Kuna wana ndoa fullani ambao nimewafahamu tangu nikiwa mdogo, walianza mahusiano mwanaume akiwa analinda kolokoloni baada ya muda mwanamke akapata nafasi JKT na wakaoana, Mshaara wa mwanamke ulikuwa mara tatu zaidi ya mwanamume lakini waliishi kwa amani. Yule mwanamke ilibidi amsomeshe mumewe course ya Sales & marketing, yule jamaa alivyomaliza course akapata kazi nzuri na kama baada ya miaka minne jamaa alianza kuwa na kampuni yake na akawa anafanya biashara ya kutoa bidhaa Dubai, China na Japan so kipato chake kwa sasa ni kikubwa kuliko cha mkewe.
Nakushauri kama tatizo ni kipato ebu jaribu kumuwezesha kwa namna ambayo unajua kipato chake kitaongezeka na kuzidi chako ili roho yako ifurahi kukumbatiwa naye mara atakapokuzidi kipato, nami nafikiri hiyo probation ya miezi sita inaweza kuwa njia nzuri ya kufanya hili ambalo nalipendekeza. Kuliko kumwacha basi muweze afike kweye level unayotaka and he will consider you as his second God na wewe kwa kuwa lengo lako ni kipato basi utakuwa mtu mwenye furaha
Nakushukuru kwa kuwa muwazi.
Nakutakia mafanikio
Nakushauri kama tatizo ni kipato ebu jaribu kumuwezesha kwa namna ambayo unajua kipato chake kitaongezeka na kuzidi chako ili roho yako ifurahi kukumbatiwa naye mara atakapokuzidi kipato, nami nafikiri hiyo probation ya miezi sita inaweza kuwa njia nzuri ya kufanya hili ambalo nalipendekeza. Kuliko kumwacha basi muweze afike kweye level unayotaka and he will consider you as his second God na wewe kwa kuwa lengo lako ni kipato basi utakuwa mtu mwenye furaha
Nakushukuru kwa kuwa muwazi.
Nakutakia mafanikio