jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Habari..
Katika okota okota zangu za wanawake kama ilivyo jadi yangu ya kufurahisha nafsi na watoto wazuri, week kadhaa niliangukia kwa binti mmoja kiumri anaonekana mdogo sana. Nilimlagai kwa kila hali kwa lengo la kwenda kumwagia ubongo wangu ndani.
Nilimlagai mno ila baadae akaridhia kunipa mchezo, wakati wa kujisevia tunda la binti wa watu alionekana mwenye kuonyesha kila dalili ya kufurahia mechi na mpaka alipofika huko yapata juu ya kilele cha mlima.
Tulimaliza mechi nikaona nimpe vichechi kidogo vya kununulia hata mafuta, vinguo nguo apendeze na sabuni, nilimpa 100k bila hata ,upepesa macho. Maana kweli ukiangalia nguo zake za ndani zinashawishi tuu utoe hela ya kumtunza kama mwanaume hatakama unapita tuu. Alisita sana kupokea hela ila baadae nilimlazimisha akapokea huku akishukuru sana.
Nikamuescort mpaka karibu na mitaa ya kwao na kumwacha aende nyumbani maana muda ulikua umeenda sana, baada ya hapo nilikaa kimnya bila kumtafuta wala kumjulia hali kwa namna yeyote ile kwa sababu sikua na mpango nae wowote ni vile tuu nilitaka kujipigia ni sepe zangu.
Sasa zimepita siku kadha wa kadha ananilaumu sana nimemtenga, namwambia sijamtenga ila hataki kunielewa kabisa, ni lawama tuu kila message anayotuma ni lawama kibao.
Nashindwa kumuelewa huyu binti, mimi sikumtongoza kwa lengo la kudumu nae ila lengo langu lilikua ni mchezo tuu na yeye akanipa.
Amekua ni walawama sana ndugu zangu, hataki kuelewa kabisa na anakua king'ang'anizi mno na muda mwingine hadi analia ninapompigia siku kwa madai ya kuwa ninamdharau kwakutomtafuta, nafikiria kumblock ila nafsi inakataa sana.
Nimfanyaje huyu aache kunilaumu wakuu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Katika okota okota zangu za wanawake kama ilivyo jadi yangu ya kufurahisha nafsi na watoto wazuri, week kadhaa niliangukia kwa binti mmoja kiumri anaonekana mdogo sana. Nilimlagai kwa kila hali kwa lengo la kwenda kumwagia ubongo wangu ndani.
Nilimlagai mno ila baadae akaridhia kunipa mchezo, wakati wa kujisevia tunda la binti wa watu alionekana mwenye kuonyesha kila dalili ya kufurahia mechi na mpaka alipofika huko yapata juu ya kilele cha mlima.
Tulimaliza mechi nikaona nimpe vichechi kidogo vya kununulia hata mafuta, vinguo nguo apendeze na sabuni, nilimpa 100k bila hata ,upepesa macho. Maana kweli ukiangalia nguo zake za ndani zinashawishi tuu utoe hela ya kumtunza kama mwanaume hatakama unapita tuu. Alisita sana kupokea hela ila baadae nilimlazimisha akapokea huku akishukuru sana.
Nikamuescort mpaka karibu na mitaa ya kwao na kumwacha aende nyumbani maana muda ulikua umeenda sana, baada ya hapo nilikaa kimnya bila kumtafuta wala kumjulia hali kwa namna yeyote ile kwa sababu sikua na mpango nae wowote ni vile tuu nilitaka kujipigia ni sepe zangu.
Sasa zimepita siku kadha wa kadha ananilaumu sana nimemtenga, namwambia sijamtenga ila hataki kunielewa kabisa, ni lawama tuu kila message anayotuma ni lawama kibao.
Nashindwa kumuelewa huyu binti, mimi sikumtongoza kwa lengo la kudumu nae ila lengo langu lilikua ni mchezo tuu na yeye akanipa.
Amekua ni walawama sana ndugu zangu, hataki kuelewa kabisa na anakua king'ang'anizi mno na muda mwingine hadi analia ninapompigia siku kwa madai ya kuwa ninamdharau kwakutomtafuta, nafikiria kumblock ila nafsi inakataa sana.
Nimfanyaje huyu aache kunilaumu wakuu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app