Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
Nafikiri una matatizo ya akili. Hivi unataka kuniambia haujawahi kufiwa. Sisi ni watanzania na jadi yetu ni upendo. Mchango aliotoa Kanumba kwenye jamii ya Tanzania nina imani wewe itakuchukua muda kuufikia. Penye matatizo ushabiki wa kitu chochote unakaa pembeni. Kanumba kafa tunaomboleza. Elewa hivyo
Let's be realistic here! Watz tunapenda ku-overstate mambo! Na kama Reverend Masa alivyosema, MAMBO YA MAENDELEO hayapewi umuhimu kama misiba na sherehe (au Usimba na Uyanga). Ita watu uwaombe wakuchangie ukasome uone kitakachokutokea!
Guys, nchi yetu si maarufu duniani kama tunavyoaminishwa, marehemu Kanumba mchango wake ni mostly 99.9% local! Najua kuna elements za foreign recognition, lakini sidhani ina-justify ku-discredit maoni ya Rev Masa.