Nimesikitishwa na Watanzania!

Edward Lowassa hahangaiki kwa sababu yeye ni msani wa cheti.
Usomi na Ujanja wote wa Edward Lowassa ni Digirii ya Tamthilia ya UDSM ambayo ameitumia kikamilifu katika usanii wa Kampuni ya Kitapeli ya kufua uememe ya Richmond. Alisha cheza sana michezo ya kuigiza ikamshinda kwa hiyo kitendo cha dogo Marehemu Kanumba kuibuka na kuwa Celebrity katika fani ambayo yeye ana digirii kabisa ni jambo linalo muuma maini sana.

Ni haki yao watu wa kawaida kuomboleza msiba wa mtu waliyempenda katika uhai wake.
Lakini ni aibu ya kitaifa kwa viongozi wote kuacha shughuli zao na kwenda msibani wakati Madaktari walipogoma na kusababisha vifo vya waTanzania wengi wao walikuwa wakiendelea na Uzandiki wao kana kwamba hakuna kinachoendelea.

Viongozi wameonyesha Uhabithi na Umamruki mkubwa aidha uzandiki kwa kujazana katika msiba mmoja huku wakitoa machozi ya mamba. Tuna viongozi fuata upepo ambao heshima yao iategemea uelekeo wa upepo.
Kibaya zaidi wamekuwa misukule wanafuata hata upepo wa FENI tabia hii mbaya ya kufuata upepo wa FENi anayo MH Jakaya Mrisho Kikwete.

Kila kitu kimesimama! Barabarani hakupitiki, watu hawafanyi kazi kisa kifo cha Steve Kanumba. Ninaangalia TV watu wengi wapo leaders kumzika SK! Hilo taifa ni la wajinga Kama viongozi wake! Watu wote Hawa walio leaders hawazalishi kitu! Taifa maskini na wananchi wake maskini vichwani. Lowassa nadhani hakuhangaika na Huu msiba wa kisanii

RIP Kanumba

Rt Rev Masa
 
kwani Diana alikuwa na nini spesho zaidi kuwa celeb kama Kanumba?acha kushobokea ngozi nyeupe,unajichoresha kichizi.

Angalau mlinganishe Princes Diana na kina mama Maria Nyerere, kumlinganisha na Kanumba ni ukosefu wa adabu. Hapa si swala la ngozi, jifunze kusoma katikati ya mistari.
 
Angalia productivity iliyopotea leo na kero barabarani kwa mfu!!! Something is missing kwetu watz
Hebu tazama watu walivyo na machungu ya kukaaa bure
Bank holidays cost Brits £18billion in lost revenue, experts say | The Sun |News
tena tunashukuru huu ***** haujatokea enzi za Mzee Ruksa kazi zingeanza jumatano.
sasa ntakwepa kulipa kodi mpaka nifikie kiasi cha pesa iliyochezewa na serikali yetu mbovu juu ya swala hili, kila nikifiria mchango walioupata watanzania wenzangu waliopata kwenye boti iliyozama Zanzibar nahisi kum
Litvinenko
****** na majangili wenzake.
 
Kila kitu kimesimama! Barabarani hakupitiki, watu hawafanyi kazi kisa kifo cha Steve Kanumba. Ninaangalia TV watu wengi wapo leaders kumzika SK! Hilo taifa ni la wajinga Kama viongozi wake! Watu wote Hawa walio leaders hawazalishi kitu! Taifa maskini na wananchi wake maskini vichwani. Lowassa nadhani hakuhangaika na Huu msiba wa kisanii

RIP Kanumba

Rt Rev Masa
ukumbuke na weye umo.
 
Unaweza kunisaidia kidogo even if my dead body itazikwa na bara zima la Afrika kuna nafuu yoyote mbele za Mungu juu ya dhambi zangu?
Umefikia uwezo wako wa mwisho kufikiri, huna dila wala mwelekeo ufalme wa mbinguni hauingiliki kwa idadi ya watakao kulilia wala watakaohudhulia msiba wako, bali matendo yako tu. kaeni endeleeni kudanganyana na endeleeni na uzinzi if u think it will help you.

ufalme wa mungu ni haga haga mkuu. hayo mengine hayapo.
 
