Nami pia nimefurahi sn kuwaona baadhi ya marafiki wa siku nyingi humu ndani...namshukuru mleta mada Mbu kwa bandiko hili. Nadhani tufanye msako kama wote bado tupo hai. Sijajua ile hali ya anonimity inaendeleaje siku hizi huku JF. Lakini Kufikia leo hii kwa kiasi kikubwa mambo si kama zamani nadhani ni kutokana na teknolojia mpya zaidi kama za wazzap nk.
Yote katika yote, JF itabaki kuwa jukwaa la watu makini daima dumu.!
Siku hizi nimetulia, nakaribia KUOA!
A Mentor must have a Protege to pass that legacy to, you know the drill bro.
mume wangu no one like u and u know that! nakupenda jana, leo na kesho! tumetoka mbali Asprin wangu! luv u more bby no worries! kisses!
Done that bro! Am retired...been a long journey searching!
Hebu nikumbushe mrembo
manake tunazeeka na kusahau daily
hi! msisahau kumwalika DENA AMSI,AFRO DENZ, MICHELLE
This is a big time disqualification.
Playaz aren't supposed to forget their playeez.
Kiongozi nina bifu na wewe aisee ....Siku hizi nimetulia, nakaribia KUOA!
Cc: Mabazazi wote; KakaKiiza, Kaizer, Watu8, Vin Diesel, Kipaji Halisi, Eiyer et al et al
Bcc: Michepuko yangu yoteeeeeeeeeeeeeeee (majina kapuni)
Siku hizi nimetulia, nakaribia KUOA!
Cc: Mabazazi wote; KakaKiiza, Kaizer, Watu8, Vin Diesel, Kipaji Halisi, Eiyer et al et al
Bcc: Michepuko yangu yoteeeeeeeeeeeeeeee (majina kapuni)
Sure mkuu. Enzi hizo uzhirikiano, upendo ulikuwa maximum. Thread zilikuwa hot hot unacheka, unafurahi na unajifunza.zamani mlikuwa mnaishi kwa upendo sana humu JF,hakukuwa na matusi wala team za sikuhizi tulizonazo,watu mlitumia tafsida na mkaelewana,hakukuwa na ubaguzi wa kuchagua thread za kuchangia au kubagua mtu kama sasa hivi.
Hongereni legends.