Nimesikitishwa na Watanzania!

Mi niko hapa napigwa na butwaa tu.

Kuna mzembe mmoja kafiwa na anko wake Moro hapo kakacha kwenda kumzika eti ili akamzike Kanumba.

Ngoja nijinywee bia zangu mie. Ntaenda wapu wakati nlipotaka kwenda barabara haipitiki kisa mzinzi mwenzangu anazikwa?

RIP mfanya ngono mwenzangu.

Ha ha ha hah natafuta Jack Daniels nifanye maombolezo
 
mimi nilichogundua ni kwamba clouds media are very powerful sana tena sana katika vyombo vya habari hapa nchini.
Uzito wa msiba huu umeletwa na clouds kuupa uzito wa aina yake na kweli wamefanikiwa.
My take ni kwamba ingekuwa wanafanya juhudi kama hizi kuhamasisha mambo ya maendeleo pia ingekuwa na maana zaidi.
RIP kanumba
 
Huu msiba usiposikia kwenye kamati ya mazishi kuna mtu ameamuwa kuzika na pesa basi nitashangaa sana, eti kamati ya Mazishi kuna tapeli mmoja anaitwa Steve Nyerere naye yumo!!
Sitoshangaa nikisia hata Mtitu amenunuwa gari mpya baada ya msiba huu, mapato na matumizi kamwe hayatokuwa wazi kwa public na zile million 10 za JK zitaliwa nzima nzima.
 
Wabongo bana kazi kulalama tu, Rev Masa anawasema wenzake walioenda wakati yeye kapiga kambi hapa JF kujibu post! Khaaaa! bado tunasafari ndefu
 
Hebu imajin:
Ijumaa watu hawakwenda job, kisa: Yesu.
Jumamosi pia hawakwenda, source: Karume
Jumapili kama kawaida mapumziko
Jumatatu no job, source: Yesu
Jumanne tena holaa, Source: Kanumba.

Afu tunalalamika nchi masikini, hali ngumu ya maisha......

Tufanyeni kazi wandugu. Kanumba is gone!

Ngoja kwanza niongeze Tusker Malt nipate akili.
 
Wabongo bana kazi kulalama tu, Rev Masa anawasema wenzake walioenda wakati yeye kapiga kambi hapa JF kujibu post! Khaaaa! bado tunasafari ndefu
Wewe acha kuwa Kilaza kuna watu wengi tu wanatengeneza pesa online, wewe kama mpaka leo Internet kwako ni kwa ajili ya Facebook na JF tu, pole sana bado upo kiza kinene open Ur eyes!!
Do you know anything about Freelancers?
 
Hebu imajin:
Ijumaa watu hawakwenda job, kisa: Yesu.
Jumamosi pia hawakwenda, source: Karume
Jumapili kama kawaida mapumziko
Jumatatu no job, source: Yesu
Jumanne tena holaa, Source: Kanumba.

Afu tunalalamika nchi masikini, hali ngumu ya maisha......

Tufanyeni kazi wandugu. Kanumba is gone!

Ngoja kwanza niongeze Tusker Malt nipate akili.
Karume, Nyerere pia wamekwenda mbona wamsema Kanumba tu? mwache bana apate heshima yake?
 
Wewe acha kuwa Kilaza kuna watu wengi tu wanatengeneza pesa online, wewe kama mpaka leo Internet kwako ni kwa ajili ya Facebook na JF tu, pole sana bado upo kiza kinene open Ur eyes!!
Do you know anything about Freelancers?
Pumba nyingine hii hata kufikiri hufikiri unachokiongea! mbona na mimi natengeneza pesa hapa msibani kama ishu ni pesa?
 
Yaani hata mimi nimesikitika sana. Tatizo watanzania tunaendeshwa na emotions sana. Kama walitaka azikwe na watu wengi c wangeuhifadhi mwili mpaka weekend?
 
Pumba nyingine hii hata kufikiri hufikiri unachokiongea! mbona na mimi natengeneza pesa hapa msibani kama ishu ni pesa?

Kweli nakuaminia kwa jinsi ulivyo mtaalamu wa kupiga ndole kuchomoa noti na simu mifukoni bila shaka jioni ya leo mahesabu yatakuwa babu kubwa,nikitoka kazini nakusubiria hapa Calabash uje uchafue meza,nitakuwa na washikaji wengine kama watano kwa hiyo make sure inazidi kiwango hiyo hesabu!
 
wewe unayako kuandika upuuzi

ukizwika wewe i guess watu wawili tu na wasamalia wa mochuari ndio watabeba maiti yako

acha wivu.

jana sikukuu mbona hukulalamka watu hawafanyi kazi?
 
