Huna lolote! hilo ndo naweza kusema kwa sasa.Mimi huwa sina tabia ya ku support kitu kwa groupthink, naamua mwenyewe, na nishasema kwa mujibu wa maoni yangu huyu dada hana uwezo. Sasa kwa nini ni support mtu ambaye naona clearly hana uwezo?
Sio tu hana uwezo, huyu hata potential ya kuja kupata uwezo hana.Kila siku ni gaffe after gaffe, dharau kwa watu wanaomsaidia, ujivuni, wishful thinking zisizo strategy ete. Kwa nini ni support mtu kama huyu?
Kwangu hii ni usaliti kwa kanuni za kutaka uongozi bora Tanzania. Sio kosa langu kwamba CHADEMA wamemchagua mgombea dhaifu Kilombero.
nyie ndio wenye roho za kwanini na hamtaendelea kamwe, wakati wenzako wakitafuta maendeleo kwa njia mbalimbali wewe unakuwa na roho ya korosho, toa kinyongo kama wewe ni kijana jitose popote hata kwenye gamba la kijani nenda sio kukatisha tamaa wenzako nitakuweka kwenye kundi la kina malaria sugu wanaopinga kila kitu, shame on you.
Mtanganyika, nina hakika mdogo wetu Regia ana uwezo wa kujibu haya maswali na kwa ufanisi mkubwa kabisa. Lakini kwa kuwa unasema kipenga cha kampeni kimeshalia, si ungempa nafasi autumie muda huu mfupi alionao kufikisha ujumbe kwa wana Kilombero badala ya humu JF ? Mimi nachukua nafasi hii kumtakia kila la heri Mbunge mtarajiwa Regia katika safari yake ya kuelekea mjengoni, Dodoma. Go Regia, Go !
Huu mtindo ndio uliletwa na team ya Sen. McCain wakati watu wanataka kumuliza maswali Sarah Palin. Walimficha ficha walipo muachia akanguka kwenye mikono ya Katie Couric na ilikuwa aibu.
Hawa watu ndio wanakwenda kureview policy za nchi, wanakwenda kutengeza muhimili wa kutaza serikali kuu, hawa ni watu ambao wanakwenda kuandika na kufanya marekebisho ya kikatiba, hawa ni watu watakao kwenda kuhakikisha pesa za walipa kodi zimetumika kihalali.
NIAIBU tena AIBU kubwa kwa baadhi ya WANAJF kutetea vitu ambavyo havimake sense. Kama mnataka mtu asijibu maswali basi nendeni mkanywe chai nae uko.
Huu mtindo ndio uliletwa na team ya Sen. McCain wakati watu wanataka kumuliza maswali Sarah Palin. Walimficha ficha walipo muachia akanguka kwenye mikono ya Katie Couric na ilikuwa aibu.
Hawa watu ndio wanakwenda kureview policy za nchi, wanakwenda kutengeza muhimili wa kutazama serikali kuu, hawa ni watu ambao wanakwenda kuandika na kufanya marekebisho ya kikatiba, hawa ni watu watakao kwenda kuhakikisha pesa za walipa kodi zimetumika kihalali.
NIAIBU tena AIBU kubwa kwa baadhi ya WANAJF kutetea vitu ambavyo havimake sense. Kama mnataka mtu asijibu maswali basi nendeni mkanywe naye chai huko.
Huna lolote! hilo ndo naweza kusema kwa sasa.
Hii inamfanya Regia aonekane mtupu zaidi ya mtu asiye na lolote, maana kashindwa kujibu hoja na maswali kutoka kwa mtu asiye na lolote.
Ina maana yeye yuko less than mtu asiye na lolote.
Na kwa ushindi huu wa hii ligi, Kiranga anapewa zawadi ya mchuchu:
Matatizo akili zote ziko katika korodani, kila kitu unaona zawadi yake kuongeza wakinamama.
Wengine hatuamini katika ligi wala kuongeza wakinamama.
Na kama nilivyoahidi,
Zawadi ya pili kama utamshinda NN kwenye ligi inayofuata:
Mash'llah takbiru ala walibaruuuuuuu...mchuchu katulia huyu khaaaaaaaa
Mash'llah takbiru ala walibaruuuuuuu...mchuchu katulia huyu khaaaaaaaa
Ndio Tanzania yetu hiyo.... Nilishamwambia Zitto once nilipokutana naye, upinzani sio lelemama. Sasa matokeo yake ndio mnatuletea watu kama hawa.
Then mnashangaa kwa nini Bunge likianza tuu watu kama hawa wanakuwa kitanda kimoja na CCM.
I better take a day off.