Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
- Thread starter
- #21
Hongera ndugu.....sasa inabidi usijifiche,umekuwa mtu-umma(public figure)...wenzio Mnyika,Zitto,Dr Slaa wanatumia true IDs...kwa hiyo come out na useme jimbo TUSAIDIANE kulichukua
Nashukuru sana kwa wazo zuri lakini kwa sasa itwakuwa ngumu.Dr Slaa,Zitto na Mnyika wanatumia majina yao kwa kuwa tayari mnawafahamu.Mimi ni kapuku tu,nitakuja na jina langu huko mbele ya safari lakini pia GS itaendelea kama kawa..