Hizi jadi ndio tunatakiwa tuondokane nazo. Mambo ya kulala na kushinda misibani! we simply can not afford that!
Watanzania tunashangaza sana, yaani mtu akisikia tu taarifa ya msiba, huyo kashawahi msibani, watu mpaka mnawanyima privacy ndugu wakaribu kuomboleza.

Mi nafikiri, kama marehemu hakuwa ndugu au rafiki wa karibu, haina haja kushinda na kulala msibani, you can simply go there kutoa mkono wa pole alafu ukaendelea na shughuli zako, na pia unaweza tu kuhudhuria mazishi.

jinsi siku zinavyoenda, master wanazidi kuongezeka, na ndio ivyo misiba ya mastar itakuwa mingi. Kwa mtindo huu wa all top govt officials kuhudhuria misiba, rais atajikuta kwa mwezi anahudhuria misiba 4 ( je kweli watanzania tunaweza kuafford this?), is it really necessary? hebu tujiulize. Kwani Rais si anaweza kutoa press conference na kumtuma muwakilishi kutoa mkono wa pole na ikatosha?

Ebu nielimisheni labda mimi ndio nakosea hapa.
 
Kamati ya Mazishi hovyo sana! SK angepumzishwa Jmosi siku ambayo si ya kazi!
 
msiba1.jpg


Rais Kikwete akiongea na wanakamati ya msiba wa marehemu.


Jamaa ametulia kama mtungi wa maji,katikati ya wasanii wenzie kana vile nchi haina matatizo!!
 
Asante Masanilo kwa kujitofautisha nao, niko pamoja na wewe.
Mimi naomba niulize maswali mawili tu,
1. Kwamba Amekuza Tasnia ya Filamu Tanzania, kivipi?
2. Kwamba ameitangaza Tanzania? Kivipi? Kazi gani ya Kanumba inaitangaza Tanzania Yetu? Kazi za kanumba zilikuwa zinaportray utamaduni gani wa kitanzania? au ni mafundisho gani ya msingi yanapatikana kwenye kazi zake?
3. Nani anapinga kwamba, huyu alikuwa ni mmoja wa watanzania ambao hakuwa akilipa kodi wakati alikuwa anajiingizia mapesa mengi kwa shughuli zake? Kwa hili, Rais wa nchi alistahili kuahirisha safari zake za kikazi sababu ya msiba wake?

Ombwe la hekima limetapakaa nchi nzima.

Amesaidia kudumaza bongo za kina mama na watoto,pamoja na masharobaro.
 
Huu ndo utamaduni wetu na lazima tuufuate. Na suala la padri, yeye haruhusiwi kuhukumu. At last acha wivu wa kitoto.
 
They are powerful in what aspects??

Serikali yako mbumbumbu ndiyo imekuza suala hili, ikisaidiana na propaganda machines zake kama TBC, Clouds & Co..

Na wajinga wengi wameingia kichwakichwa itadhani kule Loliondo.

Kama wasanii hawatatumia msiba huu kujifunza na kuungana ili wawekewe mazingira mazuri mazuri ya kazi zao basi na wao wataendelea kuwa kama wajinga wengine na serikali itatambua nguvu walizonazo wakati wa misiba!!

RIP S. C. Kanumba.
mimi nilichogundua ni kwamba clouds media are very powerful sana tena sana katika vyombo vya habari hapa nchini.
Uzito wa msiba huu umeletwa na clouds kuupa uzito wa aina yake na kweli wamefanikiwa.
My take ni kwamba ingekuwa wanafanya juhudi kama hizi kuhamasisha mambo ya maendeleo pia ingekuwa na maana zaidi.
RIP kanumba
 
wewe unayako kuandika upuuzi

ukizwika wewe i guess watu wawili tu na wasamalia wa mochuari ndio watabeba maiti yako

acha wivu.

jana sikukuu mbona hukulalamka watu hawafanyi kazi?

Yaani ni bora ungekaa kimya umejidhihirisha jinsi ulivyo mbumbumbu.
 
Kweli nakuaminia kwa jinsi ulivyo mtaalamu wa kupiga ndole kuchomoa noti na simu mifukoni bila shaka jioni ya leo mahesabu yatakuwa babu kubwa,nikitoka kazini nakusubiria hapa Calabash uje uchafue meza,nitakuwa na washikaji wengine kama watano kwa hiyo make sure inazidi kiwango hiyo hesabu!

Ishu si kupata mshiko? si ndo alichokua anaongelea huyo jamaa?
 
Back
Top Bottom