenu aliamini kwamba uko interested na yeye.
Kuna watu bwana (wanawake kwa wanaume) hata ukimchekea tu basi anadhani ndo umempa ndio. . . achilia mbali kumpa lift. Kwahiyo inawezekana sana wewe hukua interested na wala hukuonyesha dalili ila kwa vyovyote vile huyo dada anaamini ukarimu wako ulikua dalili za wewe kumtaka.
Cha maana mpotezee asije akakwendea bwagamoyo bure.
Hhahahaha!!!Lift haiponzi bana..........
lazima kuna mbwembwe nyingine....
wakati wa kurudi mlikuwa hampitiani nyie??
kabla ya kuingia home, moja moto moja baridi??!!!
Funguka kaka..........funguka!!
Jamani, naapa kabisa sijawahi kumwambia neno lolote huyu dada isipokuwa salamu na kumjulia hali yeye na familia yake. Ni huruma tu ya kumsaidia lifti nahisi ndiyo imeniponza.
Hhahahaha!!!
You're genius,..................