moto2012
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 2,271
- 1,491
hao sita kama ni wa jf
ni mmoja tu ana id ishirini...
kazi kwako lol
Hana mpya huyo, kama mjanja amweke kwenye hold Lara1!!
Wenyeji hapa Jf tumeshajiweka sawa, hakuna kutanga tanga, Jf is home, one man ,one gaal, baas ndo mpango mzima!! Ni ishara kuwa haaminiki, na kama huaminiki basi huwezi amini wengine!!!
Afuatilie comment za Lara1 ndo atajua huenda na yeye kawekwa kwenye angle ya hold ya wadada wa kileo!!