Huu ni wivu au ni nini? Hii naifananisha na ile 'peoples power' huwezi kuzuia watu kumzika huyu star.na ukumbuke kuwa hakuna wito uliotolewa kwamba 'wananchi mfike kwa wingi' kama tunavyosikiaga kwenye matukio mengine.Kwa taarifa tu kama mnaona watanzania wamekosea kupoteza muda wao kwenda kumzika huyu star, hizo nchi unazozishabikia zimeendelea kwao akifa star sio tu wanapoteza muda kwenda kumzika pia wanalipa na fedha nyingi ili kuruhusiwa kuhudhuria msiba. Ukumbuke pia jana bunge lilianza vikao vyake dodoma inawezekana wengi hawajui hilo! bunge limemezwa na kanumba! Huyu mtu ki ukweli alikuwa shujaa.
 
Wewe ndio una matatizoa ya AKILI, Masanilo kasema ukweli, ni kweli watu wengi wamepoteza muda mwingi bila sababu ya maana, sawa alikuwa muhimu lakini c kiasi hicho. Watu wote wamepoteza nguvu kazi, lakini c kulaumu sana nami pia nilipoteza kazi bila kuwa na sababu ya msingi, hivyo kitaifa shughuli nyingi zimelala, hii inaonyesha jinsi watanzania tulivyokosa kazi kwa kiasi gani, wengi wao waliofika ata sura zao unazichambua kirahisi, wengi wanawake. Wanawake walifika kwa wingi, wengi ni wale wanoomba kila siku kuwa wasanii, ili watimize adhima yao ya kutafuta mabwana kwa kupitia luninga iliwawe kama W.Sepetu, Lilu, Aunt, nank. Wengi wao ni vijana masharobaro wavaa heleni na milegezo, hii ni sehemu kuonyesha kwamba watu wengi wamekata tamaa, hivyo wanataka wapate pa kwenda ili wajifariji. Wengi washamaliza kupika vitumbua na chapati ambayo ni ajaira kuu kwa vijana na wasichana walioshindwa kukaa kwenye ndo zao.

Nafikiri una matatizo ya akili. Hivi unataka kuniambia haujawahi kufiwa. Sisi ni watanzania na jadi yetu ni upendo. Mchango aliotoa Kanumba kwenye jamii ya Tanzania nina imani wewe itakuchukua muda kuufikia. Penye matatizo ushabiki wa kitu chochote unakaa pembeni. Kanumba kafa tunaomboleza. Elewa hivyo
 
mnajua msituchanganye na nyie kama nyie hamkuona la mhim kwa waliohudhuria msiban TV mliyokuwa mnaangalia kufatilia tukio hilo mnatofautiana vp na waliokwenda achen ubsho wa kjfanya wadadc huku nanyie mashabik wa udaku amken bwana...nyie ndio mabingwa wa habar hazwapit inakera ww kama hujaguswa iweje hisia zako upandikize kwa wengine. Kama mpaka leo Mw Nyerere tunamwenz na alkwenda na wa2 weng cku ya kuuaga mwil na hii ilkuwa kwa sababu ya mchango wake na upendo wa watu,kwann wacfanye hvyo kwa huyu na hebu jarbun kutathmin tangu enz za Mwl. Tukio gan la namnahih wa2 wammnika namna hii achen wivu.
 
Subiri na wewe siku utakufa au kufiwa watu wakazalishe mali badala ya kukuombolezea au kuomboleza na wewe.Kanumba alikuwa mtu wa watu akiburudisha nyoyo zao hata katika shida na taabu za Watanzania. kutizama Movie zake unapunguza mawazo. Leo ndio siku yake ya mwisho duniani na haikuwa vibaya watanzania kuacha shughuli zao na kuja kumuaga. Ni kawaida yetu kuonyesha upendo kwa kwa kitu tunachokipenda. watu wengine mnajifanya mko serious sana na maisha wakati kuna siku haya maisha utayaacha.

