Kila kitu kimesimama! Barabarani hakupitiki, watu hawafanyi kazi kisa kifo cha Steve Kanumba. Ninaangalia TV watu wengi wapo leaders kumzika SK! Hilo taifa ni la wajinga Kama viongozi wake! Watu wote Hawa walio leaders hawazalishi kitu! Taifa maskini na wananchi wake maskini vichwani. Lowassa nadhani hakuhangaika na Huu msiba wa kisanii
RIP Kanumba
Rt Rev Masa
Inabidi uelewe kwamba kwa wasanii wa television na sinema, kuwaangalia kila siku unajenga uhusiano nao japo hawakufahamu, na uhusiano huu unakuwa mkubwa sana kama vile ni rafiki zako wa karibu. Ndio kinachowapa hawa wasanii "celebrity status". Hivyo wanapokufa watu wengi huhisi kupoteza mtu wa karibu sana. Mifano halisi ni watu walivyohisi juu ya kifo cha Michael Jackson, Bob Marley, Whitney Huston, Bruce Lee nk. Hivyo usishangae kuona shughuli zimesimama kwa ajili ya mazishi ya Kunumba.
Asante Masanilo kwa kujitofautisha nao, niko pamoja na wewe.
Mimi naomba niulize maswali mawili tu,
1. Kwamba Amekuza Tasnia ya Filamu Tanzania, kivipi?
2. Kwamba ameitangaza Tanzania? Kivipi? Kazi gani ya Kanumba inaitangaza Tanzania Yetu? Kazi za kanumba zilikuwa zinaportray utamaduni gani wa kitanzania? au ni mafundisho gani ya msingi yanapatikana kwenye kazi zake?
3. Nani anapinga kwamba, huyu alikuwa ni mmoja wa watanzania ambao hakuwa akilipa kodi wakati alikuwa anajiingizia mapesa mengi kwa shughuli zake? Kwa hili, Rais wa nchi alistahili kuahirisha safari zake za kikazi sababu ya msiba wake?
Ombwe la hekima limetapakaa nchi nzima.
Unapatikana wapi mpwa! Unahitaji kuombewa nami ulionekana na Msanii wa bongo filamu mkiomboleza bar
Kila kitu kimesimama! Barabarani hakupitiki, watu hawafanyi kazi kisa kifo cha Steve Kanumba. Ninaangalia TV watu wengi wapo leaders kumzika SK! Hilo taifa ni la wajinga Kama viongozi wake! Watu wote Hawa walio leaders hawazalishi kitu! Taifa maskini na wananchi wake maskini vichwani. Lowassa nadhani hakuhangaika na Huu msiba wa kisanii
RIP Kanumba
Rt Rev Masa
wewe ni miongoni mwa watanzania wajinga sana..Kanumba anakusaidia nini? unaacha kwenda kufanya kazi upate kuisaidia familia yako unaenda eti kuangalia kanumba anazikwa kama sio utaahira ni nini? bora angekufa kifo cha maana..kafa kwenye uzinifu..to hell with him...kwanza natashangaa sana kama padri atakuja kuendesha misa yake..anapaswa azikwe kama bata tu aliyegongwa na bodaboda
Asante Masanilo kwa kujitofautisha nao, niko pamoja na wewe.
Mimi naomba niulize maswali mawili tu,
1. Kwamba Amekuza Tasnia ya Filamu Tanzania, kivipi?
2. Kwamba ameitangaza Tanzania? Kivipi? Kazi gani ya Kanumba inaitangaza Tanzania Yetu? Kazi za kanumba zilikuwa zinaportray utamaduni gani wa kitanzania? au ni mafundisho gani ya msingi yanapatikana kwenye kazi zake?
3. Nani anapinga kwamba, huyu alikuwa ni mmoja wa watanzania ambao hakuwa akilipa kodi wakati alikuwa anajiingizia mapesa mengi kwa shughuli zake? Kwa hili, Rais wa nchi alistahili kuahirisha safari zake za kikazi sababu ya msiba wake?
Ombwe la hekima limetapakaa nchi nzima.
Wivu wa kike huu
Wewe mutu hauko byee,waropoka kama uko kusoko,kinshansa,bujimayi mipande kote batu banaomboleza,uko na mawivu..sio muzuri.
Kwa maana Imeandikwa WAACHENI WAFU WAWAZIKE WAFU WAO!!ukifa wewe tutakuacha ujizike tutakuwa busy na kazi
Mkuu, "Viva Riva" utalinganisha na movie gani ya marehemu?
Au ndio nabii hakubaliki kwao?