Nimepata kazi mpya /mshahara umedabo nabadilisha mchumba

Lazima utakuwa unamatatizo wewe, na usitumie uchagga kama ngao yako wachaga hawako hivyo mama, wewe hujui mapenzi na ukiendelea hivyo tunakupoteza soon kwahiyo kila kitu hela, basi olewa na bank kama jamaa alipo sema hapo juu. Jiulize ukiolewa na aliyekuzidi, baada ya muda ukamzidi tena utaachana nae? Wewe limbukeni wa mishahara. Pole sana. mshara baadhi ya makampuni unapandishwa kila mwaka so kila mwaka bwana mpya? wewe lazima ni mbulu, hamvai chupi nyie.
hata ingekuwa mie mbulu matusi ya nini??kuna tabia sticky kwa kabila????????
mkabila mkubwa weye
 
Lazima utakuwa unamatatizo wewe, na usitumie uchagga kama ngao yako wachaga hawako hivyo mama, wewe hujui mapenzi na ukiendelea hivyo tunakupoteza soon kwahiyo kila kitu hela, basi olewa na bank kama jamaa alipo sema hapo juu. Jiulize ukiolewa na aliyekuzidi, baada ya muda ukamzidi tena utaachana nae? Wewe limbukeni wa mishahara. Pole sana. mshara baadhi ya makampuni unapandishwa kila mwaka so kila mwaka bwana mpya? wewe lazima ni mbulu, hamvai chupi nyie.

mkuu huyu ni mgeni hapa mjini .
 
Note:Mimi najihisi raha kulala na mwanaume anayenizidi kielimu, kipesa,kicheo,urefu,uzito,yaan kila kitu

Ni hiari yako kufanya yale yakupayo raha na furaha maishani, ila ni hatari kujenga uhusiano wa kimapenzi katika misingi ya vitu vinavyoweza badilika muda wowote..!
 
dah, pesa ni kama maua, na cheo leo waweza kuwa nacho kesho ukawa hauna. mambo yanaweza badilika ( jiwe walilolikataa waashi leo limekuwa jiwe kuu la pembeni).
 
Dah... sitaki kuamini km naota au ni kweli, anyways acha nijipe moyo kuwa ni kweli
Ila sasa dada yangu huo uamuzi wa kuamua kukumbatiwa na mtu anaekuzidi pesa mbona naona si mzuri!!!!!!!
Pesa huwa inatafutwa tu huwezi kujua huyo unaemwacha kesho atakua nani. Kwani nani alijua km wewe leo ungekua na cheo na mshaara mzuri kuliko huyo bf wako wa sasa? naamini km wewe ungejua hivo basi usingekua nae. Vp ukiachana nae halafu mambo yake yakawa mazuri baada ya muda kidogo? samahani sikuombei mabaya lakini ebu naomba ufikirie km ikitokea kwa bahati mbaya tu (samahani sio lengo langu) mshahara huo ukapungua au ukaachishwa kazi mambo yatakuwaje?
kuna uzi niliusoma hapa kuhusu dada wa sua aliyemwacha mnyarwanda na kuolewa na college mate wake baadae mnyarwanda akabahatika kuwa waziri, dada amebakia kujuta. Nakushauri ukae chini ufikirie kuhusu huo uamuzi wako please,
I am sure kwa uamuzi huo ipo siku utajuta tu japo hutasema lakini ipo siku utakumbuka haya nisemayo
Nakutakia kila la heri
Thanks


saaaaaafi.., saaaaafi saaaanaaa..., Kama kinadada wangekuwa wanafikiria hv kila siku..., nadhani mapenz yasingekuwa kigeugeu...!
 
@arusha, baba mngoni, mama mchagga

...unafki sitaki tuwe wakweli...HIVI KUNA MAPENZI NDANI YA UMASKINI??

nimepata kazi mpya mshahara ingalao unakidhi kimtindo, cheo kimebadilika nahisi ni wakati muafaka wa kuwa na mwanaume anayenizidi.

Msinishangae I always wanna to be inferior kwa mpenzi wangu so nimempa probesheni ya six months otherwise nataka nikumbatiwe na mwanaume anayenizidi.

Kimoyo moyo naamini hata yeye angeniwahi kufanikiwa ningeweza sugua benchi.

Note:Mimi najihisi raha kulala na mwanaume anayenizidi kielimu, kipesa,kicheo,urefu,uzito,yaan kila kitu

hao ndio mm nawaita ma trget worker....., Hii ni tabia ya kupenda ukuni..., haya kila la kheri ila cku moja ukikua utajua..

NB. malipo ni duniani, akhera kuhesabiwa...., then what goes around, comes around
 
Dada ayo ni mawazo mabaya ayafai ata kidogo kwani kupata leo wewe isiwe shida kwa mwenzio uwezi kujua mpango wa mungu kukufanikisha ukiwa na uyo bwana saiingine ni sara zake pia zimewezesha ufanikiwe, Think twise before doing that.
 