Hata akizikwa na mtu mmoja hakuna kitakachobadilika. Wingi wa watu haurudishi uhai wala haumfaidishi marehemu. . . .
 
Kuna mwingine aliamua akajifungulie barabarani kuliko kukosa kwenda. Huyu nadhani ni zaidi ya ujinga.
Namuonea huruma mtu yeyote anayetaka kuwa Rais wa nchi hii kwa dhati ya moyo wake ili kumrithi Kikwete maana anakabiliwa kuongoza Taifa lililojaa wajinga kuliko watu wenye akili timamu.
 
Mimi nilidhani kuwa hii sehemu ni kwa great thinker sikujua kama ni sehemu ya bwabwaja bila kufikiria out of the box. Mimi naona inabidi kabla ya kujiunga naomba tuwekee kama ka text for great thinker so tusikutane na vitu kama hivi. Kweli wewe ni economist, so unaona kuwa watz wameloose or ni masikini tu kwasababu ya kilio cha kanumba, mbona hujaangalia sikukuu zilipo tz kwa mwaka na uanzia hapo. Na kama ni mtu wa kuangalia kwa upeo nafaa, kazi ya kanumba has to do with economic developmet. Tatizo la watz wanapenda sana kudharua vipaji vya watz wenzao lakini watathamini vya watu wa nchini hasa za wazungu. Yaani wewe nikikujua hata unionge millioni siwezi kukuchagua kuwa kiongozi wangu maana huna tofauti na waliopita. Badala ya kusupoort hii sector perhaps itawapa kazi vijana wadogo na kuepukana na kujihusisha na mambo mabaya kama kuwa vibake au wezi ndio mnasaga. Kweli jamani hii ni uturn blog or what? Kwanini husiangalia kuwa du kumbe watz wanapenda hii sector ya filamu perhaps government might boost it after seeing how many tz were moved by this actor and this mighty lead to creation of jobs for young people?Mfano US, state inatoa exemption kwenye mambo ya film making kwasababu wanajua kuwa their people will get job that will bost state economy. Please think otu of the box we are in the modern world now please! Yaani ningeeandaki mengi tu.
 
kwani Diana alikuwa na nini spesho zaidi kuwa celeb kama Kanumba?acha kushobokea ngozi nyeupe,unajichoresha kichizi.

Huduma kwa wagonjwa hasa wa ukimwi! Kumgusa mgonjwa wa ukimwi kipindi kile ilitaka moyo sana. Kuchunga mbuzi tu kwa kanumba ilikuwa kama kubeba msalaba wa Yesu.
 
Mimi nilidhani kuwa hii sehemu ni kwa great thinker sikujua kama ni sehemu ya bwabwaja bila kufikiria out of the box. Mimi naona inabidi kabla ya kujiunga naomba tuwekee kama ka text for great thinker so tusikutane na vitu kama hivi. Kweli wewe ni economist, so unaona kuwa watz wameloose or ni masikini tu kwasababu ya kilio cha kanumba, mbona hujaangalia sikukuu zilipo tz kwa mwaka na uanzia hapo. Na kama ni mtu wa kuangalia kwa upeo nafaa, kazi ya kanumba has to do with economic developmet. Tatizo la watz wanapenda sana kudharua vipaji vya watz wenzao lakini watathamini vya watu wa nchini hasa za wazungu. Yaani wewe nikikujua hata unionge millioni siwezi kukuchagua kuwa kiongozi wangu maana huna tofauti na waliopita. Badala ya kusupoort hii sector perhaps itawapa kazi vijana wadogo na kuepukana na kujihusisha na mambo mabaya kama kuwa vibake au wezi ndio mnasaga. Kweli jamani hii ni uturn blog or what? Kwanini husiangalia kuwa du kumbe watz wanapenda hii sector ya filamu perhaps government might boost it after seeing how many tz were moved by this actor and this mighty lead to creation of jobs for young people?Mfano US, state inatoa exemption kwenye mambo ya film making kwasababu wanajua kuwa their people will get job that will bost state economy. Please think otu of the box we are in the modern world now please! Yaani ningeeandaki mengi tu.
Wewe ni 0.00032 of 1 great thinker!
 
