@arusha, baba mngoni, mama mchagga
...unafki sitaki tuwe wakweli...HIVI KUNA MAPENZI NDANI YA UMASKINI??
nimepata kazi mpya mshahara ingalao unakidhi kimtindo, cheo kimebadilika nahisi ni wakati muafaka wa kuwa na mwanaume anayenizidi.
Msinishangae I always wanna to be inferior kwa mpenzi wangu so nimempa probesheni ya six months otherwise nataka nikumbatiwe na mwanaume anayenizidi.
Kimoyo moyo naamini hata yeye angeniwahi kufanikiwa ningeweza sugua benchi.
Note:Mimi najihisi raha kulala na mwanaume anayenizidi kielimu, kipesa,kicheo,urefu,uzito,yaan kila kitu
...unafki sitaki tuwe wakweli...HIVI KUNA MAPENZI NDANI YA UMASKINI??
nimepata kazi mpya mshahara ingalao unakidhi kimtindo, cheo kimebadilika nahisi ni wakati muafaka wa kuwa na mwanaume anayenizidi.
Msinishangae I always wanna to be inferior kwa mpenzi wangu so nimempa probesheni ya six months otherwise nataka nikumbatiwe na mwanaume anayenizidi.
Kimoyo moyo naamini hata yeye angeniwahi kufanikiwa ningeweza sugua benchi.
Note:Mimi najihisi raha kulala na mwanaume anayenizidi kielimu, kipesa,kicheo,urefu,uzito,yaan kila kitu