Borat69
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,526
- 1,757
Ndoa zina changamoto zake mdogo wangu. Lakini hii ya kumtamani Kichaa kwa sababu ya ukubwa wa dudu lake Ina maana huyu dada akimuona Punda huwa analowa kabisa na kutafuta tambala la deki. Wanaume tuna mitihani sana wandugu.Thread zingine zinafanya tuliopanga kuoa siku za karibuni tuendelee kusubiri kwanza huenda mola akatujalia moyo wa uvumilivu. Ushauri kwa wanaotaka kuoa hasa wakristu, hakikisha una moyo wa kusamehe hata kama ukimfuma mkeo live uwe na uwezo wa kusamehe. Nahisi asilimia 99 ndo zote zimejaa usaliti.