Mna chuki za kijinga sana. Well, hicho ndo kinachotokea anapokufa star aliyekua akipendwa na watu. Mzinifu ama si mzinifu, wewe si mwenyezi Mungu wa kuhukumu. Kaa peke yako ujiulize tena kama wewe hujawahi kutenda dhambi ndipo uhukumu wengine.

Watu waliganda kwenye tv kuangalia mazishi ya Michael Jackson lakini kwa kuwa hatupendi vya kwetu tunaponda kila kitu.

Ungekuwa na akili nzuri unge'argue kuhusu watu kutokuwa na ajira kwa kuwa si rahisi aliyeajiriwa kuacha ofisi..
 
Unaweza kunifafanulia hapa how!!??......mimi ni shabiki wa Wacko Jacko na nilifanikiwa kuhudhuria live show yake moja ila hapa kwenye kuzikwa kutoka pande zote duniani nimeshindwa kukusoma!!
hata hao walioenda kumzika kanumba ni mashabiki wa muvi zake nadhani hata wewe ungepata nafasi ya kwenda kumuaga michael Jackson ungeenda mana km uliweza kupoteza mda na pesa kwenda kwenye show yake hata kumuaga ungependa kwenda! Lakini kuna wengine wangekuona wewe ni mjinga huna kazi unapoteza mda wako.
 
To agree to disagree is it Prohibited?.... Unapouliza kumuonea wivu Marehemu yaani unamaanisha tulipenda tufe sisi? kwahiyo hatujalizika tunataka afufuke ili na sisi tuzikwe na kundi la wazururaji?
haswaaaa! Umejibu vizuri ila si kundi la wazururaji ni kundi la wapenzi wake
 
hata hao walioenda kumzika kanumba ni mashabiki wa muvi zake nadhani hata wewe ungepata nafasi ya kwenda kumuaga michael Jackson ungeenda mana km uliweza kupoteza mda na pesa kwenda kwenye show yake hata kumuaga ungependa kwenda! Lakini kuna wengine wangekuona wewe ni mjinga huna kazi unapoteza mda wako.
Something wrong kwenye mfumo wako wa ufahamu tangu kifo cha Kanumba, naona nikuache na kile unachoamini.......labda niongee na wewe kwa Lugh nyepese ndio utaelewa somo.

Ni kwa nini mashabiki wa Simba na Yanga wanashindwa kusafiri na timu zao kwenye mechi za kimataifa? na ni kwa nini ligi ya mabingwa Ulaya ukiona mashabiki na hamasa uwanjani huwa ni vigumu kujuwa nani yuko ugenini?
Kwa kifupi nakuuliza kwa nini mashabiki wa soka ulaya wanasafiri nchi yeyote kwenda kushangilia timu yao, lakini sisi hata timu ya Taifa iende kucheza Kenya hatuna uwezo wa kwenda kuishangilia?
 
When a person dies ndio ndio mnaonyesha solidarity huo niunafiki nauzandiki....hata hajui kua u were there shujaa ni wazazi wako na watu waliokulea ukafikia hapo....stop being cynical jililie ww ambae hunambele wala nyuma kazi kujaza barabara jioni hujui watoto watakula nn......halafu ukifananishwa na nyani unasema ubaguzi....mawazo yaliowengi nikama nyani ..never thnk beyond their nose poleni sana polenchi yangu
 
Back
Top Bottom