Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,494
- 113,590
Lunyungu asante kwa angalizo. Kesho asubuhi nitaangalia marudio.
Ndugu wana JF salaam toka Brussels
Nimekuwa naangalia news usiku huu na nimeona matukio 3
1.Waziri Mkuu akiwa Serengeti leo , kwenye hadhara wameonyesha watu wakimsikiliza nimeona kuna mdada alikuwa ana cheza cheza wakati wa hotuba ya Pinda na open space kati kati nikawa najiuliza kama kulikuwa na muziki ukiendelea wakati hotuba ya Pinda inarindima .
2.Nimeona Mgombea wa Chadema Igunga na habari ya Utajiri wa kijiji alichokuwa anahutubia leo .
3.Nimeona Mukama akiongea , na Komba , na Mgombea wa CCM .Nimeshangaa sana sana kuona picha ya umati ulio kuwa kwa Pinda ndiyo wale wale ambao waneonyeshwa Igunga .Kwa kweli nimeshangaa mno na kama kuna yeyote kaona habari za usiku huu tafadhali anasaidie kuelewa .Je ITV wanataka kutueleza nini ? Wana chakachukua mkutano au hawakuwa na picha za matukio ya CCM za leo au Pinda kaonyeshwa kimakosa hakuwa na watu ? Nisaidieni kuelewa am confused .
Apo juu upo sahihi kwa mantiki..lakn kuweka kumbukumbu sawa hakuna "Tell Vision" ila kuna "Tele Vision"....Tele=Far,remote or a distance...e.g Tele Graph=a remote msg,Tele phone=a far calling(muito wa mbali)...Tele Commando=Remote Control(Kiitaliano)...usijenge hoja kwa kupangua maana halisi ya kitu flani...hoja "itapalanganyuka" ile maana "ikipalanganyuliwa"
Television (TV) is a telecommunication medium for transmitting and receiving moving images that can be monochrome (black-and-white) or colored, with accompanying sound. "Television" may also refer specifically to a television set, television programming, television transmission.
The etymology of the word has a mixed Latin and Greek origin, meaning "far sight": Greektele (τῆλε), far, and Latin visio, sight (from video, vis- to see, or to view in the first person).
Apo juu upo sahihi kwa mantiki..lakn kuweka kumbukumbu sawa hakuna "Tell Vision" ila kuna "Tele Vision"....Tele=Far,remote or a distance...e.g Tele Graph=a remote msg,Tele phone=a far calling(muito wa mbali)...Tele Commando=Remote Control(Kiitaliano)...usijenge hoja kwa kupangua maana halisi ya kitu flani...hoja "itapalanganyuka" ile maana "ikipalanganyuliwa"
Ndugu wana JF salaam toka Brussels
Nimekuwa naangalia news usiku huu na nimeona matukio 3
1.Waziri Mkuu akiwa Serengeti leo , kwenye hadhara wameonyesha watu wakimsikiliza nimeona kuna mdada alikuwa ana cheza cheza wakati wa hotuba ya Pinda na open space kati kati nikawa najiuliza kama kulikuwa na muziki ukiendelea wakati hotuba ya Pinda inarindima .
2.Nimeona Mgombea wa Chadema Igunga na habari ya Utajiri wa kijiji alichokuwa anahutubia leo .
3.Nimeona Mukama akiongea , na Komba , na Mgombea wa CCM .Nimeshangaa sana sana kuona picha ya umati ulio kuwa kwa Pinda ndiyo wale wale ambao waneonyeshwa Igunga .Kwa kweli nimeshangaa mno na kama kuna yeyote kaona habari za usiku huu tafadhali anasaidie kuelewa .Je ITV wanataka kutueleza nini ? Wana chakachukua mkutano au hawakuwa na picha za matukio ya CCM za leo au Pinda kaonyeshwa kimakosa hakuwa na watu ? Nisaidieni kuelewa am confused .