Nimesikitishwa na Watanzania!

Kweli SK! alikua ni msanii endapo utayazingatia haya, kwanza alikua ni mharibifu wa watoto wetu ona anatoka na under 18!! sio issue kioo cha jamii anakesha kama popo mtoko unaanza saa 6 usiku mnene jamani huu ndio U-superstar wa BONGO!???????
 
Kila kitu kimesimama! Barabarani hakupitiki, watu hawafanyi kazi kisa kifo cha Steve Kanumba. Ninaangalia TV watu wengi wapo leaders kumzika SK! Hilo taifa ni la wajinga Kama viongozi wake! Watu wote Hawa walio leaders hawazalishi kitu! Taifa maskini na wananchi wake maskini vichwani. Lowassa nadhani hakuhangaika na Huu msiba wa kisanii

RIP Kanumba

Rt Rev Masa

Kwa mtindo huu hatuwezi kuendelea tutabaki kuwa watazamaji tu
 
Inabidi uelewe kwamba kwa wasanii wa television na sinema, kuwaangalia kila siku unajenga uhusiano nao japo hawakufahamu, na uhusiano huu unakuwa mkubwa sana kama vile ni rafiki zako wa karibu. Ndio kinachowapa hawa wasanii "celebrity status". Hivyo wanapokufa watu wengi huhisi kupoteza mtu wa karibu sana. Mifano halisi ni watu walivyohisi juu ya kifo cha Michael Jackson, Bob Marley, Whitney Huston, Bruce Lee nk. Hivyo usishangae kuona shughuli zimesimama kwa ajili ya mazishi ya Kunumba.

Usipende kulazimisha vitu bila kujua ukweli. Michael Jackson amekufa wengi waliokwenda kumzika ni ndugu, marafiki, jamaa zake pamoja na mashabiki waliokuwa hawana la kufanya Ile siku. Yes, tunawapenda ma celebrities lakini kusimamisha vitu mjini for mtu ambaye achangii chochote katika pato la taifa kweli hapa kuna tatizo na hii nchi na ndiyo maana viongozi wanatutafuna tu kwa ujinga tulionao.
 
Asante Masanilo kwa kujitofautisha nao, niko pamoja na wewe.
Mimi naomba niulize maswali mawili tu,
1. Kwamba Amekuza Tasnia ya Filamu Tanzania, kivipi?
2. Kwamba ameitangaza Tanzania? Kivipi? Kazi gani ya Kanumba inaitangaza Tanzania Yetu? Kazi za kanumba zilikuwa zinaportray utamaduni gani wa kitanzania? au ni mafundisho gani ya msingi yanapatikana kwenye kazi zake?
3. Nani anapinga kwamba, huyu alikuwa ni mmoja wa watanzania ambao hakuwa akilipa kodi wakati alikuwa anajiingizia mapesa mengi kwa shughuli zake? Kwa hili, Rais wa nchi alistahili kuahirisha safari zake za kikazi sababu ya msiba wake?

Ombwe la hekima limetapakaa nchi nzima.


This is why I love JF for intelligence. People come here from all walks of life ila wajinga ndiyo wanachukia JF for they can't express themselves na kuona points za ukweli. Haya uliyoyasema ni ya ukweli na ungeyazungumza mtaani/kijiweni watz wangekuua bcs hawapendi kuambiwa ukweli. We fikiria mpaka rais anahairisha safari zake za kusaidia taifa for mtu asiyesaidia nchi (halipi kodi)., si upuuzi huu?
 
Wee ulijuwaje kama hukujishughulisha nae? Mi nafikiri kuzomewa ni aibu Kumbe kwako ni sifa ama kweli akili ni nywele zako kipili pili
 
Hata mke wangu kanisikitisha sana, eti na yeye alizimia aliposikia Kanumba is no longer alive!! Yani sijatamka neno lolote kwake toka Jumanne, sijui nimwambieje!
 
