PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Nami pia nimefurahi sn kuwaona baadhi ya marafiki wa siku nyingi humu ndani...namshukuru mleta mada Mbu kwa bandiko hili. Nadhani tufanye msako kama wote bado tupo hai. Sijajua ile hali ya anonimity inaendeleaje siku hizi huku JF. Lakini Kufikia leo hii kwa kiasi kikubwa mambo si kama zamani nadhani ni kutokana na teknolojia mpya zaidi kama za wazzap nk.
Yote katika yote, JF itabaki kuwa jukwaa la watu makini daima dumu.!
Yote katika yote, JF itabaki kuwa jukwaa la watu makini daima dumu.!
Last edited by a moderator: