Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

Thread zingine zinafanya tuliopanga kuoa siku za karibuni tuendelee kusubiri kwanza huenda mola akatujalia moyo wa uvumilivu. Ushauri kwa wanaotaka kuoa hasa wakristu, hakikisha una moyo wa kusamehe hata kama ukimfuma mkeo live uwe na uwezo wa kusamehe. Nahisi asilimia 99 ndo zote zimejaa usaliti.
Ndoa zina changamoto zake mdogo wangu. Lakini hii ya kumtamani Kichaa kwa sababu ya ukubwa wa dudu lake Ina maana huyu dada akimuona Punda huwa analowa kabisa na kutafuta tambala la deki. Wanaume tuna mitihani sana wandugu.
 
huu mwaka natamani sana nioe!, ila ninapokutana na threads kama hizi huwa nachoka na kuregea kabisa. Sijui niarishe tu! kweli naamini TUNAOA KWA IMANI kama tulivyopokea wokovu! lasivyo mbele hatusongi!!!!. Nyeti hazina ukichaa: ukichaa wa mtu ni baadhi ya viungo tu! na wala si viungo vyote vimeathiriwa. inavyoonyesha kama umefuga nguruwe huko kwako basi utakuja kumtamani hata nguruwe kwakuwa ana dudu ndefu!!!!!!
Ah ah ah ah ah uhiii jmn uckate tamaaa
 
Shetan ana mikakati. Omba toba ktk huo mlango ambao shetan amepata upenyo ktk moyo wako halafu mwambie Mungu aingilie kati. Halafu futa huo upendo wa kipepo kwa Damu ya Yesu. Omba Mungu amuondoe huyo kichaa hilo eneo usimuone tena. Ziba( funga)mlango shetan alio utumia. Fungua mlango wa Mungu akupiganie
 
Hii ni hali ya kawaida inayowakuta wanawake wengi. Kusema ule ukweli sii wanaume wote wanawaridhisha wake zao na hili halina kificho maana ni ugonjwa wa Taifa. Jambo lingine nikuolewa na mtu ambaye hakuwa chaguo lako ila kwakuwa ulitaka ndoa basi unakuwa nae. Hathari zakuwa ktk mahusiano ya aina hyo ndio hiki unacho kipata. Mara nyingi mwanamke anaye timiziwa haja yake huwa hana hali kama zako kwa vile hana nyege za mapenz tayar zimemalizwa na mume wake, ila unapo jiona unawaka kama wewe unavyo wakwa kunadalili kubwa humalizii ham ya ham zako kwa mumeo. Jambo lingine ni nguvu za giza inawezekana unamuöa huyo kicha ktk macho ya nyama ila yeye anafanya kaz na mapepo sasa kuruhusu macho yako kuangalia umeshirik uchafu na yanacho fanya ni kukuvaa kwahyo unahatar yakufanya mapenz nauyo kichaa. Itaendelea...
 
Tuambie kwanza ni wapi unakoishi? Kuna uwezekano hii ni STORY YA UONGO. Paukwa.....pakawa.
 
hapo sio pepo wala shetani wala jinni...ni tamaa zako mwenyewe za mwili ndo zinakusukuma ...kamwe hutazitimiza tamaa za mwili...hivyo enenda katika roho....futa kabisa hizo fikra delete kabisa then mpe Mungu nafasi ya kwanza....utashinda tu.....ila kutamaniana kama wanadamu kupo na hakuwez isha maana tuna miili iliyojaa tamaa nyingi......utoe huo mwili sadaka kwa Mungu...fulstop....jifunze kubeba msalaba wangu umfuate Yesu...wanadamu wengi hawana ushauri katika hilo watazid kukuvuruga tu
 
Wadau shalom,

Tunaelekea miezi 2 sasa tangu tuamie kwenye nyumba yetu, ni sehemu ambayo bado haijajengwa sana, nyumba nyingi bado hazijaisha ni masaiti yanayokaliwa na walinzi, mimi na mr wote tumeokoka pamoja na familia kwa ujumla, tunampenda Yesu.

Sasa katika moja ya masaiti haya kuna jengo moja halijaisha ni kama halina wakazi vile, ila hukaa kichaa mmoja anaekula majalalani na kushinda uchi, na hapo ndio njia yangu ya kupita kila siku, kila nikipita hapo hasa jioni sana nikitoka kazini huwa namkuta kichaa huyu akiwa anajichua bila aibu, anatema mate mkononi na kujipaka nyeti huku akilia kwa sauti kubwa.

Sasa nimeshtukia nashikwa hamu na hisia kali za kutaka kukutana na kichaa huyo, hasa nikimuona uchi, maana ana nyeti kubwa mno zenye kichwa kikubwa mno, hali hii inaweza kunikuta hata nikiwa kazini endapo nitamuwazia yule kichaa.

Sasa sijui ni kwasababu ya kumtazama sana au la nimeshtuka kumuona akianza tabia ya kuniita kwa ishara na kunioneshea nyeti zake, haishii hapo ameanza kufika na kwangu na kugonga geti, wakienda kufungua wanakuta ni yeye na haongei chochote anasimama tu hapo hata saa nzima ndipo anaenda na ni kila siku, mr anasema muacheni tu kwani ana madhara gani.

Ile hali ya kumtamani ndio naona kama inazidi siku hadi siku.

Je hili ni pepo au nini?Nimeomba sana lakini wapi.

Nifanye nini kuondokana na hali hii? Ili isije ikaleta matatizo yasiyotarajiwa.Nimeamua kulileta huku hili tatizo maana huku hamna kufahamiana.

Asanteni
Duuh!! Hatari sana
 
Wadau shalom,

Tunaelekea miezi 2 sasa tangu tuamie kwenye nyumba yetu, ni sehemu ambayo bado haijajengwa sana, nyumba nyingi bado hazijaisha ni masaiti yanayokaliwa na walinzi, mimi na mr wote tumeokoka pamoja na familia kwa ujumla, tunampenda Yesu.

Sasa katika moja ya masaiti haya kuna jengo moja halijaisha ni kama halina wakazi vile, ila hukaa kichaa mmoja anaekula majalalani na kushinda uchi, na hapo ndio njia yangu ya kupita kila siku, kila nikipita hapo hasa jioni sana nikitoka kazini huwa namkuta kichaa huyu akiwa anajichua bila aibu, anatema mate mkononi na kujipaka nyeti huku akilia kwa sauti kubwa.

Sasa nimeshtukia nashikwa hamu na hisia kali za kutaka kukutana na kichaa huyo, hasa nikimuona uchi, maana ana nyeti kubwa mno zenye kichwa kikubwa mno, hali hii inaweza kunikuta hata nikiwa kazini endapo nitamuwazia yule kichaa.

Sasa sijui ni kwasababu ya kumtazama sana au la nimeshtuka kumuona akianza tabia ya kuniita kwa ishara na kunioneshea nyeti zake, haishii hapo ameanza kufika na kwangu na kugonga geti, wakienda kufungua wanakuta ni yeye na haongei chochote anasimama tu hapo hata saa nzima ndipo anaenda na ni kila siku, mr anasema muacheni tu kwani ana madhara gani.

Ile hali ya kumtamani ndio naona kama inazidi siku hadi siku.

Je hili ni pepo au nini?Nimeomba sana lakini wapi.

Nifanye nini kuondokana na hali hii? Ili isije ikaleta matatizo yasiyotarajiwa.Nimeamua kulileta huku hili tatizo maana huku hamna kufahamiana.

Asanteni
Sidhani kama kweli maana halisi ya wokovu unaijua kuokoka ni kukubali kutengwa mbali na dhambi zote lakini pia ukimruhusu Roho mtakatifu atawale maisha yako na kuvitiisha viungo vyako vyote vya mwili chini ya himaya yake.

Inaonekana kiungo chako cha tamaa ya mwili bado hakijatiishwa kumtii Roho mtakatifu.

Hakikisha unaishinda tamaa vinginevyo jehanamu ya moto inakusubiri.
 
Mkuu umenifanya nicheke!!!# sasa atamwombeaje wakati ameshatamani ukuni wake!!! Akipiga goti akafunga macho atawaza kuomba au picha ya huo ukuni aliodai una kichwa kikubwa itamjia!!!?#na atashindwa kufocus.
Inabidi amuombee hivo hivo aokoke kama yeye, ili isiwe tabu kumpa papuch yake, mana keshapenda dushe lake! Ikitokea sasa akampelekea jamaa akang'ang'ania hiyo papuch au atasema kabakwa...teh teh!!
 
Dhambi ya walokole ni UZINZI hawa jamaa hawanywi pombe, hawaendi disco, hawapendi masengenyo lakini kwenye UZiNzI wengi wao wanaangukiaga hapo kama unabisha fatilia utajionea...
 
Dah umeniwahi maana Ile sentensi ya kuokoka Na kumpenda mwokozi halafu tena anasifia maumbile ya Jamaa Ni hatari.

hebu achen unafiki.... mi sijaona dhambi kubwa alioifanya.. hata muanze kumtupia mawe.. ndo maana amepata ujasir wa kuja kuomba msaada humu.. na nina uhakika hata kwenye sala zake atakuwa anamuomba mungu wake amuepushe na haya majaribu.. after all
she is only human .. kama swala ni roho ya kutaman mkumbuke kuwa kiumbe chochote chenyee uhai na kitakachofikwa na umaut huongozwa na tamaa ... hata hao manabii wakubwa wa mungu walitaman kwan mwisho wa siku kuokoka hakumuondolea ubinadam wake ... Adam na hawa binadam wa kwanza walitaman kikubwa ni nn atafanya baada ya kutaman hicho ndo mnawwza mhukumu nacho. hata mungu anajua hilo kuhusu watu wake..
 
Back
Top Bottom