Mchungaji uliretire lini tena kimya kimya mtumishi....kondoo wako wanalitambua hili lakini.

back to topic, kweli hii umsiba ulipewa kipaumbele mno, kuna viongozi wengi tuu na watu maarafu waliwahi kutangulia mblele za haki lakini haikuwa hivi. Naunga mkono hoja

Kila kitu kimesimama! Barabarani hakupitiki, watu hawafanyi kazi kisa kifo cha Steve Kanumba. Ninaangalia TV watu wengi wapo leaders kumzika SK! Hilo taifa ni la wajinga Kama viongozi wake! Watu wote Hawa walio leaders hawazalishi kitu! Taifa maskini na wananchi wake maskini vichwani. Lowassa nadhani hakuhangaika na Huu msiba wa kisanii

RIP Kanumba

Rt Rev Masa
 
wewe ni miongoni mwa watanzania wajinga sana..Kanumba anakusaidia nini? unaacha kwenda kufanya kazi upate kuisaidia familia yako unaenda eti kuangalia kanumba anazikwa kama sio utaahira ni nini? bora angekufa kifo cha maana..kafa kwenye uzinifu..to hell with him...kwanza natashangaa sana kama padri atakuja kuendesha misa yake..anapaswa azikwe kama bata tu aliyegongwa na bodaboda

Duh, mkuu punguza jazba asee..!
 
Asante Masanilo kwa kujitofautisha nao, niko pamoja na wewe.
Mimi naomba niulize maswali mawili tu,
1. Kwamba Amekuza Tasnia ya Filamu Tanzania, kivipi?
2. Kwamba ameitangaza Tanzania? Kivipi? Kazi gani ya Kanumba inaitangaza Tanzania Yetu? Kazi za kanumba zilikuwa zinaportray utamaduni gani wa kitanzania? au ni mafundisho gani ya msingi yanapatikana kwenye kazi zake?
3. Nani anapinga kwamba, huyu alikuwa ni mmoja wa watanzania ambao hakuwa akilipa kodi wakati alikuwa anajiingizia mapesa mengi kwa shughuli zake? Kwa hili, Rais wa nchi alistahili kuahirisha safari zake za kikazi sababu ya msiba wake?

Ombwe la hekima limetapakaa nchi nzima.

Point!
Haya maswali hupati majibu hata ukimuuliza Ruge mwenyewe,
watabaki wanabwabwaja na kutaka kupata huruma zisizo na msingi....
Mkuki wa mwisho waulize "Steps" wameuza nakala ngapi kipindi za msiba, na kodi ni kiasi gani??
 
Watanzania watu wa starehe na sherehe,
wanasahau matatizo na shida zao kwa matukio ya kupita,
wanapumbazwa na kushiba kwa harufu za viungo ama chakula cha kuonjeshwa!!!
Akili za Watanzania!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
R.I.P SK
 
ukifa wewe tutakuacha ujizike tutakuwa busy na kazi
Kwa maana Imeandikwa WAACHENI WAFU WAWAZIKE WAFU WAO!!
Je misiba mingapi inastahili kuendewa kwa jinsi ile? Je haitazamwi kama ni Sanaa ya Maigizo basi Mzee Kipara angelizikwaje? Je kuna siri gani kwa msiba huu? Ni kweli ameijenga na kuitangaza Tanzania? Je kuna mafundisho katika filamu zake? Ukweli ni kwamba sijaona bali zilikuwa ni filamu za burudani zaidi na hili halina ubishi kwa maana ndipo akili za WATANZANIA zilipolalia!!!!
Nguvu kazi kiasi gani itapotea kwa ajili ya misiba,
na tujiulize basi ule wa IGP HM na Mkuu wa Majeshi MK ingelikuwa hivyo nini kingekuwa?
Tunapaswa KUBADILIKA,
Tucheze na kuimba nyimbo zinazojulikana,
ILA NASI KWA MAFUNUNU NA VIONJO VYAKE DAH!! TUMEBAKIZA KUWEKA BARAZA ZA KUSUTANA TU,
NDIO MAANA SISHANGAI KUWA TANZANIA HAKUNA MAGAZETI YA HABARI NA TAALUMA BALI YA UDAKU, BURUDANI, MIPASHO NA MICHEZO TU!!
 
Mkuu, "Viva Riva" utalinganisha na movie gani ya marehemu?
Au ndio nabii hakubaliki kwao?

Sijawahi ona movie yeyote ya kibongo kwenye Internet Movie database, ila hii nimeikuta. Bila shaka Viva Riva zaidi.
Ngoja niitafute niangalie...!
 
Back
Top Bottom