Yamenikuta ndugu zangu!!
Sina jinsi ya kuelezea nilivyopambana pale Muhimbili kuokoa roho ya anti wangu mlezi...nimepigana!!nimeshindwa...hali ni mbaya vilio vimetawala kila kona toka kwa wagonjwa....bahat mbaya hata mochwari huduma sio nzuri!!msiba upo nyumbani na taratbu za maziko zinaendelea!!
Anaitwa nani na alilazwa wodi gani? Hujui hata jina la anti yako, huna maana unaleta umbea hapa. kamilisha taarifa ili uaminike
Yamenikuta ndugu zangu!!
Sina jinsi ya kuelezea nilivyopambana pale Muhimbili kuokoa roho ya anti wangu mlezi...nimepigana!!nimeshindwa...hali ni mbaya vilio vimetawala kila kona toka kwa wagonjwa....bahat mbaya hata mochwari huduma sio nzuri!!msiba upo nyumbani na taratbu za maziko zinaendelea!!
Hapa Jf kuna watu wako muhimbili watatusadia kutafuta ukweli lakini pia nina jamaa Muhimbili yuko kitengo cha kutunza majina ya waliokufa naweza kufuatilia
Yamenikuta ndugu zangu!!
Sina jinsi ya kuelezea nilivyopambana pale Muhimbili kuokoa roho ya anti wangu mlezi...nimepigana!!nimeshindwa...hali ni mbaya vilio vimetawala kila kona toka kwa wagonjwa....bahat mbaya hata mochwari huduma sio nzuri!!msiba upo nyumbani na taratbu za maziko zinaendelea!!
kwa hiyo ukipata jina na kuomba uchunguliwe kupata data utatoa jeneza la maziko au utachimba kaburi?
Watu wengine mnapenda kuongea pumba sasa akisema kafiwa na kusema kamuuguza kwa miezi sie akituambi kafa au hajafa unadhani inatuhusu?
Sie tunaungana nae kimawazo kumliwaza humu. Haya ukisikia watu wamekufa unataka ujue data zao ili iweje?
Unampango wa kwenda bungeni wajadili au kumuona jk?
Tena umenikumbusha wewe ndo unaweza kuwa unapanga na watu wa data hizo mnapeana majina kufanya utapeli au maafa ya kuumiza watu. Haya ngoja nipeleke taarifa utasikia wanajuta asap kikazi kwa kushiriki katika kuutoa data kutumika kiubaya.
Rip marehemu
Na mimi nimefiwa Bugando. Unaona taarifa hii imekamilika na kushawishi ukweli wake? JF tupunguze udaku tutaharibu heshima ya JF. Tuwe wadadisi kabla ya kutoa maoni.
Yamenikuta ndugu zangu!!
Sina jinsi ya kuelezea nilivyopambana pale Muhimbili kuokoa roho ya anti wangu mlezi...nimepigana!!nimeshindwa...hali ni mbaya vilio vimetawala kila kona toka kwa wagonjwa....bahat mbaya hata mochwari huduma sio nzuri!!msiba upo nyumbani na taratbu za maziko zinaendelea!!
natamani mtu angenutafutia AK-47 na risasi kadhaa hivi niwafuate hukohuko wizarani.
Pole sana ndugu yangu.