Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,846
Nimewakumbuka tu huko mliko jamaa zangu wa miaka ile, Uwanja wa MMU umekuwa mpana sana, siku nazo zimekwenda alhamdulillah. Anyway ni salaam tu kwenu nyote; MwanajamiiOne, Dark City, nyumba kubwa, Nyamayao, The Boss, The Finest, bht, Gaga, Kaunga, Asprin, Maty, King'asti, na wengineo weeeeengi tangia miaka ile ya 2007.
Peace and love, maisha yanaendelea
Peace and love, maisha yanaendelea