Nimeweka Engine Oil 20w-50 X-trail NT30 (2003) nipo sawa?

Hata alivyonunua hiyo kapata ushauri. So anajaribu kupata maelezo mengine, maana hizi oil zipo nyingi sana na mbaya zaidi zile zikizoandikwa kwenye Vitabu vya gari hazipo huku kwetu ndio maana mada za oil haziishi...
Hiyo namba ya oil kwa tz sio pahala pake..... 0W20 ni kwa mataifa yenye baridi kali sana.
 
Nina Toyota IST, nataka kuweka Oil size 5W-30 itakuwa sawa?
Ina engine ipi? 2SZ-FE, 1NZ-FE, 2ZR-FE?
Kama ni hizo mbili za mwanzo, 5w30 itafaa. Kama ni 2ZR-FE, mtandao unasema oil yake ni 5w20. Ila huku sijawahi kuona oil hiyo. Naona zinaanzia 5w30.
 
Ina engine ipi? 2SZ-FE, 1NZ-FE, 2ZR-FE?
Kama ni hizo mbili za mwanzo, 5w30 itafaa. Kama ni 2ZR-FE, mtandao unasema oil yake ni 5w20. Ila huku sijawahi kuona oil hiyo. Naona zinaanzia 5w30.
Asante sana. Ni 1NZ, 1,490cc

Kuna hii ya Technical Data za fluids na Capacities nilidownload kwenye mtandao ndio nikawa naipitia

TOYOTA IST.jpg
 
Bora choo cha kike bosi unaweza ukaona hata pichu ya mrembo...


Gari yenye mileage ya km 41k bado ni bikira kabisaa....
SAE VISCOSITY ya hiyo gari ni 5w30 au 10w30....

Hiyo 20w50 ni oil nzito sana mkuu..utachosha engine soon...hiyo ni special for high mileage engines na malori..
How many mileages is high mileage?
 
Lkn pia gari zenye km/miles nyingi sana ukiweka hio light engine oil kama 5w-30 utaona baada ya muda inaanza kutoa moshi,ukija na kui flash ndipo unaimaliza kabisa maana engine iko weak tayari,so hapo ni bora kutumia heavy engine oil i.e 20w50,sae 40 n.k
How many kilometers ni high mileage?
 
Magari ya siku hizi hayatakiwi kutumia oil
Kama gari lako la petrol ni lamiaka ya hivi karibuni na lina mileage kubwa (over 150k KM) hapa ukitumia oil viscosity namba 40 si mbaya ila iwe MULT GRADE na isiwe 40kavu.......hapa unaweza kutumia 5w40,10w40,15w40 na kadhalika kulingana na dhoruba gari linazopitia
Kwa engine ya 1NZ yenye km 185k nimenunua mkononi nikaweka 20w-50 nimeshatembelea km 600, ushauri wako please.
 
Kwa engine ya 1NZ yenye km 185k nimenunua mkononi nikaweka 20w-50 nimeshatembelea km 600, ushauri wako please.
Unaua hiyo injini. Recommended engine oil y 1NZ-FE ni 5w30, au 10w30. Umeweka oil ya Fuso. 😁

Huoni kama gari ni nzito na asubuhi ukiwasha inavuma sana?
 
Kwa aliyetumia Oryx axella 20w50 kwenye hiyo xteail ya mileage ya 41k aipige chini...

Kama anabana bajeti atafute Oryx 5w30 au 10w30

Kama ana bajeti ya kati aweke Total 5w30 au 10w30

Kama ana bajeti nzuri zaidi Aweke Castrol au kampuni nyingine zinazoaminika kwa ubora 5w30au 10w30
Mkuu hii ya Castrol 5w30 Lita nne zinaenda kwa sh ngapi
 
Back
Top Bottom