Kila kitu kimesimama! Barabarani hakupitiki, watu hawafanyi kazi kisa kifo cha Steve Kanumba. Ninaangalia TV watu wengi wapo leaders kumzika SK! Hilo taifa ni la wajinga Kama viongozi wake! Watu wote Hawa walio leaders hawazalishi kitu! Taifa maskini na wananchi wake maskini vichwani. Lowassa nadhani hakuhangaika na Huu msiba wa kisanii
RIP Kanumba
Rt Rev Masa
Lakini na wewe uko pamoja nao mkuu. Japo hujaenda ila upo umekaa unaangalia TV. Hufanyi kazi!!! Hata hivyo mkuu ukiwaangalia wengi wao ni kina mama na vijana wasiokuwa na ajira. Wamepata pa kupotezea siku. Wengine ni vibaka wako kazini. Wengine ni wanasiasa wanataka umaarufu. Wengine ni wasanii wanafanya usanii!!!