Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,015
- 95,369
Lazma nijue ukaguzi huo unahusu kiungo gani ili kikae mkao wa kukaguliwa,kama utumbo nsile ugali wala makande,ushanfehemu!!!
Matiti.
Lazma nijue ukaguzi huo unahusu kiungo gani ili kikae mkao wa kukaguliwa,kama utumbo nsile ugali wala makande,ushanfehemu!!!
hallow baby,
nilikuwa nasubiri tu wadau humu wajikanyage na nione ni namna gani wanavyopenda kudandia vya watu!
Nipo mama, waeleze waaache kabisa kukufatafata na kukusumbua,
tupo pamoja sasa, nothing gona put us apart!
Taarifa rasimi ni kuwa jana nilitoa tangazo la kutafuta mwenza,
Nashukuru kwa waliojitokeza jukwaani ,mchakato ulienda sawa
Na Baba wa familia kupatikana.
Mengi yalisemwa kuwa si rahisi kwa JF ila
Nachukua nafasi hii kusema kuwa nimepata na nimezungumza nae
Kwa simu .
Asnten sana ingawa mpaka mwisho wapo walioamua kupinga matokea
Kwa kuhisi kuwa nimechakachua ila si kweli
Huyo ni mshindi:tongue:
Naahidi kumpenda na kumuheshimu baba watoto wangu mtarajiwa
Once again asante sana.
Mkuu....una matt??:baby::baby:Matiti.
Nadhani wana JF mmeisoma hii
:israel::israel::israel::israel::baby::baby::baby::baby::baby:Full kizunguzungu!!
Mkuu....una matt??:baby::baby:
Nakagua.
Wakuchakachua siku moja??? Mbona ndogo sana kusema unamlove huyo baba watoto mtarajiwa??? Hebu angalia vizuri aisee!!
Kashakuwahi Bigirita........Nakagua makalio
HONGERA, NA MIMI NATAFUTA:
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/101056-urgent-natafuta-mchumba.html
tenda tarehe nane.... matokeo tarehe kumi... tasavali mzee mwenzangu.. lazima nione kihindihindi!!!kizungu zungu utakuwa nacho wewe ,
la mkosaji hilo,
si ndio tushapendana hivo!!!!!!!
tenda tarehe nane.... matokeo tarehe kumi... tasavali mzee mwenzangu.. lazima nione kihindihindi!!!
tenda tarehe nane.... matokeo tarehe kumi... tasavali mzee mwenzangu.. lazima nione kihindihindi!!!
Unajua kiongozi huku JF kuna biashara flani hivi..... watu wanachakachuliwa wao wanakuja kutamba wamepata waume....Subiri atakuja hapa na thread "Mume niliyempata ananiliza....Msaada wana JF" Nasi kama kawaida yetu hatutachoka kumpa pole.
Kashakuwahi Bigirita........