@arusha, baba mngoni, mama mchagga

...unafki sitaki tuwe wakweli...HIVI KUNA MAPENZI NDANI YA UMASKINI??

nimepata kazi mpya mshahara ingalao unakidhi kimtindo, cheo kimebadilika nahisi ni wakati muafaka wa kuwa na mwanaume anayenizidi.

Msinishangae I always wanna to be inferior kwa mpenzi wangu so nimempa probesheni ya six months otherwise nataka nikumbatiwe na mwanaume anayenizidi.

Kimoyo moyo naamini hata yeye angeniwahi kufanikiwa ningeweza sugua benchi.

Note:Mimi najihisi raha kulala na mwanaume anayenizidi kielimu, kipesa,kicheo,urefu,uzito,yaan kila kitu

Heeee! masikini muimba kwaya hana chake tena hapo! Lakini mbona ulisema unataka mtu asiyekuwa matawi ya juu ili usiwe na puresha za kijinga hasa za kuibiwa coz of u Hb au pesa. Ushageuka kinyonga mara hii!

Aisee kuna tela la CAMECO limeanguka na ile maneno imejaa tunajizolea tu. Karibu kusafisha meno mamaa!
 
Dah..hiki kizazi,naona woote wanaoshauri kama wanacheza tu...kuna msemo wa kiswahili: Samaki mkunje angali mbichi...huyu ameshakauka mnahangaika bure...

Niwakumbushe tu alishawahi kuja hapa ili tumsaidie mawazo.Kwamba kuna mdogo wa rafiki yake anahitaji pesa ya ada wakati huo huo kuna mjeshi anamtaka kimapenzi...kwa hiyo anahitaji rubber stamp yetu ili huyo mwanafunzi atembee na kanali apate mshiko wa kulipia ada...unajua mwisho wa ile story alisemaje? " anachotaka huyo binti ni pesa sio ushauri"
 
Aisee hiy 'kitu' si itakuwa used sana, maana kama ulianza hivyo tangu primary, nadhani hapo hata 'ngorongoro crater' itakuwa imeachwa mbali sana.
 
Duh, wadada wengine wamepinda. i cant imagine hata mtarajiwa wangu naye anamawazo kama haya!!! Naomba Mungu anifunulie mapema kabla sijaingia chaka!!
 
Dah..hiki kizazi,naona woote wanaoshauri kama wanacheza tu...kuna msemo wa kiswahili: Samaki mkunje angali mbichi...huyu ameshakauka mnahangaika bure...

Niwakumbushe tu alishawahi kuja hapa ili tumsaidie mawazo.Kwamba kuna mdogo wa rafiki yake anahitaji pesa ya ada wakati huo huo kuna mjeshi anamtaka kimapenzi...kwa hiyo anahitaji rubber stamp yetu ili huyo mwanafunzi atembee na kanali apate mshiko wa kulipia ada...unajua mwisho wa ile story alisemaje? " anachotaka huyo binti ni pesa sio ushauri"

kumbe ndo zake hizi eeeh , sio bure nilisema ana njaa sana .au ametoka ktk familia ambazo haijazoe pesa . Duh
 
@arusha, baba mngoni, mama mchagga

...unafki sitaki tuwe wakweli...HIVI KUNA MAPENZI NDANI YA UMASKINI??

nimepata kazi mpya mshahara ingalao unakidhi kimtindo, cheo kimebadilika nahisi ni wakati muafaka wa kuwa na mwanaume anayenizidi.

Msinishangae I always wanna to be inferior kwa mpenzi wangu so nimempa probesheni ya six months otherwise nataka nikumbatiwe na mwanaume anayenizidi.

Kimoyo moyo naamini hata yeye angeniwahi kufanikiwa ningeweza sugua benchi.

Note:Mimi najihisi raha kulala na mwanaume anayenizidi kielimu, kipesa,kicheo,urefu,uzito,yaan kila kitu

Angali sana dada pesa haina rafiki wa kudumu,inaweza kuondoka kwako na kwenda kwa unayemdharau,alafu ukabaki unashangaa tu.
 
@arusha, baba mngoni, mama mchagga

...unafki sitaki tuwe wakweli...HIVI KUNA MAPENZI NDANI YA UMASKINI??

nimepata kazi mpya mshahara ingalao unakidhi kimtindo, cheo kimebadilika nahisi ni wakati muafaka wa kuwa na mwanaume anayenizidi.

Msinishangae I always wanna to be inferior kwa mpenzi wangu so nimempa probesheni ya six months otherwise nataka nikumbatiwe na mwanaume anayenizidi.

Kimoyo moyo naamini hata yeye angeniwahi kufanikiwa ningeweza sugua benchi.

Note:Mimi najihisi raha kulala na mwanaume anayenizidi kielimu, kipesa,kicheo,urefu,uzito,yaan kila kitu

Mmmmmmmmmmmmmmmh, urefu upi unaozungumzia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom